Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
As written:
Why is once-peaceful Tanzania detaining journalists, arresting schoolgirls and killing opposition leaders?
The bad news: among other human rights abuses, the Tanzanian government is targeting Tanzanians who need healthcare the most. Specifically gay and transgender men, school-aged...
Ni upi ukweli kuhusu sheria mpya ya mafao ya pensheni? Wengi hawaelewi haswa kinachojiri, na wengine hupata taarifa zinazozua taharuki miongoni mwa walio karibu kustaafu, hasa zile zinazowaambia watapata robo tu ya kile ambacho wenzao walipata kabla ya kutumika sheria mpya.
NARUKA!: Haya ni...
U.S. Embassy Tanzania
Kuzorotoa Kwa Haki Za Kiraia Na Haki Za Binadamu Tanzania
Serikali ya Marekani imesikitishwa sana na matukio ya mashambulizi yanayoshamiri na hatua za kisheria zinazochukuliwa na serikali ya Tanzania, ambazo zinakiuka uhuru wa raia na haki za binadamu, na zinazojenga...
LEO NIMEELEWA KWANINI WAHENGA WALITUMIA NENO "ROHO YA KOROSHO" WAKIMAANISHA ROHO MBAYA:-
Korosho INA roho mbaya sana imemuondoa waziri wa kilimo, utafikiri yeye ndiye mkulima wake. Wenzie mahindi na mbaazi wako kimya japo nao soko limedoda, imemwondoa waziri wa viwanda na BIASHARA kwa kushindwa...
Ndugu zangu. Kwanza Mungu awabariki. Kuna ndugu yangu ameanza mahusiano na binti mwanasheria miezi kadhaa iliyopita. Kuna tetesi kwamba hawa viumbe huwa ni wakorofi na huwa hawataki kushindwa. Kuna mtu anayeweza kuthibitisha hili? Na tabia gani nyingine wanazo? Jamaa yangu anataka kujua.
'GADO' Godfrey Mwampembwa ni Mchora katuni mwingine ambaye Namkubali sana na sanaa yake ya Uhakika na Kufikirisha. Kwa kazi zake zaidi cheki hapa Tovuti ya Gado Toons
Hii ni salamu kwa Watakatifu wetu Vyombo vyenye Mamlaka, vinavyojua kazi zao vyema na Ambao hawayumbishwi na kelele zetu za Mitandao kuwafundisha kazi.
Tafadhalini Angalieni namna CCTV za wenzetu waliopitwa na wakati zinavyofanya kazi.
Likitokea Tukio lingine Mtafute namna nyingine ya...
Inabidi tuanze kujifikirisha tena kidogo kwa fikra yakinifu dhidi ya Faida na Hasara za Uhusiano wa kidplomasia na Mataifa yenye Migogoro ili tusije kuingia kwenye kaburi ya Halaiki lililochimbwa na Reputations za Migogoro hiyo kwa kuingia Kichwa kichwa. Leo Tunashuhudia Palestina wakitupa...
Wanabodi,
Nimesoma mahali kuhusu mchango wa diaspora na influence yao kwenye siasa za nchi zao, hivyo najiuliza, je hawa wana diaspora wetu sisi Tanzania, waliotapakaa ulimwenguni kote, jee wana mchango wowote katika siasa za nchi yetu? Je, wana influence yoyote kutumia their exposure na the...
Hii ni sehemu ya pili katika muendelezo wa makala inayohusu uhusiano baina ya taifa tajiri na lenye nguvu duniani, Marekani na moja kati ya mataifa masikini duniani, Tanzania. Katika makala iliyopita niligusia kwa juujuu, maeneo ambayo uhusiano ulikuwa mzuri, hasa kwenye huduma za kijamii...
Starbucks imefungua mgahawa wake wa kwanza nchini Italia. Mgahawa huo umefunguliwa katika Jiji la Milan, kaskazini mwa nchi hiyo. Mojawapo ya kahawa zinazouzwa ni inayotoka Tanzania na inapatikana hapo kwa TZS 22,000 kwa gramu 100.
Familia ya hayati Devram Valambhia ineifungulia kesi serikali ya Tanzania kwenye mahakama ya District Court ya Columbia Marekani.
Kesi hii ni ya serikali kushindwa kuilipa kampuni hiyo madai yake baada ya kuuza vifaa vya kijeshi.
Mwanzo lilikuwa deni la $ 55098171.- lakini kutokana na riba na...
Kenyans online pressure Magufuli to release jailed Kenyan politician
Don Bosco Gichana, a Kenyan who has been jailed in Tanzania since 2013 without trial. [Photo/Trending News Kenya]
Kenyans are now piling pressure on Tanzania’s President John Pombe Magufuli to release a Kenyan who has been...
Kampuni ya kimataifa ya teknolojia ya malipo, imetangaza rasmi ushirikiano wa kimkakati kati yao na Maxcom Afrika ambayo itawawezesha wauzaji zaidi ya 30,000 kupokea malipo ya Visa kwa kutumia simu ya mkononi pamoja na mawakala 20,000 ambao watawezeshwa kupokea amana na kutoa malipo na...
Habari wana JF,
Baada ya mihangaiko ya hapa na pale ya kutafuta chochote ilimradi mkono uingize kitu kinywani, nimejikuta najiuliza sana haya maswali kuhusu pesa ya Tanzania
- Je, ni kampuni ipii inahusika kutengeneza na kuprint pesa ya Tanzania?
-Iyoo kampuni ikoo wapi na ni private au...
Source: Xinhua 2018-05-20 02:10:55
DAR ES SALAAM, May 19 (Xinhua) -- China said on Saturday good progress was being made on negotiations with the Tanzanian government on the 10 billion U.S. dollars Bagamoyo mega port and special economic zone, paving way for the long-delayed construction work...
UTANGULIZI:
Kuna uzi uliwahi kuanzishwa na Ndugu Mwanahabari Huru
Ambapo aliwasilisha mambo ambayo Bwana Evarist Chahali aliwahi kuyazungumza kuhusu hali ya Usalama hapa nchini. Japo dhumuni la huu uzi siyo kuyazungumzia hayo mambo bali kusema kile kitu ambacho Mkuu izzo alikiandika hadi...
What went wrong with The Economist?
I first encountered The Economist magazine as an undergraduate at the London School of Economics in the early 1960s. Richard Lipsey and Lord Robbins recommended it to me. It opened my eyes and I loved it.
It tried to depict the world according to economic...
11 JANUARY 2018
Tanzania: 'Dar to Become Regional Aviation Hub'
By Abduel Elinaza
DAR ES SALAAM has what it takes to become the regional aviation hub thanks to expansion of the Julius Nyerere International Airport (JNIA), domestic airlines and supporting aviation ecosystem, according to an...
Africa
SUSPENDED REALITY
Tanzania’s anti-corruption government is stifling the “Swahili Wikileaks”
Abdi Latif Dahir
December 12, 2017
Not so rosy presidency. (AP Photo/Khalfan Said)
Dar es Salaam
Maxence Melo is a man who knows the insides of Tanzania’s courthouses all too well.
In...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.