Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,696
- 218,216
Sina cha kuongeza ili kukwepa mkono wa TCRA, nimeweka vielelezo tu baasii.
Subiri tukuwekee flyover ya Mfugale , Au siyo ?Na mazuri mpige picha basi. Kila siku negative tuuuu.
Mazuri ya Nini!? Tunataka mabaya ili yaboreshwe hatupo hapa kusifiana. Mkisifiana huko lumumba inatoshaNa mazuri mpige picha basi. Kila siku negative tuuuu.
Kweli Aiseeee !!Sijakomenti Wala ku'sharre
Yeye kaweka changamoto ili zitatuliwe kama ile shule ya kule Ubungo, ambapo JPM alimpongeza aliyeirusha mtandaoni. Wewe weka picha za mazuri sasa...Na mazuri mpige picha basi. Kila siku negative tuuuu.
Mazuri si ni hayo uliyoweka wewe ya Makamu wa Rais kushindwa kusema Bwana Asifiwe au kuna mengine tena ?Huu ni unafiq wa hali ya juu. Mbona mambo mazuri hamleti picha
Vipi mmeshawalipa wale walalahoi mishahara yao au tuendelee na mchakato wa kupiga mnada kituo?Huu ni unafiq wa hali ya juu. Mbona mambo mazuri hamleti picha
Ili yafanyiwe nini?Huu ni unafiq wa hali ya juu. Mbona mambo mazuri hamleti picha
Hata mimi nina wasiwasi mkuuHuyu Silinde atakuwa ni pandikizi la Chadema lenye lengo la kuiumbua serikali kwa njia za kistaarabu!
Afisa kipenyo?Huyu Silinde atakuwa ni pandikizi la Chadema lenye lengo la kuiumbua serikali kwa njia za kistaarabu!
Hawa jamaa hata aibu huwa hawana ?View attachment 1709777
Sina cha kuongeza ili kukwepa mkono wa TCRA , nimeweka vielelezo tu baasiiii .