EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Kati ya hivi ni kipi kinafanya uchumi wa nchi na uchumi wa mtu mmoja kukua
1. Je kutoza kodi kubwa kunafanya uchumi kukukua?
2. Je kutoza kodi kidogo kunafanya uchumi Kukukua?
3. Je kufanya kazi za udhalishaji mali kwa bidii kwa, masaa mengi kunafanya uchumi kukua?
Lete jibu hapa na utupe maelezo ni kwanini?
1. Je kutoza kodi kubwa kunafanya uchumi kukukua?
2. Je kutoza kodi kidogo kunafanya uchumi Kukukua?
3. Je kufanya kazi za udhalishaji mali kwa bidii kwa, masaa mengi kunafanya uchumi kukua?
Lete jibu hapa na utupe maelezo ni kwanini?