BrownRange

JF-Expert Member
Dec 25, 2020
927
1,190
Wakuu poleni na majukumu.

Nikiwa najishughulisha na biashara ya clearing na forward, Nina KERO kubwa kwa TRA.

Quality na Assurance standard inasemaje kwa mafaili yaliyomaliza kufanyiwa kazi. Maana mafaili yanajaa ofisini mpaka yanaanza kuharibikia humo humo kabatini

Kwa uzoefu wangu, baada ya kumaliza shughuli Fulani, miezi mitatu Hadi sita inatosha kudiscard document zilizotumika


Kama hakuna standard hii, nawashauri TRA mfikirie kuhusu Jambo hili, umekuwa KERO maofisini

Naomba kuwasilisha
 
Wakuu poleni na majukumu.

Nikiwa najishughulisha na biashara ya clearing na forward, Nina KERO kubwa kwa TRA.

Quality na Assurance standard inasemaje kwa mafaili yaliyomaliza kufanyiwa kazi. Maana mafaili yanajaa ofisini mpaka yanaanza kuharibikia humo humo kabatini

Kwa uzoefu wangu, baada ya kumaliza shughuli Fulani, miezi mitatu Hadi sita inatosha kudiscard document zilizotumika


Kama hakuna standard hii, nawashauri TRA mfikirie kuhusu Jambo hili, umekuwa KERO maofisini

Naomba kuwasilisha
Hii hainihusu.
 
Wadiscard documents zilizotumika alafu next year akitaka kukukadiria Kodi atumie reference ipi?
 
Back
Top Bottom