MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imetangaza nafasi za ajira 524 ili kujaza nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na nafasi 206 za maofisa wasimamizi wa kodi.
Tangazo la TRA limeorodhesha idadi ya nafasi hizo na vigezo kwa waombaji na kwa ujumla waombaji wanapashwa kuwa tayari kufanya kazi popote pale...
Karibuni tupeane Updates kuhusu nafasi za kazi zilizotangazwa TRA, tusaidiane jinsi ya kujaza form na kukamilisha maombi kwa pamoja.
Wasilisha hapa changamoto unayokutana nayo katika kufanya maombi yako, kisha wadau watakuja hapa kutoa msaada. karibuni sana
Habari wanaJF.
Naomba kwa yeyote anayejua sababu zilizopelekea mamlaka ya mapato Tanzania yaani TRA kuajiri wenyewe aniambie?
Kusema ukweli ajira zinazopita utumishi ziko fair sana. Nimeshuhudia watoto wa maskini kabisa wakipata ajira TRA tena bila connection yoyote. Utumishi japo wana...
Je huu mfumo wa TRA kwa nini hawajaintegrate na mfumo wa NIDA ili kupunguza kupata data ambazo ni tatizo huko mbeleni. Je kwa nini wasingetumia mfumo wa TUME YA AJIRA AMBAO TAYARI UPO.....
Kama TAIFA TUNARUDI NYUMA.
Nimeona tangazo la nafasi za kazi kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kwa nafasi mbali mbali.
Maswali langu ni:
1. Imekuwaje TRA wamejipa(kama ni kweli) jukumu la kuanza mchakato wa ajira(recruitment process)?
2. Ni lini sheria imebadilika kutoka PSRS(Sekretariat ya Ajira katika Utumishi...
Nimeona tangazo la kazi za TRA. Kwa Sasa inaonekana wataajiri wenyewe bila kupita Utumishi.
Je, watoto wa Mamantilie watapita? Nakumbuka enzi za Dkt. Slaa na majina ya watoto wa vigogo BOT.
Yajayo yanafurahisha.
Job Title: Office Assistant II (14 Posts)
Responsibilities
To distribute documents to respective offices.
To collect and forward mail to Post Office.
To move files to and from registries.
To open office doors in the morning and close the same in the evening.
To carry out photocopying and...
Job Title: Legal Counsel II (12 Posts)
Responsibilities
To identify Court cases which are suitable for settlement out of judicial processes and recommend to the supervisor.
To draft legal documents as may be assigned.
To give legal opinions or advise on matters related to functions and...
Job Title: Assistant Lecturer
Responsibilities
To teach up to NTA level 8 (Degree).
To prepare learning resources for lectures and tutorial exercises.
To conduct tutorials and seminars for students.
To participate in the design, delivery and evaluation of training programmes.
To design and...
Job Title: Customs Assistant II (24 Posts)
Responsibilities
To control imports, export and transit goods.
To examine goods.
To enter the Data into the Customs System.
To maintain field records in the Customs system.
To release goods when physical verification conforms.
To keep records and...
Job Title: Tax Management Assistant II (65 Posts)
Responsibilities
To process application for new taxpayers’ registration and facilitate issuance of Taxpayer Identification Number (TIN).
To manage return filing processes including identifying none and late filers.
To manage tax assessments...
Job Opportunity: Customs officer II (41 Posts)
Responsibilities
To control imports, export and transit goods.
To carry out documentary verification.
To prepare enquiries and offence files.
To assess and value goods.
To release goods after payment of duties.
To prepare various returns for...
Job Title: Tax Management Officer II (206 Posts)
Responsibilities
To assist in the preparation of action plans.
To conduct face vetting of tax returns.
To conduct desk audit on simple cases and assist in field audits.
To conduct physical and compliance surveillance surveys.
To prepare...
Job Title: Risk officer II (Actuarial Scientist) (3 posts)
Responsibilities
To prepare statistical data and evaluate them to determine potential risks
To explore ways to reduce risks analysed
To prepare findings to management for decisions.
To provide advice based on calculations in ways that...
Job Title: Principal Risk Officer (Actuarial Scientist)
Responsibilities
To analyse statistical data and evaluate them to determine potential risks
To explore ways to reduce risks analysed
To supervise and coordinate communication of findings to management for decisions.
To provide advice...
Wako wafanyabiashara kadhaa EFD zao zimezimwa na TRA na zinaonyesha ujumbe mzuri kabisa DEVICE BLOCKED BY TRA bila kusema sababu.
Hii inawezekanaje wakati ambao TRA inahamasisha toa risiti dai risiti?!
TRA Tanzania wagoma kufungua office za Vingunguti, wananchi wataka kuvunja mlango na kulazimisha wahudumiwe. Hadi muda huu milango imefungwa, walipa kodi wako nje na wengine wameamua kuondoka zao.
UPDATE: Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Saad Mtambule ametembelea Mtaa wa Nia Njema Mei 23, 2023, baada ya kusoma post hii ya JF
DC aliambatana na Mhandisi wa Wilaya na maafisa wengine. Baada ya kukagua ujenzi wa gorofa hilo, wamebaini kuwa linajengwa bila kibali cha manispaa na chini ya...
Raisi wa Awamu ya Tano, Mheshimiwa John Pombe Magufuli mtetezi wa wanyonge aliyasema haya kuhusiana na ulipaji kodi pamoja na vitimbwi vya TRA
Maisha yako ni Baraka, Historia yako ni hadhina Kwa Nchi🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.