BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Gambo amesema suala hilo linapaswa kuingizwa kwenye Sheria ili kuepusha kuwaingiza TRA kwenye mtihani wa kuendelea kufunga biashara kwasababu suala hilo haliko Kisheria bali maelekezo ya tu Viongozi.
Aidha, ameongeza kuwa TRA watakapoacha kufunga biashara waache pia kufungia akaunti za Wafanyabiashara pamoja na kuchukua Vifaa vyao zikiwemo Kompyuta kwa maelezo ya kwenda kufanya uchunguzi wa masuala ya Kikodi.