Word.Yule jamaa aliykf kwa corona ,,,jamaa yuko vzur kimkwanja...lkn ndo ivyo mda mwingine masking wanalindwa na Mungu + uchawi
Namibia has 11
Endelea kufunga na kuomba corona ikufikie ili namba iwe kubwa.
Bora umemwambia ukweli huyu Nyumbu, analazimisha watu waugue ana akili timamu kweli huyu? Kuanzia leo nimemtoa kwa wenye timamuEndelea kufunga na kuomba corona ikufikie ili namba iwe kubwa.
Hakika mtoa mada ni nyumbu.Bora umemwambia ukweli huyu Nyumbu, analazimisha watu waugue ana akili timamu kweli huyu? Kuanzia leo nimemtoa kwa wenye timamu
Dah!..ni kweli wanataka kufanya hayo majaribio huku Africa? Au mnawazushia uongo?
CodeMbona kuna nchi hazina maambukizi na zipo Afrika?Kwa hiyo unaona shida kuwa na idadi ndogo?Sio lazima tufanane kimaambukizi
Sent using Jamii Forums mobile app