Dependency Injection
Member
- Aug 7, 2020
- 20
- 40
Wadau nina tatizo la kupoteza msisimko ninapovaa mpira kuanzia bao la pili. Bao la kwanza ninaenda bila shida, ila bao la pili na kuendelea nikivaa mpira msisimko huwa unapotea nikizubaa kupachika.
We kama huna cha kuchangiya kaa kimya.Balehe inakusumbua dogo
Kama hutaki kuzaliwa watoto wanao fanana na house boy ni muhimu.Kwani bao la pili ni lazima?
Balehe huambatana na kiburi sishangai hiloWe kama huna cha kuchangiya kaa kimya.
Hilo ni lazima kutokana ndiyo bao linachukua muda kidogo.Kwani bao la pili ni lazima?
Tatizo hilo lipo hasa kama mweza wako sio romantic na attractive, ila usilazishe mwili likigoma achana nalo ijipe mda, ukiendelea kulazimisha utakuja ufie kifuani cha demu wako......Wadau nina tatizo la kupoteza msisimko ninapovaa mpira kuanzia bao la pili. Bao la kwanza ninaenda bila shida, ila bao la pili na kuendelea nikivaa mpira msisimko huwa unapotea nikizubaa kupachika.
Ndiyo unavyofanyaga hivyo? Basi we tatizo lako limepitiliza.Weka Pili Pili matakoni
Wazenji mna shombo. Unataka aweke pilipili aje kukuomba umkuneWeka Pili Pili matakoni
Ila hapo kama napata picha. Huyu wa sasa hana utundu sana. Hata mikao unamuelekeza.Tatizo hilo lipo hasa kama mweza wako sio romantic na attractive, ila usilazishe mwili likigoma achana nalo ijipe mda, ukiendelea kulazimisha utakuja ufie kifuani cha demu wako......
Kama hutaki kuzaliwa watoto wanao fanana na house boy ni muhimu.
Vumbi la CongoIla hapo kama napata picha. Huyu wa sasa hana utundu sana. Hata mikao unamuelekeza.
Weka Pili Pili matakoni
kwamba asiogopeHiyo ni kawaida sio wewe tu broo