thread

  1. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Special thread: National geograpic best shorts

    A collection of animals, insects and other creatures photos taken by various professional photographers around the world...! Selected best shots! Wild Domestic Marine Enjoy the wonderful moments in the animal world❤❤❤📍 Credit goes to Facebook animal groups
  2. kiss ov love

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrejesho wa thread ya “Hapa kuna mapenzi kweli au napotezewa muda?”

    Habarini wakuu Husika na kichwa cha habari hapo juu hiyo thread naimani wengi mna ikumbuka. Guys hiyo siyo chai kwanza sina hizo tabia za kuleta vitu vya uongo watu wapoteze nguvu zao kunishauri. Nilivyoleta hiyo thread wengi mlinishauri kwa namna mlivyoona inafaa kwa namna mimi nilivyokuwa...
  3. Isaka James

    JamiiForums Tanzania Jaza Form ya TCRA Usijepatwa na Shida, Serikali Inakufuatilia Vipi? (Watumiaji wa VPN Special Thread)

    Habari wadau wa JamiiForums, Leo nimekuja na kichwa moto kuhusu hili swala la VPN ambalo limekuwa likiwaka kama moto wa gari la maji mitandaoni! Tangu 2023, serikali kupitia TCRA ikawavunja moyo wengi kwa kusema kila mtu anayetumia VPN, iwe mtu binafsi au kampuni, lazima ajaze form rasmi ya...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mashati ya kiume special thread

    Habari Naomba niende kwenye mada tajwa hapo juu Nauza mashati ya kiume size zote Kwa Bei nafuu Nafanya deliver mikoani na ndani ya dar es salaam Karibuni sana 0686153806 Whatsapp Bei ya rejareja Kwa mashati ya mikono mifupi ni 20,000/- Mashati ya mikono mirefu ni 25,000/- Mazungumzo...
  5. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Kama unahitaji design ya dream house yako fuatilia hii mada

    ave thread maana tutapost design nyingi kali hapa from our design gallery, tunapost daily +255624004650
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Wasifu wa Wagombea Urais Uchaguzi Mkuu 2025

    1. ACT WAZLENDO LUHAGA MPINA Jina Kamili: Luhaga Joelson Mpina Chama: ACT Wazalendo Tarehe ya Kuzaliwa: 5 Mei 1975 (Tanzania) Elimu: Shahada ya Uhasibu (B.Acc) – Mzumbe University; MSc – University of Strathclyde Historia ya Siasa: Mbunge wa Kisesa tangu Desemba 2005-2025 (CCM) Waziri wa...
  7. immortanity

    JamiiForums Tanzania Special Thread | UEFA Champions league, 2025/2026

    Huu utakuwa uzi maalumu kwa ajili ya mashindano ya mabingwa ulaya (UEFA) updates zote
  8. Mi mi

    JamiiForums Tanzania DISS TRACKS THREAD

    Nas - Ether What's up niggas, hey yo, I know you ain't talking 'bout me dog You, what? ("Fuk Jay-Z") You been on my dick nigga, you love my style, nigga ("Fuk Jay-Z") Fuk with your soul like ether (Will) Teach you the king you know you (Not) "God's son" across the belly (Lose) I prove you lost...
  9. Mwachiluwi

    JamiiForums Tanzania Special thread Big Brother 2025 on DSTV 198 chanell

    Hello Hii thread ni special kwa Big brother 2025 imeanza ina oneshwa DSTV chanell 198 Je una hisi ya mwaka uhuu itakuwa more na tulizo zoea kuziangalia?
  10. Powell Gonzalez

    JamiiForums Tanzania RIP Ali Kibao, na Wengine wote ambao hatujui wako wapi au nini kiliwakuta

    Mods naomba msifute uzi huu, sina maana ya kuchochea wala kukosoa bali kuonyesha kusikitishwa na matukio ya kupotea, kutekwa na kuuwawa kwa baadhi ya Watanzania huku baadhi yao tukiwa hatujui wako wapi hadi sasa. Tunawaombea wale wote waliotangulia, na ambao wapo mahali labda wametekwa (hatujui)...
  11. T

    JamiiForums Tanzania French learning thread

    Mambo vp wadau Umekuwa ukitamani kujua/kujifunza lugha ya kifaransa? Karibu tuwe pamoja kwenye hii thread uweze kujifunza maneno mbalimbali ya lugha ya kifaransa. Uliza swali lolote au neno lolote la kifaransa nami nitakujibu na kukufundisha. Karibu tujifunze pamoja
  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Tundu Antipas Lissu special thread (CHADEMA CHAIRMAN)

    Wana JF kuna mahali tulipitiwa na kujisahau.. Tulipaswa kuwa na mada maalum ya Tundu Antipas Lissu. Mwanasheria nguli, mwanaharakati wa haki za binadamu na sasa mfungwa wa kisiasa wa kesi ya uhaini na mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanganyika Ana historia yake maalum .. Ana mengi...
  13. sanalii

    JamiiForums Tanzania Fun thread: Wavaa kobaz vs wayahudi wa bonyokwa

    Huu sio uzi wa chuki wala kejeli, ni namna ya kutazama haya makundi mawili hapa jamiiforums ambayo, wao huwa wanaangalia kigezo cha dini tu, yani yuko radhi usiku aite mchana ili kutetea upande wake. Ukichukulia haya mambo serious unaweza kuumwa kichwa, haya makundi ni special na sio ya kuyapa...
  14. The Humble Dreamer

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Uchaguzi TFF 2025

    Salaam Members: June mwaka huu TFF walitoa tangazo la kuwepo kwa uchaguzi kwa nafasi ya Urais na nafasi za Wajumbe 6 wa kamati ya utendaji. Hapa utazipata updates za hatua zote za awali hadi uchaguzi mkuu utakaofanyika Tanga tarehe 16/08/2025. Pia kama una updates zozote unaweza share nasi...
  15. Teslarati

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania House Parties Special Thread

    Wakuu mimi mambo ya NRNE au sijui vita vya iran na israel hayanihusu. Kuna muda huwa nadhan mimi chimbuko langu ni walatini sababu likija swala la starehe ninastareheka haswa, dont get it wrong kwenye kazi nafanya kazi haswa. I'm just someone who once am set up to do something I do it to the...
  16. Truth Bot AI

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Uzi Maalumu kwa Ajili ya Kujifunza Jinsi Ya Kuandika Prompt mbalimbali kuziweka kwenye Akili Mnemba

    Kabla ya Yote Thread Hii inahusu Prompt zote, Maandishi Ramani,vitabu,tafsiri , barua,uandishi, Utengenezaji wa Kila Kitu haijajikita Kwenye picha Peke yake.., Kwahiyo nawaomba Mod Wasiunganishe na Uzi wowote.. Nimeona Wengi tukisumbuka Kutengeneza Prompt mbalimbali Kwa Ajili ya Matumizi ya...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Peter Kibatala: Barua ya kulifungia Kanisa la Askofu Gwajima si halali na haitambuliki na Wizara

    Akisoma majibu ya Rufaa yaliyotumwa kwao Juni 6, 2025 kutoka kwa Ofisi ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Wakili Peter Kibatala ametoa maelezo ambayo yanaonesha kuna “hali ya sintofahamu” kuhusu barua iliyotumika kulifungia Kanisa la wateja wake, Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church maarufu kwa...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Japan uses cars special thread

    Habari Pasipob kupoteza muda naomba niende kwenye mada Moja kwa Moja Nimeandaa Uzi huu Kwa lengo la kuposti magari used Toka Japan na Bei zake yakiwa bila Kodi lkn pia yakiwa yamejumuishwa Kodi na ni Kodi zipi na mtu anapaswa kulipa Kwa awamu ngapi na kutakuwa na full details za kila GARI...
  19. JMF

    JamiiForums Tanzania Mazda CX 5 special thread

    Hii hapa iko na mtiririko mzuri na uandishi uliokaa sawa Kama kawaida, nimeamua kufungua uzi huu maalum kwa ajili ya Mazda CX5 kama nilivyofanya kwa Subaru Forester na magari mengine. Lengo ni tukutane hapa tukishirikiana uzoefu, ushauri, changamoto na mbinu mbalimbali za kuitunza na...
  20. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Kuna nadharia yoyote inayothibitisha uwepo wa ANANNAKI? Anannaki ni nini?

    UTANGULIZI: Anunaki (ANUNNAKI) ni jina linalotokana na maandiko ya kale ya Sumeria, Akkadia, Ashuru na Babeli (eneo la Mesopotamia ya kale—leo ni Iraq). Hawa Anunaki walikuwa miungu katika imani za watu wa maeneo hayo. Kuna maelezo mbalimbali kuhusu wao, lakini kwa ujumla, Anunaki...
Back
Top Bottom