uchumi

  1. Elius W Ndabila

    Ijue SGR, mwarobaini wa uchumi wa Tanzania

    SGR NDIO MWAROBAINI KATIKA KASI YA UCHUMI WA TANZANIA. Na Elius Ndabila 0768239284 Standard Geuge Railway (SGR) ni reli ya kisasa ambayo hutumia umeme. Ujenzi wa reli hii ya kisasa ya SGR tunaweza kusema inakuja kama mbadala iliyoachwa na Wakoloni. Historia inasema kuwa treni tunazotumia sasa...
  2. Erythrocyte

    Uchumi wa Kati : Naibu Waziri Tamisemi Mhe. Silinde akikagua Vyoo vya Shule ya Msingi Namalombe iliyoko Nanyumbu Mkoani Mtwara

    Sina cha kuongeza ili kukwepa mkono wa TCRA, nimeweka vielelezo tu baasii.
  3. Fatma-Zehra

    Kubadilisha noti kutamsaidia sana Magufuli kwa sasa katika vita dhidi ya ufisadi

    Let me admit. JPM ana mapungufu ya kutosha. Hata hivyo, bado ni chaguo sahihi kwa vita ya ufisadi. I believe, pesa nyingi zimefichwa "majumbani chini ya magodoro". Ninamuomba achapishe noti mpya haraka iwezekanavyo. Kwenye matumizi ya dola amejitahidi sana. I advise him to do the same wakati...
  4. Zero Hours

    Tujiulize, vita ya uchumi tunapigana na nani?

    Asilimia 80% ya hotuba za Rais John Pombe Magufuli huzungumzia jinsi tulivyo katika vita ya kiuchumi. Lakini mpaka anamaliza awamu yake ya kwanza, hajawai kutueleza hii vita tunapigana na Taifa gani. Katika maongezi yake, ni kama vile kuna nchi kubwa haitaki Tanzania tuendelee kiuchumi. Hii...
  5. Informer

    Rais Magufuli: Watanzania endeleeni kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Korona. Sijazuia matumizi ya Barakoa!

    Ameyasema hayo akiwa St. Peters katika Ibada alipopewa nafasi ya kutoa neno. VIDEO:
  6. Miss Zomboko

    Tabora: Wafanyakazi wa TANESCO wafikishwa Mahakamani kwa uhujumu Uchumi

    Aliyekuwa Meneja wa Tanesco Mkoa wa Tabora, Mohamed Abdallah D’Souza na aliyekuwa Mhandisi Mwandamizi wa Tanesco, Melkiad Msigwa wamepandishwa kizimbani kwa makosa saba, likiwemo la ujuhumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya Sh 60,066,382.40. Wamefikishwa mahakamani na Taasisi ya Kuzuia...
  7. Miss Zomboko

    Serikali ya Tanzania kuweka vituo vya kufundisha Kiswahili kwenye Balozi zake

    Serikali nchini imeagiza uwepo wa vituo rasmi ya kujifunzia lugha ya Kiswahili katika nchi zenye balozi lengo likiwa ni kupanua matumizi ya lugha hiyo kimataifa. Akizungumza leo bungeni jijini Dodoma, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema hatua hiyo itasaidia kufungua fursa za kiuchumi ikiwemo...
  8. Miss Zomboko

    Salome Makamba: Uchumi wa Tanzania umesimama tu tangu 2001. Rais haambiwi ukweli na wateule wake

    Dodoma. Mbunge wa Viti Maalum Salome Makamba aliyefukuzwa Chadema amesema itachukua zaidi ya miaka 60 ili kufikia pato la dola 1,500 kwa mtu mmoja kwa mwaka. Makamba alisema tatizo hilo linatokana na uchumi wa Tanzania kusimama tangu mwaka 2001 na kudai wateule wanashindwa kumwambia ukweli Rais...
  9. Mung Chris

    Ukuaji wa uchumi kwa kasi

  10. B

    Wasomi wenye PhD Tanzania wametupa supplimentary ya Biashara na uchumi: soon Taifa litadisco

    Tulipoanza awamu ya tano nakukusanya wasomi wote mashauri nakuwaingiza wizarani na mashirika ya umma niliamini taasisi wanazoongoza zinakwenda kupiga hatua hasa yakimkakati endapo tu wasomi hao wataacha mentality za lecturers kwenye biashara na uchumi. Miaka michache baadaye walioteuliwa hasa...
  11. TODAYS

    Spika Ndugai: Tunatengeneza vijana wa kucheza Pool table, wakikaa na simu wanaperuzi tu

    Kutoka Dodoma. "Tunatengeneza vijana wa kucheza Pool table, ambao wakikaa na simu wanaperuzi mitandaoni tu". "Nafikiri labda tuongeze kodi labda itapunguza hata sijui, hivi tufanye kitu gani ili tuhakikishe kila mtu anafanya kazi, maafisa maendeleo ya jamii hawafanyi kazi" -Job Ndugai. Nini...
  12. Sky Eclat

    Hii ndiyo hali halisi katika uchumi wa kati

  13. Darucha

    Naomba majibu ya swali hili la Uchumi

    What are the main types of production function and what are their application in economic problem?
  14. Mung Chris

    Uchumi wa kati husababisha ongezeko la bidhaa kupanda juu na maskini kuishi kwa shida?

    Mwenye majibu ya haya atujuze maana tumeambiwa uchumi wa kati ni maisha kuboreka, maendeleo makubwa na maskini kupungua kwa idadi. Sasa haya ya upandaji wa bidhaa kama Mafuta, Sabuni, Unga wa ngano, sukari kwa sasa sh. 2,800 ndio majibu ya uchumi wa kati? Kuna Wilaya imeanza kutumika kama...
  15. E

    Watumishi mnaohamia private kutoka Serikalini mnahujumu uchumi

    Kwenu watumishi mnaoajiriwa bila hata kufanya interview. Watumishi mnaopangiwa vituo vya kazi na serikali kama wanafunzi wanao jiunga kidato cha kwanza kupitia elimu bure. Kisha mnaanza kuleta kiburi na kutelekeza vituo vya kazi kwa kuhamia private mkidai kwamba serikalini hakuna maslahi mazuri...
  16. Nigrastratatract nerve

    WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

    Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers...
  17. J

    UCHUMI: Hisa ni nini?

    Hisa ni sehemu ya umiliki wa kampuni. Hivyo hisa moja inawakilisha asilimia ndogo ya umiliki katika kampuni Kama kampuni ina hisa milioni moja na mwekezaji anamiliki hisa 100,000 mwekezaji huyu anamiliki 10% ya kampuni. Mwekezaji anayenunua hisa basi ananunua haki ya kumiliki kampuni. Stahili...
  18. Miss Zomboko

    IMF yakadiria uchumi wa dunia utakua kwa asilimia 5.5 mwaka huu

    Ripoti ya Mtazamo wa Uchumi wa Dunia iliyotolewa hivi karibuni na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) imekadiria kuwa, uchumi wa dunia utakua kwa asilimia 5.5 mwaka 2021, ikiwa ni asilimia 0.3 zaidi ya makadirio yaliyotolewa mwezi Oktoba. Mchumi mwandamizi wa IMF Gita Gopinath amesema, sehemu...
  19. Kinoamiguu

    TANZIA Mkuu wa Idara ya Uchumi Chuo cha Diplomasia, Dkt. Ahmed Mtengwa afariki dunia

    Habari kwenu ndugu zangu. Aliyekuwa mkuu wa Idara ya Uchumi wa Chuo cha Diplomasia Kurasini Dar es Salaam amefariki Dunia mapema leo. Dkt. Mtengwa alifariki katika hospital ya Muhimbili alipokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mfupi. Mipango ya mazishi inaendelea nyumbani kwao Masaki DSM...
  20. B

    Je, unaweza kukata rufaa usiporidhika na kushushwa kutoka uchumi wa kati kwenda huo uchumi mdogo?

    Mfano nchi ikitoka uchumi wa kati ikarudi nyuma inautwa nchi ya uchumi gani? Sifa au vigezo vinavyoweza kuishusha nchi kutoka uchumi wa kati vipi? Siku nchi inaposhuka Nani anatangaza na anatangaza kwa njia gani? Je unaweza kukata rufaa usiporidhika na kushushwa kutoka uchumi wa kati kwenda...
Back
Top Bottom