uchumi

  1. B

    JamiiForums Tanzania Wasomi wenye PhD Tanzania wametupa supplimentary ya Biashara na uchumi: soon Taifa litadisco

    Tulipoanza awamu ya tano nakukusanya wasomi wote mashauri nakuwaingiza wizarani na mashirika ya umma niliamini taasisi wanazoongoza zinakwenda kupiga hatua hasa yakimkakati endapo tu wasomi hao wataacha mentality za lecturers kwenye biashara na uchumi. Miaka michache baadaye walioteuliwa hasa...
  2. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Tunatengeneza vijana wa kucheza Pool table, wakikaa na simu wanaperuzi tu

    Kutoka Dodoma. "Tunatengeneza vijana wa kucheza Pool table, ambao wakikaa na simu wanaperuzi mitandaoni tu". "Nafikiri labda tuongeze kodi labda itapunguza hata sijui, hivi tufanye kitu gani ili tuhakikishe kila mtu anafanya kazi, maafisa maendeleo ya jamii hawafanyi kazi" -Job Ndugai. Nini...
  3. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo hali halisi katika uchumi wa kati

  4. Darucha

    JamiiForums Tanzania Naomba majibu ya swali hili la Uchumi

    What are the main types of production function and what are their application in economic problem?
  5. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa kati husababisha ongezeko la bidhaa kupanda juu na maskini kuishi kwa shida?

    Mwenye majibu ya haya atujuze maana tumeambiwa uchumi wa kati ni maisha kuboreka, maendeleo makubwa na maskini kupungua kwa idadi. Sasa haya ya upandaji wa bidhaa kama Mafuta, Sabuni, Unga wa ngano, sukari kwa sasa sh. 2,800 ndio majibu ya uchumi wa kati? Kuna Wilaya imeanza kutumika kama...
  6. E

    JamiiForums Tanzania Watumishi mnaohamia private kutoka Serikalini mnahujumu uchumi

    Kwenu watumishi mnaoajiriwa bila hata kufanya interview. Watumishi mnaopangiwa vituo vya kazi na serikali kama wanafunzi wanao jiunga kidato cha kwanza kupitia elimu bure. Kisha mnaanza kuleta kiburi na kutelekeza vituo vya kazi kwa kuhamia private mkidai kwamba serikalini hakuna maslahi mazuri...
  7. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

    Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers...
  8. J

    JamiiForums Tanzania UCHUMI: Hisa ni nini?

    Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa moja inawakilisha asilimia ndogo ya umiliki katika kampuni Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji anamiliki hisa 100,000 mwekezaji huyu anamiliki 10% ya kampuni. Mwekezaji anayenunua hisa basi ananunua haki ya kumiliki kampuni. Stahili...
  9. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania IMF yakadiria uchumi wa dunia utakua kwa asilimia 5.5 mwaka huu

    Ripoti ya Mtazamo wa Uchumi wa Dunia iliyotolewa hivi karibuni na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) imekadiria kuwa, uchumi wa dunia utakua kwa asilimia 5.5 mwaka 2021, ikiwa ni asilimia 0.3 zaidi ya makadirio yaliyotolewa mwezi Oktoba. Mchumi mwandamizi wa IMF Gita Gopinath amesema, sehemu...
  10. Kinoamiguu

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mkuu wa Idara ya Uchumi Chuo cha Diplomasia, Dkt. Ahmed Mtengwa afariki dunia

    Habari kwenu ndugu zangu. Aliyekuwa mkuu wa Idara ya Uchumi wa Chuo cha Diplomasia Kurasini Dar es Salaam amefariki Dunia mapema leo. Dkt. Mtengwa alifariki katika hospital ya Muhimbili alipokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mfupi. Mipango ya mazishi inaendelea nyumbani kwao Masaki DSM...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Je, unaweza kukata rufaa usiporidhika na kushushwa kutoka uchumi wa kati kwenda huo uchumi mdogo?

    Mfano nchi ikitoka uchumi wa kati ikarudi nyuma inautwa nchi ya uchumi gani? Sifa au vigezo vinavyoweza kuishusha nchi kutoka uchumi wa kati vipi? Siku nchi inaposhuka Nani anatangaza na anatangaza kwa njia gani? Je unaweza kukata rufaa usiporidhika na kushushwa kutoka uchumi wa kati kwenda...
  12. britanicca

    JamiiForums Tanzania Je, katika shughuli za Mtanzania wa kawaida anaweza kuwa anahujumu uchumi au kutakatisha pesa bila kujua?

    Watu wengi hatuna idea juu ya maana halisi ya kutakatisha Pesa, mbaya zaidi wengine wanadhani uhujumu uchumi ni sawa na kutakatisha pesa, Tudadavue hapa. Je, katika shughuli za raia wa Tanzania wa kawaida anaweza kuwa anahujumu au kutakatisha pesa bila kujua?
  13. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Mama Ashura anatangaza bei za uchumi wa kati.

  14. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Barabara ya Geita kwenda Kamyorwa itengenezwe upya,ni kiungo muhimu kwa uchumi wa taifa

    Kwa wakazi wa mikoa ya Mwanza,Geita na Kagera wanafahamu umuhimu wa hii barabara hasa kwa uchumi wa eneo hili. Maana ni njia muhimu sana katika kusafirisha watu na bidhaa hasa kwa eneo hili. Hii barabara ilikamilika mwaka 2008 na hapo ndipo ilichochea maendeleo hasa sehemu ilizopita. Kabla...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini Zanzibar hakuna watu walionyimwa dhamana kwa makosa ya uhujumu uchumi?

    Kesi nyingi za uhujumu uchumi Tanzania utasikia uchunguzi haujakamilika, na hii inachukua miaka kadhaa. Ila katika mazingira ya uchunguzi kuendelea mtu yuleyule unasikia ameshauriana na DPP au Mahakama na ameeelekzwa kulipa kiasi flani Cha fedha. Je, ukokotoaji wa kiasi hicho kinacholipwa...
  16. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Baada ya Tito Magoti na mwenzake kutiwa hatiani ni dhahiri kuwa sio kila anayejinasibu mkosoaji wa Serikali anabambikiwa kesi ya Uhujumu Uchumi

    Kabla ya kwenda moja kwa moja napenda kuweka wazi kuwa mimi ni mtu ambaye sipendi kuona watu wakionewa na hasa kunyimwa haki zao za msingi. Kumekuwepo na dhana potofu hapa Tanzania kuwa kila mtu anayeikosoa Serikali ya sasa ya awamu ya tano lazima akutane na mkono wa chuma.Dhana ambayo imekuwa...
  17. Sherlock

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya’s economy to grow fastest in Africa in 2021 - World Bank

    The World Bank predicts that Kenya’s economy will expand by 6.9% in 2021, the fastest growth rate in Africa, and a more ambitious prediction than the government’s estimate of 6.4% economic growth in 2021. Continued support from the international lender in terms of public health interventions and...
  18. kavulata

    JamiiForums Tanzania Ukitaka uchumi upande fuata nyayo za wakoloni

    Demokrasia imeshindwa kukuza uchumi duniani kote. Hivyo kama tunataka uchumi wetu ukue silaha kubwa ni: 1. Kulipa kodi hata ikibidi kwa nguvu. 2. Kuondoa huduma za bure kwa watu wote. Hii italazimisha watu wafanyekazi kwa bidii 3. Kuondoa chakula cha njaa, watu wakifa njaa msimu mmoja msimu...
  19. J

    JamiiForums Tanzania Huko duniani Treni ikipinduka kwa uzembe ni sawa na uhujumu uchumi Waziri na CEO wa shirika wanajiuzulu!

    Huko duniani ni kawaida kabisa Mtendaji Mkuu wa Shirika kama TRC kujiuzulu mara moja pale Treni inapopinduka kwa sababu ya uzembe unaoonekana kwa macho. Nakumbuka Tanzania kuna waziri alijiuzulu enzi ya Mkapa kwa sakata ama la treni au MV Victoria nimesahau kidogo. Usafiri wa treni siyo sawa...
  20. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchumi wa Kenya kukua kwa asilimia 6.9%, licha ya changamoto zote tulizopitia

    Taasisi zote muhimu kama vile IMF na Benki kuu ya dunia wameyabashiri haya, tupo kwenye "raiti traki". ========== The economy is seen rebounding to a growth of between 4.7 and 6.9 percent in 2021 from barely a percentage growth this year, offering hope to millions of households which were...
Back
Top Bottom