Vladmir Putini
JF-Expert Member
- Mar 22, 2022
- 777
- 1,442
Wakuu habari za muda huu.
Kuna kampuni hivi jina niipe jina la X imefilisika, kwa hiyo ikabidi wafanyakazi wasitishiwe mikataba yao (redandacy).
Hivyo basi kwa sababu hilo suala liko kisheria (kupunguzwa kazini) ikanibidi na mimi niwemo kwenye orodha ya wanaopunguzwa kazini.
Sheria zote zimefatwa za watu kupunguzwa kazini, kwa hiyo ikabidi kila mwajiriwa alipwe kiasi flani cha pesa ili aachane na kampuni totally.
Niweke wazi tu bila kuficha hesabu yangu ilipigwa ikaja kama 2.7 milion hivi ambayo natakiwa nilipwe ili niachane na hiyo kampuni.
Kilichinifanya nije hapa ni hayo makato yatakayokatwa kutoka kwenye hiyo 2.7 milion ndiyo yamenikimbiza nikamwacha mwajiri mezani kwa kuhisi ananiibia.
Sasa wale wenye ujuzi na makodi ya TRA naombeni mnisaidie kujibu maswali yafuatayo.
1. Ni kodi asilimia ngapi (%) ambayo mwajiriwa hukatwa na TRA kutoka mshahara wake ?
2. Je, kisheria mtu anaepunguzwa kazini (anapoteza ajira) kwa kustishiwa mkataba, stahiki zake anazolipwa na aliyekuwa mwajiri wake zinapaswa kukatwa kodi pia ?
3.Kwenye hii 2.7 milion mwajiri amenambia kodi ni zaidi ya laki 5 na nusu, imenibidi nipate wazimu nimwache mezani niondoke kwanza.
Maana nimejipigia hesabu ya haraka haraka tu, kipindi nalipwa laki 5, kodi ya TRA ilikuwa inalipwa 14,000 tu.
Hivyo nikafikiri labda 2.7 milion ina laki tano tano kama 5 hivi na point.
That means kodi ya TRA ingekuwa 14,000 × 5 = almost 70,000 elfu.
So nilidhani labda kwenye 2.7 milion kodi ya TRA ingekuwa labda 90 elfu mpaka laki moja.
Sasa mwajiri ananambia kwenye 2.7 milion kodi ya TRA ni laki 5 na 78 elfu, je ni sawa hii au naibiwa .
Kuna kampuni hivi jina niipe jina la X imefilisika, kwa hiyo ikabidi wafanyakazi wasitishiwe mikataba yao (redandacy).
Hivyo basi kwa sababu hilo suala liko kisheria (kupunguzwa kazini) ikanibidi na mimi niwemo kwenye orodha ya wanaopunguzwa kazini.
Sheria zote zimefatwa za watu kupunguzwa kazini, kwa hiyo ikabidi kila mwajiriwa alipwe kiasi flani cha pesa ili aachane na kampuni totally.
Niweke wazi tu bila kuficha hesabu yangu ilipigwa ikaja kama 2.7 milion hivi ambayo natakiwa nilipwe ili niachane na hiyo kampuni.
Kilichinifanya nije hapa ni hayo makato yatakayokatwa kutoka kwenye hiyo 2.7 milion ndiyo yamenikimbiza nikamwacha mwajiri mezani kwa kuhisi ananiibia.
Sasa wale wenye ujuzi na makodi ya TRA naombeni mnisaidie kujibu maswali yafuatayo.
1. Ni kodi asilimia ngapi (%) ambayo mwajiriwa hukatwa na TRA kutoka mshahara wake ?
2. Je, kisheria mtu anaepunguzwa kazini (anapoteza ajira) kwa kustishiwa mkataba, stahiki zake anazolipwa na aliyekuwa mwajiri wake zinapaswa kukatwa kodi pia ?
3.Kwenye hii 2.7 milion mwajiri amenambia kodi ni zaidi ya laki 5 na nusu, imenibidi nipate wazimu nimwache mezani niondoke kwanza.
Maana nimejipigia hesabu ya haraka haraka tu, kipindi nalipwa laki 5, kodi ya TRA ilikuwa inalipwa 14,000 tu.
Hivyo nikafikiri labda 2.7 milion ina laki tano tano kama 5 hivi na point.
That means kodi ya TRA ingekuwa 14,000 × 5 = almost 70,000 elfu.
So nilidhani labda kwenye 2.7 milion kodi ya TRA ingekuwa labda 90 elfu mpaka laki moja.
Sasa mwajiri ananambia kwenye 2.7 milion kodi ya TRA ni laki 5 na 78 elfu, je ni sawa hii au naibiwa .