Wote hao ni CCMAlikuwa Halima Mdee now we have Gwajima
Kuanzia Mbunge aliyepita mpaka sasaNadhani Mabwepande kuna laana ya asili
Kuna haja ya kufanya ibada kubwa za kutakasa ile ardhiKuanzia mbunge aliyepita mpaka sasa
Labda iongozwe na Bagonza, Mwamakula au Ponda hawa wengine ni wajasiriamali wa dini na siyo viongozi wa diniKuna haja ya kufanya ibada kubwa za kutakasa ile ardhi
Aliyeturoga alikufa na marking scheme ya kutuaguaThis has been a nice song to mabwepande people, kwamba kuna bwawa kubwa sana la mchina linaloweza kusambaza maji eneo lote na nje: imekuwa ndoto ya kusubiri labda usingizi ukiisha itatekelezeka
Hapo ni njaa inasubiri chakula, Mabwe chakula imetengwa mezani 2yrsHalafu mabwe pande na mpiji ni kama mlango na frem huku maji ni ya chumvi hata dalili ya Hilo bomba hatuioni
Weka picha tukuamini la sivyo ni porojo tu za vibarazani na vijiwe vya umbea.Mkoa wa Dsm mfano Mabwepande kuna sehemu bomba zimepita miaka miwili sasa maji hayajaruhusiwa, huku sio kupoteza tu mapato kwa msambazaji ambaye ni Serikali lakini pia haki ya kupata maji kwa mwananchi imedhulumiwa.
Weka picha la hilo bwawaThis has been a nice song to mabwepande people, kwamba kuna bwawa kubwa sana la mchina linaloweza kusambaza maji eneo lote na nje: imekuwa ndoto ya kusubiri labda usingizi ukiisha itatekelezeka
Kama nakuelewa hivi ulichokusudia ila acha nivunge tu.Kuna haja ya kufanya ibada kubwa za kutakasa ile ardhi