Leicester City Football Club is an English professional football club based in Leicester in the East Midlands. The club competes in the Premier League, England's top division of football, and plays its home games at the King Power Stadium.[2]
Leicester City
Full name
Leicester City Football...
Huu uzi ni kwa ajili ya madereva wa Uber ku-share mikasa wanayokutana nayo katika kazi zao. Nimeamua kuuanzisha baada ya dereva mmoja kunisimulia mastory ya abiria anaokutana nao hasa nyakati za usiku siku za weekend wakiwa wamekolea.
Hivi vituko vinavoendeleaga vinawakuta na wengine? Nina hamu...
Katika maisha kuna mambo ambayo tunahisi tunayajua / tuko sahihi kuamini hivyo mpaka pale inapotokea unafahamu kwamba unavyoamini sio sawa. Yapo mengi kama vile kuamini -
> Mtu akikuruka miguu utakuwa mfupi hadi pale atakaporudia kukuruka.
> Kutumia sukari nyingi, (eg: kwenye chai / juisi)...
Karibuni kwenye uzi maalumu kwa wale wapenzi wa Comics (Super heros) hasa kwa mashabiki wa DCEU movies na MCU movies.
Mimi ni mshabiki wa Marvels hasa Doctor Strange upande wa DC nampenda Joker tu.
MCU ilianza mwaka 2008 ambapo Kevin Feige,Victoria Alonso na Louis Despocito waliungana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.