Bonanza la michezo kati ya TRA na wafanyabiashara wa Kariakoo Dar, lafana

TRA Tanzania

Member
Jul 16, 2022
78
223
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mhe. Albert Chalamila pamoja na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA) Bw Alphayo J. Kidata leo 01/07/2023 wameshiriki Bonanza la michezo la TRA na Wafanyabiashara wa Kariakoo lengo likiwa kuboresha afya,mahusiano bora na kuhamasisha utoaji wa risiti za EFD
RC CHALAMILA.jpg
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mhe. Albert Chalamila pamoja na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania ( TRA) Bw Alphayo J. Kidata leo 01/07/2023 wameshiriki Bonanza la michezo la TRA na Wafanyabiashara wa Kariakoo lengo likiwa kuboresha afya,mahusiano bora na kuhamasisha utoaji wa risiti za EFDView attachment 2675286
Nyie TRA hebu acheni kodi kandamiza jameni.
 
Nyie TRA hebu acheni kodi kandamiza jameni.
Hata mwezi haujaisha toka Bunge likae,mkiambiwa fatilieni bunge mjue nini kinaendelea jadiliwa mpo tu na mambo ya simba yanga,manu , man city sasa hawa kina zakayo kosa lao hapo sijui ni lipi.kodi wao ni wakusanyaji tu. wamejichanganya na wafanyabiashara nalo kosa wasipojichanganya kosa sasa wafanye nini?kazi yao wao ni kukusanya kodi tu.kama unaona wamejiwekea kodi wao nenda mahakamani halafu ndiyo utajua mbivu na mbichi uone sheria ilivyo .
 
Hata mwezi haujaisha toka Bunge likae,mkiambiwa fatilieni bunge mjue nini kinaendelea jadiliwa mpo tu na mambo ya simba yanga,manu , man city sasa hawa kina zakayo kosa lao hapo sijui ni lipi.kodi wao ni wakusanyaji tu. wamejichanganya na wafanyabiashara nalo kosa wasipojichanganya kosa sasa wafanye nini?kazi yao wao ni kukusanya kodi tu.kama unaona wamejiwekea kodi wao nenda mahakamani halafu ndiyo utajua mbivu na mbichi uone sheria ilivyo .
Nakurekebisha kidogo, kweli Sheria hutu gwa na bunge. Lakini bunge halitungi sheria muuza nguo dukani alipe sh ngapi. TRA wao kutumia taalumayao ndio wana kazi ya kutafsiri Sheria

Kwenye kutafsiri ndio hapo inaonekana kuna tatizo, maana Kuna muuza nguo dukani anatozwa mfano mil 2 kwa mwaka. Alafu Kuna muuza nguo mwingine mwenye duka mwingine anatozwa laki 4

Ukadiriaji kod huwa unafanyika kwa macho, alafu mtu wa TRA ndio anasema unatakiwa kulipa kiasi gani. Hapa ndio kuna wale wasio waaminifu huomba rushwa ili kukadiria kidogo

Sio yote wayafanyayo hawa watumishi huwa ni kosa la taasisi bali huwa ni kosa la mmoja mmoja ndio maana wengine huchukuliwa hatua.
 
Nakurekebisha kidogo, kweli Sheria hutu gwa na bunge. Lakini bunge halitungi sheria muuza nguo dukani alipe sh ngapi. TRA wao kutumia taalumayao ndio wana kazi ya kutafsiri Sheria

Kwenye kutafsiri ndio hapo inaonekana kuna tatizo, maana Kuna muuza nguo dukani anatozwa mfano mil 2 kwa mwaka. Alafu Kuna muuza nguo mwingine mwenye duka mwingine anatozwa laki 4

Ukadiriaji kod huwa unafanyika kwa macho, alafu mtu wa TRA ndio anasema unatakiwa kulipa kiasi gani. Hapa ndio kuna wale wasio waaminifu huomba rushwa ili kukadiria kidogo

Sio yote wayafanyayo hawa watumishi huwa ni kosa la taasisi bali huwa ni kosa la mmoja mmoja ndio maana wengine huchukuliwa hatua.
yale majedwali tunayoletewaga kwenye semina siyanatoka kwenye sheria mfano mauzo kati ya 4-7 alipe 100,00/= sasa utasemaje ni hao mabwana wao ndiyo wamesema? ni kweli makadirio huwa kati ya wao na sisi wenye biashara ndiyo maana mimi natumia kumbukumbu zangu vizuri nilienda kadiriwa nijue mzunguko wangu upoje.tatizo wengi tunaogopa tumia kumbukumbu zetu za mwaka ulioisha kuonyesha mwenendo wa biashara hapo ndipo unapoanza mgogoro.halafu kama biashara inabadilika hata kama wamekufanyia makadirio rudi ni haki yetu sababu hayo ni makadirio siyo uhalisia.tusiogope ni haki yetu.
 
Back
Top Bottom