Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,524
- 5,785
Naomba tusidanganyane, ni uchumi upi wa kati ambao umeme unakatika katika ovyo. Hakuna umeme wa uhakika.
Mkiniunguzia FLAT SCREEN YANGU inchi 52 SUPER LED SAMSUNG mtaweza kuilipa? Mkiniunguzia FRIJI YANGU ya milango miwili ile kubwa kabisa, mtaweza kulipa? Nawauliza.
Multi systems zangu zilizopo kila kona ya nyumba na taa automatic kila mahali hadi nje, mkiunguza mtakuja kulipa zikiungua? MNA pesa ya kunilipa?
Kwanini mnakata umeme ovyo? Kama ni mgao semeni bwana
Mkiniunguzia FLAT SCREEN YANGU inchi 52 SUPER LED SAMSUNG mtaweza kuilipa? Mkiniunguzia FRIJI YANGU ya milango miwili ile kubwa kabisa, mtaweza kulipa? Nawauliza.
Multi systems zangu zilizopo kila kona ya nyumba na taa automatic kila mahali hadi nje, mkiunguza mtakuja kulipa zikiungua? MNA pesa ya kunilipa?
Kwanini mnakata umeme ovyo? Kama ni mgao semeni bwana