mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
WanaJF,
Niliposoma katiba ya Kaji waliomba ilichagiza Zaidi wateule wa Rais watokane Na mikoa yao. Hii inaleta maana kwamba Ni rahisi wananchi wa sehemu hiyo kupata mwakilishi mzuri Na Kwa kuwa anakuwa anafahamu vizuri maeneo Ni rahisi kuondoa migogoro ya kwao kuliko kuleta Mgeni asiyefahamu maeneo husika.
Mikoa ya mara, Morogoro, ruvuma, mtwara, kagera Kuna chamoto nyingi Za migogoro ya hapa Na pale, pengine Ni rahisi kama mkuu wa Mkoa na kamati yake wanaweza kusikilizwa Zaidi. Mfano JPM alivyokuwa anazunguka amekutana Na dhuruma nyingi akazitatua, hizi zimetokana Na rushwa au kutokujari Kwa vile hayawahusu.
Niliposoma katiba ya Kaji waliomba ilichagiza Zaidi wateule wa Rais watokane Na mikoa yao. Hii inaleta maana kwamba Ni rahisi wananchi wa sehemu hiyo kupata mwakilishi mzuri Na Kwa kuwa anakuwa anafahamu vizuri maeneo Ni rahisi kuondoa migogoro ya kwao kuliko kuleta Mgeni asiyefahamu maeneo husika.
Mikoa ya mara, Morogoro, ruvuma, mtwara, kagera Kuna chamoto nyingi Za migogoro ya hapa Na pale, pengine Ni rahisi kama mkuu wa Mkoa na kamati yake wanaweza kusikilizwa Zaidi. Mfano JPM alivyokuwa anazunguka amekutana Na dhuruma nyingi akazitatua, hizi zimetokana Na rushwa au kutokujari Kwa vile hayawahusu.