uchumi

  1. Jackson94

    Rafiki na adui nani anafaa katika mafanikio?

    Habari rafiki, karibu tena katika wasaa mzuri kwenye mtandao huu wa Falsafa za Mafanikio. Leo tunaenda kujifunza mtu muhimu katika mafanikio kati ya rafiki na adui. Bila shaka umeshaanza kupata picha na una majibu tayari kichwani kwako lakini naomba uungane nami ili nipate kukushirikisha kitu...
  2. Leslie Mbena

    Baraza jipya la Mawaziri: Geofrey Mwambe na Dkt. Philip Mpango turufu mpya za ukuaji wa uchumi katika awamu hii ya mwisho ya Rais John Magufuli

    BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI:MH GEOFREY MWAMBE NA DKT PHILIP MPANGO TURUFU MPYA ZA UKUAJI WA UCHUMI KATIKA AWAMU HII YA MWISHO YA RAIS JOHN MAGUFULI. Leo 13:25hrs 06/12/2020 TIC ndio mzizi uliosimikwa chini kwa Maendeleo ya Taifa la Tanzania,TIC ina wajibu wa kuifanya Tanzania kuwa sehemu bora kwa...
  3. Masokotz

    Nini kinaendelea kwenye Uchumi wa Tanzania?

    Kuna watu wenye maoni tofauti kuhusu hali ya kiuchumi ya Tanzania. Kuna wanaofikiri kwamba uchumi wetu kama taifa unayumba na kuna ambao wanasema kwamba uchumi unakua. Katika hali ya kawaida kabisa ni lazima kila anayetoa hoja awe na sababu za msingi na ambazo zitahakikisha kwamba hoja...
  4. B

    Balozi Dr. W. Slaa: Azungumzia Diplomasia ya kupatiwa Maendeleo hadi Diplomasia ya Uchumi na Biashara

    The Exclusive Interview | Hon. Dr. W. Slaa, Tanzania Ambassador in Sweden Mh. Balozi Dr. W. Slaa anayeiwakilisha Tanzania nchini Sweden azungumzia ngazi za diplomasia toka diplomasia ya utegemezi ili kuletewa Maendeleo mpaka kugeuka diplomasia ya Uchumi na Biashara. Mh. Balozi Slaa anafafanua...
  5. Naantombe Mushi

    Ukuaji wa uchumi unategemea sana hisia za watu, tuendepo hali ya uchumi itakuwa ngumu ikiwa watu watakuwa na hisia za kutishwa na vyombo vya serikali

    Habarini wakuu, Umuofia kwenu!! Kuna matukio kadha wa kadha ambayo yametokea ndani ya kipindi cha mwezi mmoja uliopita, mengi yakihusiana na kesi mbalimbali za TRA dhidi ya raia na makampuni ya kitanzania. Issue kama ya shule ya St. Jude, Mobisol na kuna mtu wangu wa karibu anafanya kazi benki...
  6. Rutunga M

    Askofu Bagonza (Phd) juu ya anguko la Uchumi Tanzania leo kaandika haya

    UZOEFU TOKA ARGENTINA Wiki hii tumepokea ripoti tatu zinazofanana. Kwanza, iliyokuwa hotel maarufu ya Grudoto kubadilishiwa matumizi na kuwa bweni la chuo katikati ya kampeini za kitaifa kuboresha utalii. Kama tujuavyo, utalii unahitaji hotel nzuri. Pili, mgogoro kati ya kiwanda cha Dangote na...
  7. M

    Ushauri kwa Rais: Ili kukuza uchumi wa nchi na kupata fedha za ujenzi wa miundombinu, Mishahara ya watumishi wa umma na viongozi wa kisiasa ipunguzwe

    Wapo watumishi wa Serikali pamoja na viongozi wa kisiasa wanalipwa mishahara mikubwa Sana. Wapo wanaolipwa mpaka Laki nane, Tisa, milioni 2, 3, 4, 5, 10, 20 n.k kwa mwezi kiasi kwamba Hata ikikatwa na kuwa nusu yake bado kitakuwa Ni kiwango stahiki kitakachokidhi mahitaji Yao ya msingi na...
  8. U

    Prof. Kabudi: Rais wa Ufaransa amwandikia Barua kumpongeza Rais Magufuli kwa kuiwezesha Tanzania kuingia Uchumi wa Kati

    Rais wa Ufaransa Emanuel Macron amuandikia Barua kumpongeza Rais Magufuli kwa kuiwezesha Tanzania kuingia Uchumi wa kati miaka mitano kabla ya muda uliopangwa Serikali imesema katika kipindi cha pili cha awamu ya pili ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Dkt John Pombe...
  9. Roving Journalist

    Chuo cha Uhasibu Arusha chadaiwa kudahili Wanafunzi wengi kuliko uwezo wake, wengine wasomea na kuishi Hoteli ya Ngurdoto

    Chuo cha Uhasibu Arusha – Institute of Accountancy Arusha (IAA) kimedaiwa kufanya udahili kwa idadi kubwa ya wananafunzi kuzidi uwezo wake, jambo linalosababisha uongozi wa chuo kuhamishia wanafunzi wa baadhi ya kozi katika hoteli ya Ngurdoto. Baadhi ya Wanafunzi hao ambao wamepelekwa Ngurdoto...
  10. D

    Mfumo wa Uchumi wa Dunia (World Economic Order) unaopendelea nchi za Magharibi ndiyo chimbuko la matatizo yote haya nchini.

    Tukiacha ushabiki wa kisiasa na itikadi, Sasa ninaanza kufahamu kwa nini Mwalimu Nyerere, Mandela, Augustino Neto na wengine walipiga kelele kuhusu Mfumo wa uchumi Duniani kugandamiza nchi za Afrika na Dunia ya Tatu. Lakini pia ninaanza kuona kwa nini Mwalimu alipigia chapuo sana South South...
  11. E

    Namtafuta anayesoma masters ya uchumi UDSM

    Habarini za Leo wakuu, Namtafuta mtu anayesoma masters ya Uchumi UDSM. Kama yupo hapa ajitokeze
  12. T

    Utabiri wa Siasa na Uchumi kwa mwaka 2021

    Nianze kwa kusema utabiri wangu utajikita zaidi kwenye hali yakisiasa na uchumi ila ikiwa tu serikali yangu haito badili sera za uchumi kwa walizo kuw nazo ktk mwaka 2020. Ajira niwazi kuwa kwa kipindi kimepita sera za serikali haziku stimulate uajiri ktk secta nyingine ukiacha ujenzi ndio...
  13. D

    Ninakubaliana na Rais hakuna vita ngumu kama ya uchumi, tushikamane

    Maisha ni uchumi na uhuru wa kweli ni uchumi. Wale waliosomea siasa Uchumi yaani political Economy wanajua uhusiano wa siasa na uchumi. Pia wanafahamu uhusiano wa binadamu juu ya uzalishaji. Kimsingi mapambano yoyote ya kisiasa msingi wake ni uchumi ni nani apate nini na kwa wakati gani. Taifa...
  14. Elius W Ndabila

    David McAllister hajawahi kuipenda Serikali ya Tanzania "Ni vita ya uchumi"

    TUSIHOFU, HII NDO VITA YA KIUCHUMI Na Elius Ndabila 0768239284 Jana kumezuka mtifuano mkali kwenye mitandao ya kijamii baada ya kile kilichoelezwa kuwa ni maazimio ya bunge la EU kwa Tanzania. Lakini baada ya ufafanuzi wa Balozi wa Tanzania juu ya wapotoshaji hali imetengamaa. Lakini pamoja na...
  15. YEHODAYA

    Buou ni kweli Tanzania imefikia uchumi wa kati kama mtu anabisha aangalie hii video ya nchi ya Cameroon

    Tanzania tuko uchumi wa kati anayebisha ushahidi huu hapa angalia video hii ya nchi ya Cameroon
  16. D

    Wakati nchi ikiwa uchumi wa kati, mradi wa anwani za makazi "Post Code" ukamilishwe haraka

    Nimesikia Mkoa wa Kagera umezawadiwa kuhusu utekelezaji wa mradi wa anwani za makazi mwaka huu nikapata hamasa kutoa maoni yangu kuhusu umuhimu wa kukamilisha mradi huu nchi nzima kwa haraka iwezekanavyo ili kuchochea ukuaji wa uchumi. Mradi huu unaonekana kwenye macho ya wananchi kama ni kitu...
  17. Superpower

    Kuunda uchumi mkubwa kunahitaji maarifa. Sasa leo jifunze kupata maarifa kutoka kwenye lugha yoyote ile

    Kama kichwa Cha habari hapo juu Kinavyojieleza hapo juu ni kwamba lugha imekua sio tatizo tena kwa mtu kujipatia maarifa kutoka kwenye vitabu na nakala mbalimbali. Sasa mm leo nimekuletea video mbili part 1 inayohusu jinsi ya kutafsiri hardcopy na part 2 inayohusu kutafsiri softcopy kwa Tshs...
  18. wanzagitalewa

    Tufanye haya ili kuendelea kuimarisha uwekezaji na ukuaji wa uchumi Tanzania

    Tunaelekea kuufunga mwaka wa 2020 na panapo majaliwa itakuwa heri kwetu kuuona mwaka 2021. Miezi hii ya mwisho wa mwaka huwa ni wakati mzuri wa tafakari ya wapi tumefanikiwa mwaka huu. Kama nchi, Tanzania ina mambo mengi ya kujivunia mwaka huu na mojawapo ni lile la kuingia katika kundi la nchi...
  19. J

    Kamanda Mambosasa: Saruji ipo ya kutosha jijini Dar, wanaopandisha bei ni wahujumu uchumi tutawashughulikia!

    Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SACP), Lazaro Mambosasa amewataka wafanyabiashara kuuza cement kwa bei iliyowekwa na serikali vingiinevyo watashughulikiwa kisheria. Mambosasa amesema jiji la Dar es Salaam lina cement ya kutosha hivyo...
  20. Mjomba Fujo

    Haya ni makadirio ya kutingishwa kwa uchumi kwa kufungia mitandao kwa siku 4

    Hizi ni estimates za upotevu wa mapato kwenye shughuli za kiuchumi kwa sekta zote kutokana na ufungwaji wa mitandao ya kijamii. Waathirika ni wote hakuna alieachwa, makampuni ya simu, serikali na wadau wote.
Back
Top Bottom