thread

  1. Superbug

    JamiiForums Tanzania JamiiForums ikikosa thread mpya kwa siku afya yangu inatetereka

    Jf inanipa uraibu mbaya Sana nimeshafanya kautafiti Yani kukiwa hakuna nyuzi mpya katika majukwaa yote huwa afya yangu inapata shida . Mfano mafua makali Kichwa kuuma Mwili kuchoka haraka Kushindwa kufanya maamuzi kwa wakati nk. Je nifanyaje niondokane na huu uraibu wa jf? Kuna wakati...
  2. Trust me ankali

    JamiiForums Tanzania Mrejesho kikao cha mabaharia juu ya suala la Hamida

    1)Kwa pamoja tumeamua kuwa mabaharia wote Tanzania tusitongoze wanawake wanaoitwa Hamida kwa miaka mitano hadi pale Hamida aliyemtesa baharia mwenzetu atakapojitokeza na kuomba radhi 2) Ndugu yetu aliyepata mkasa huu tutamtafutia wanawake watano wazuri zaidi kisha tutamuozesha kwa gharama...
  3. roselina john

    JamiiForums Tanzania Ladies tunaopenda Muziki wa Kongo tuonane kwa hii thread

    Mara chache kukuta mwanamke anayependa music from Congo But some of them have an interest, Bolingo 1.Nzele- Madilu 2.Bandeko- Madulu 3.Ton Ton -Madilu 4.Sydiegi-Madilu 5.Associe - Fally Pupa 6.Faulta de Jon -Koffi 7.Papaa- Ngwasuma 8.Loi- Koffi I real like Congo Music
  4. mni

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba mnisaidie kwa mawazo

    Asante
  5. kali linux

    JamiiForums Tanzania Forbidden technology, supressed science, covered history special thread

    Hello bosses uzi huu ni maalum kwa ajili ya kufahamishana technology mbalimbali ambazo kwa njia moja ama nyingine zimezuiwa au kufichwa au kuruhusiwa kutumika tu na watu au taasisi fulani pekee. 1)THE CURE OF ALL DISEASE BY Dr ROYAL RIFE Tuangalie kwanza Kiufupi wasifu wa Royal Rife. Royal...
  6. Stephen Ngalya Chelu

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kuweka picha zilizotengenezwa na kompyuta

    Habarini wakuu Nimeamua kuanzisha huu uzi maalumu kwa kuweka picha zilizotengenezwa kwa mifumo ya kompyuta. huu utakuwa ni uzi wa kuweka picha tulizozitengeneza sisi wenyewe na si picha za ku download au kuweka picha kutoka kwa mtu mwingine. Huu uzi ni wa kujumuisha watu wote: wanaozalisha...
  7. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuta ndege itafika kesho Jumatatu ila wameleta thread kutuzuga

    Mzuqa Haw watu wa ajabu. Unaweza kuta ndege itafika kesho Jumatatu Bongo. Wameleta thread kutuzuga eti mzungu kashinda kesi ili watu-mock na kutucheka ndege ikiwasili kwasababu hawa watu wanaishi kwa mashindano na kukomoana hili kujifariji wanapoharibu na kushindwa. Lyamber na barafu jaribuni...
  8. Happycuit

    JamiiForums Tanzania Leicester City (The Foxes) | Special Thread

    Leicester City Football Club is an English professional football club based in Leicester in the East Midlands. The club competes in the Premier League, England's top division of football, and plays its home games at the King Power Stadium.[2] Leicester City Full name Leicester City Football...
  9. Cicero

    JamiiForums Tanzania Madereva wa Uber, tupeni stori za mnayokutana nayo hasa weekend

    Huu uzi ni kwa ajili ya madereva wa Uber ku-share mikasa wanayokutana nayo katika kazi zao. Nimeamua kuuanzisha baada ya dereva mmoja kunisimulia mastory ya abiria anaokutana nao hasa nyakati za usiku siku za weekend wakiwa wamekolea. Hivi vituko vinavoendeleaga vinawakuta na wengine? Nina hamu...
  10. Kibuje

    JamiiForums Tanzania Thread Ya Vitu / Mambo uliyochelewa Kufahamu!

    Katika maisha kuna mambo ambayo tunahisi tunayajua / tuko sahihi kuamini hivyo mpaka pale inapotokea unafahamu kwamba unavyoamini sio sawa. Yapo mengi kama vile kuamini - > Mtu akikuruka miguu utakuwa mfupi hadi pale atakaporudia kukuruka. > Kutumia sukari nyingi, (eg: kwenye chai / juisi)...
  11. Pol mchina

    JamiiForums Tanzania Thread of pictures and lovely message

    Its just a simple thread which give u platform to meet witsa new knowledgeable friend..drop ur pic na ikibdi tupia location eg.dar or us ..
  12. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania Marvel Cinematic Universe special thread

    Karibuni kwenye uzi maalumu kwa wale wapenzi wa Comics (Super heros) hasa kwa mashabiki wa DCEU movies na MCU movies. Mimi ni mshabiki wa Marvels hasa Doctor Strange upande wa DC nampenda Joker tu. MCU ilianza mwaka 2008 ambapo Kevin Feige,Victoria Alonso na Louis Despocito waliungana...
  13. Aloyce Mkwizu

    JamiiForums Tanzania THE AIM.

    Tag a friend with same aim. #jamii forums.
Back
Top Bottom