tra

  1. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Je, ni kwanini TRA isibinafsishwe ili kuongeza tija na ufanisi katika ukusanyaji mapato?

    Kwakuwa TRA imekuwa moja ya sehemu zenye ufanisi mdogo na utendaji mbovu kabisa serikalini, ni kwanii mamlaka hii isibinafsishwe hata kwa waarabu tu ili kuongeza tija na ufanisi katika ukusanyaji mapato?
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa TRA ajira leo hovyo

    Toka asubuhi hakuna kitu
  3. chugaa

    JamiiForums Tanzania TRA Kulikoni server ipo chini ni Aibu. Kazi tunajaza vp?

    TRA wametangaza kazi kupitia domain yao https://tra.go.tz/ lakini tangu jana ipo chini. Nashangaa sana kwanini wanafanya hivyo na ni Aibu. Pitia hapa IIS Windows Server ujionee. Hizi kazi tangu 6/6 napambana kujaza nashindwa. Waongeze muda Asee. Wengine tumeshindwa kujaza kazi.
  4. BigTall

    JamiiForums Tanzania TRA: Usajili wa TIN kwa mwananchi umri kuanzia miaka 18 siyo kwa ajili ya biashara bali ni kwa utambuzi

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema hadi kufikia Desemba 31, mwaka huu kila mtu mzima nchini anatakiwa kuwa na Namba ya Mlipa Kodi (TIN). Hayo yameelezwa na Ofisa Mkuu wa Usimamizi wa Kodi (TRA), Hamadi Mteri wakati wa ufunguzi wa semina kwa wanachama wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa...
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Bagamoyo: 52% ya bidhaa zinazokaribia kupigwa mnada na TRA, hazina mwenyewe

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza kupiga mnada bidhaa mbalimbali ambazo zitaendelea kukaa katika vituo vya forodha kwa siku 30 baada ya tangazo lao. Kwenye tangazo hilo wameambatanisha excel sheet yenye orodha ya bidhaa, wamiliki na mahali zilipo. Bidhaa hizo ni za sehemu mbalimbali...
  6. comte

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yatangaza nafasi za ajira 524

    MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imetangaza nafasi za ajira 524 ili kujaza nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na nafasi 206 za maofisa wasimamizi wa kodi. Tangazo la TRA limeorodhesha idadi ya nafasi hizo na vigezo kwa waombaji na kwa ujumla waombaji wanapashwa kuwa tayari kufanya kazi popote pale...
  7. Born_T0WN

    JamiiForums Tanzania Ajira mpya za TRA

    Karibuni tupeane Updates kuhusu nafasi za kazi zilizotangazwa TRA, tusaidiane jinsi ya kujaza form na kukamilisha maombi kwa pamoja. Wasilisha hapa changamoto unayokutana nayo katika kufanya maombi yako, kisha wadau watakuja hapa kutoa msaada. karibuni sana
  8. G

    JamiiForums Tanzania Ni sababu zipi zimefanya TRA kuajiri wenyewe badala ya Utumishi?

    Habari wanaJF. Naomba kwa yeyote anayejua sababu zilizopelekea mamlaka ya mapato Tanzania yaani TRA kuajiri wenyewe aniambie? Kusema ukweli ajira zinazopita utumishi ziko fair sana. Nimeshuhudia watoto wa maskini kabisa wakipata ajira TRA tena bila connection yoyote. Utumishi japo wana...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Mfumo wa kuomba ajira wa TRA hauna sehemu ya namba ya NIDA

    Je huu mfumo wa TRA kwa nini hawajaintegrate na mfumo wa NIDA ili kupunguza kupata data ambazo ni tatizo huko mbeleni. Je kwa nini wasingetumia mfumo wa TUME YA AJIRA AMBAO TAYARI UPO..... Kama TAIFA TUNARUDI NYUMA.
  10. Midimay

    JamiiForums Tanzania Je, Tangazo la Ajira TRA ni la kweli?

    Nimeona tangazo la nafasi za kazi kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) kwa nafasi mbali mbali. Maswali langu ni: 1. Imekuwaje TRA wamejipa(kama ni kweli) jukumu la kuanza mchakato wa ajira(recruitment process)? 2. Ni lini sheria imebadilika kutoka PSRS(Sekretariat ya Ajira katika Utumishi...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Je, TRA wameruhusiwa kuajiri wenyewe? Tunaenda mbele hatua 2 tunarudi nyuma hatua 10

    Nimeona tangazo la kazi za TRA. Kwa Sasa inaonekana wataajiri wenyewe bila kupita Utumishi. Je, watoto wa Mamantilie watapita? Nakumbuka enzi za Dkt. Slaa na majina ya watoto wa vigogo BOT. Yajayo yanafurahisha.
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Office Assistant II at TRA

    Job Title: Office Assistant II (14 Posts) Responsibilities To distribute documents to respective offices. To collect and forward mail to Post Office. To move files to and from registries. To open office doors in the morning and close the same in the evening. To carry out photocopying and...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Legal Counsel II at TRA

    Job Title: Legal Counsel II (12 Posts) Responsibilities To identify Court cases which are suitable for settlement out of judicial processes and recommend to the supervisor. To draft legal documents as may be assigned. To give legal opinions or advise on matters related to functions and...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Assistant Lecturer at TRA

    Job Title: Assistant Lecturer Responsibilities To teach up to NTA level 8 (Degree). To prepare learning resources for lectures and tutorial exercises. To conduct tutorials and seminars for students. To participate in the design, delivery and evaluation of training programmes. To design and...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Customs Assistant II at TRA

    Job Title: Customs Assistant II (24 Posts) Responsibilities To control imports, export and transit goods. To examine goods. To enter the Data into the Customs System. To maintain field records in the Customs system. To release goods when physical verification conforms. To keep records and...
  16. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Tax Management Assistant at TRA

    Job Title: Tax Management Assistant II (65 Posts) Responsibilities To process application for new taxpayers’ registration and facilitate issuance of Taxpayer Identification Number (TIN). To manage return filing processes including identifying none and late filers. To manage tax assessments...
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Customs Officer II at TRA

    Job Opportunity: Customs officer II (41 Posts) Responsibilities To control imports, export and transit goods. To carry out documentary verification. To prepare enquiries and offence files. To assess and value goods. To release goods after payment of duties. To prepare various returns for...
  18. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Tax Management Officer II at TRA

    Job Title: Tax Management Officer II (206 Posts) Responsibilities To assist in the preparation of action plans. To conduct face vetting of tax returns. To conduct desk audit on simple cases and assist in field audits. To conduct physical and compliance surveillance surveys. To prepare...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Risk Officer II (Actuarial Scientist) at TRA

    Job Title: Risk officer II (Actuarial Scientist) (3 posts) Responsibilities To prepare statistical data and evaluate them to determine potential risks To explore ways to reduce risks analysed To prepare findings to management for decisions. To provide advice based on calculations in ways that...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Principal Risk Officer (Actuarial Scientist) at TRA

    Job Title: Principal Risk Officer (Actuarial Scientist) Responsibilities To analyse statistical data and evaluate them to determine potential risks To explore ways to reduce risks analysed To supervise and coordinate communication of findings to management for decisions. To provide advice...
Back
Top Bottom