tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. bahati93

    JamiiForums Tanzania Jaribio la kugawanya vyama vya siasa Tanzania kutokana na misimamo ya siasa

    Mwanadamu kama mwanadamu waweza mtafsiri kama mnyama anayefanya siasa. Binadamu na maisha yake hapa duniani lazima afanye siasa, kwasababu siasa haikwepeki. Hii siasa yatokana na asili ya mwanadamu kushirikiana katika mambo tofauti. Hivyo, ili mwanadamu kuepusha kuishi kama wanyama pori...
  2. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kodi ya biashara iko vipi Tanzania

    Nimefanya biashara ya vitenge kutoka Holland. Nilishirikiana na wenzangu mzigo ulishukia Ghana. Kwakuwa nilikuwa ninaanza, wateja walikuwa wananifuata nyumbani. Nimewasiliana na kiwandani watakuwa wananitumia mzigo bandari ya Dar. Mzigo ni mkubwa, ni mpango wa kufungua duka la wholesale...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Ombi Maalumu kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Ndugu Dkt. Magufuli na Watanzania

    Ni matumaini yangu makubwa kuwa Wanachama wote wa huu Mtandao wa JamiiForums mpo salama kabisa na Mwenyezi Mungu anabariki japo najua Changamoto za hapa na pale kwa Mwanadamu haziepukiki ila Kikubwa ni kutokata tamaa na Kumtumainia Yeye tu Maulana / Mola kwani Yeye ndiye mpangaji na mtoaji wa...
  4. B

    JamiiForums Tanzania CECAFA Women Challange Cup 2019: Tanzania 9 - 0 South Sudan

    November 16, 2019 Dar-es-Salaam, Tanzania Tanzania 9-0 South Sudan CECAFA Women Challange Cup 2019 Source: Azam TV
  5. britanicca

    JamiiForums Tanzania Je, Rais wa Tanzania ipo siku atakuwa na la Kujibu kwenye mamlaka zijazo juu ya Kupotea kwa Ben Saanane?

    Nauliza swali hili very technically Niko Tiyari niendelee kukaa uhamishoni huku lakin na on a waandishi wa habari na watu wanaopaswa kuuliza ni waoga kupitiliza Saa Nane kwa Maneno yake Mwenyewe alisema "Nimetumiwa ujumbe baada ya kukosoa elimu ya mtu mkubwa na nikaambiwa andika Ben Saanane...
  6. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Usijaribu kufanya hivi hapa Tanzania

  7. Kambaku

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa Tanzania Vs Spika Ndugai Vs Wananchi

    Hivi wabunge wa Tanzania mkataba wao ukoje. Hawa ni wawakilishi wa wananchi na wananchi ndio huwatuma bungeni sasa kuna dhambi gani wananchi kuwatumia au kuwaandikia maswali wawakilishi wao ili wakaulize bungeni kwa niaba yao? Kwanini Spika alimkataza mbunge Devotha kuuliza swali kwa sababu...
  8. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi, Claims Analyst, Britam Insurance Tanzania

    Company: Britam Insurance Tanzania Location: Tanzania State: Dar Es Salaam Jobs Job type: Full-Time Job category: Administrative/Secretarial Jobs in Tanzania Job Purpose and Key responsibilities The role holder will be responsible for processing and payment of general insurance claims. The...
  9. Mystery

    JamiiForums Tanzania Hivi Rais Magufuli anataka kuigeuza Tanzania kuwa mali yake binafsi?

    Nimekuwa nafuatilia mwenendo wa utawala huu wa awamu ya tano na nimekuja na "conclusion" kuwa Rais Magufuli anataka kuigeuza nchi hii ya Tanzania kuwa Mali yake binafsi na yeye anaamini kuwa atakalosema yeye ndiyo sheria na litatekelezwa! Tunajua wazi kuwa Rais Magufuli kabla hajaingia...
  10. Greatest Of All Time

    JamiiForums Tanzania Anaitwa Roma: Wimbo mpya wa Roma Mkatoliki

    Roma Mkatoliki amerudi upya jamani. Ametoa wimbo mpya unaitwa "Anaitwa Roma". Ni Roma yule tuliyemzoea enzi za Mrisho akitamba na vibao vyake matata. Je Basata watauacha huu wimbo? Utafute mapema kabla hawajauchukulia hatua. Katika wimbo huo mimi nimependa mstari fulani hivi unasema; "Kwetu...
  11. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania IGP Sirro: Niwasisitize tu, wakati wa uchaguzi mtu asithubutu kuandamana, nitakushughulikia pale pale, kama ni suruali yako itachanikia pale pale

    IGP SIRRO ATOA ONYO KUELEKEA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA "Niwasisitize tu, wakati wa uchaguzi mtu asithubutu kuandamana, nitakushughulikia pale pale, kama ni suruali yako itachanikia pale pale kabla hujafika mbali na kwenda kuleta madhara kwa watu wasio na hatia,- Mkuu wa Jeshi la Polisi...
  12. Chief Kabikula

    JamiiForums Tanzania Nini faida ya Marais wastaafu wa Tanzania kwa nchi yetu?

    Tanzania mpaka sasa tuna marais wastaafu watatu ukiacha Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetangulia mbele za haki. Hawa marais wastaafu ni wazoefu na wajuzi sana wa mambo kupitia uzoefu wa kuongoza nchi kwa miaka kumi kila mmoja. Swali huo uzoefu, maarifa na ujuzi wao umesaidia...
  13. MAMESHO

    JamiiForums Tanzania Kwa mbinu kama hii Malaria na magonjwa yanayosababishwa na Mbu yanaweza kuondoshwa nchini Tanzania ndani ya miaka miwili

    Habari za leo kwanza kabisa nipongeze jitihada za dhati zinazofanyika kuondosha na malaria pamoja na magonjwa yanayotokana na Mbu katika safari zangu hivi karibuni nimesikia habari ambayo imenivutia na inaonyesha pengine tukiwapa nafasi wataalamu wetu binafsi pamoja na taasisi wanaweza...
  14. Kasimba G

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa habari wa Tanzania, Hoja kuu ya Mkapa ilikuwa nini?

    Wasalaam, Kuna tatizo la kimsingi la waandishi wetu wa habari, huenda ni kwa utashi, au uoga au muono pofu. Hoja ya Bwana Mkapa Jana imesulubishwa na kijihoja Cha kutakiwa kuuwawa kwa bwana mmoja! Nadhani waandishi walitakiwa ku -capitalize kwenye hoja za mleta hoja lakini wengi wao wameacha...
  15. njiwaji

    JamiiForums Tanzania Siku mbili tu kuchagua jina la sayari ya Tanzania

    SIku 2 TU zimebaki Je umeshachagua Jina la Sayarinje ya Tanzania (Name of Tanzania Exoplanet) Tanzania tumepewa fursa ya kuipa jina sayari iliyogunduliwa karibuni kuzunguka nyota. Angalia maelezo yake hapa katika tovuti hii Nenda kwenye tovuti hii kupata fomu ya kupiga kura kuchagua matatu...
  16. pinno

    JamiiForums Tanzania Kazi za Tanzania Airports Authority (TAA) nafaso ya Internal Audit II and Accountant II, alidhapatikana Mtu?

    Wakuu, hawa jamaa walitangaza hizi kazi mwezi wa nne Hivi walishaita watu kwenye usaili, maana nimejaribu kufuatilia sijaona tangazo lolote likiita watu kwa usaili na muda umepita sana au mimi ndo sina taarifa? Asante.
  17. U

    JamiiForums Tanzania Nashauri tubadili jina la nchi na tuitwe Kilimanjaro, badala ya Tanzania

    Nimesafiri na kuishi nchi mbalimbali duniani, ila nchi yetu si maarufu sana, yaani Zanzibar na Mountain Kilimanjaro ndio watu wanavijua, Tanzania hawaijui. Nahisi makosa yalifanyika katika kulichagua jina la nchi enzi hizo, japo nasikia toka awali huko ilishapendekezwa nchi iitwe Kilimanjaro...
  18. kavulata

    JamiiForums Tanzania Viwango vya wanahabari wetu Tanzania viko chini sana

    Nilikuwa nasikiliza vyombo vya habari fulani wakati wanahabari wa vyombo hivyo wakimhoji Juma Mgunda kuhusu kwanini wamemuacha Manula kwenye kikosi cha timu ya Taifa. Waandishi hao wanalazimisha ionekanane kama vile Manula kaonewa kuachwa kwenye kikosi, yaani wanachanganya na unazi wa timu...
  19. Kawe Alumni

    JamiiForums Tanzania Magufuli: Nikiwa Waziri nilinyweshwa sumu na viongozi waliochukia utendaji kazi wangu, nilitaka kujiuzulu

    Rais Magufuli akiwa kwenye uzinduzi wa Kitabu cha Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu, Mzee Benjamin Mkapa amefunguka mambo makubwa mno hajawahi kuyasema popote, mambo aliyoyasema ni pamoja na utendaji kazi wake uliomkosha Mzee Mkapa, Kuchukiwa na mawaziri na viongozi wengine wakubwa mpaka kunyweshwa...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Tanzania Red Cross Society

    Founded in 1962, Tanzania Red Cross Society has extended humanitarian services in helping those in need both Tanzanians and refugees from neighbouring countries. Over 50 years of its existence, the National Society is on “A Paradigm Shift”, looking from different perspectives to develop...
Back
Top Bottom