Sioni umuhimu wa kuvaa Barakoa na Social Distance kwa Tanzania, nisaidieni

mimitungi

JF-Expert Member
May 14, 2013
737
261
Nimetafakari sana kuhusu hali halisi ninayoiona kitaani kuhusiana na mada tajwa hapo juu. Social distance ya mita 1 au zaidi ni usanii. Ukiingia kwenye daladala au kwenye masoko yetu hii kitu hakipo kabisa.

Sasa kwanini tunazungumzia kitu ambacho practically kwa watu was chini hakiwezekani. Suala LA Barakoa ndo usiseme, ni maigizo haswa. Kanuni inasema usiguse uso, pua wala macho.

Sasa najiuliza Mimi mwenyewe Mara ngapi najifuta jasho kwa kutumia leso yangu. Inajulikana kwamba ukishika hela mkononi unaweza ukapata Corona, sasa najiuliza je kila Mara ukishika hela lazima unawe? Mara ngapi? Mbona ni issue kwa wafanyabiashara na wanunuzi.

Kwa nionavyo, sioni mantiki ya kuvaa barakoa au social distance, naona ni upuuzi mwingine wa hali ya juu hasa ukizingatia barakoa inapunguza kiwango cha Oksijeni na hatimaye kusababisha stress inayopunguza kinga ya mwili.

Nawasilisha
 
Kiufupi sana, Corona sio ugonjwa wa kutisha sana kwa Homo sapiens walio chini ya jangwa la Sahara.
Badala yake umepewa sana airtime + promo hadi kufikia hii hali iliyopo.
NB; Korona ipo na inaua lakini haitishi sana, kujilinda ni jukumu la kila mmoja wetu.
Tatizo ni njia zinazopendekezwa kujilinda na WHO, naona zote ni adui wa kinga ya mwili yaani zinashusha sana kinga.
 
Kiufupi sana, Corona sio ugonjwa wa kutisha sana kwa Homo sapiens walio chini ya jangwa la Sahara.
Badala yake umepewa sana airtime + promo hadi kufikia hii hali iliyopo.
NB; Korona ipo na inaua lakini haitishi sana, kujilinda ni jukumu la kila mmoja wetu.
Kwani homo sapiens walioko waliotoka chini ya jangwa la.sahara wame mutate ? Mbona wakiwa nje inawaonea. We sema Mungu nae mkubwa kuna mambo binadamu wanajimwambafy ila Mungu anawaonesha utukufu binadamu wamejawa na kiburi. Jiulize kwa nini kirusi hakiathiri sana watoto wadogo
 
Kwani homo sapiens walioko waliotoka chini ya jangwa la.sahara wame mutate ? Mbona wakiwa nje inawaonea. We sema Mungu nae mkubwa kuna mambo binadamu wanajimwambafy ila Mungu anawaonesha utukufu binadamu wamejawa na kiburi. Jiulize kwa nini kirusi hakiathiri sana watoto wadogo
Ndio maana nimesema waliopo!
I didn't consider other factors like emigration & mobility.
 
Kwani homo sapiens walioko waliotoka chini ya jangwa la.sahara wame mutate ? Mbona wakiwa nje inawaonea. We sema Mungu nae mkubwa kuna mambo binadamu wanajimwambafy ila Mungu anawaonesha utukufu binadamu wamejawa na kiburi. Jiulize kwa nini kirusi hakiathiri sana watoto wadogo
Inahusiana pia na suala la latitude...
 
Mwenye kuijua thamani ya uhai wako na kuithamini ni wewe mwenyewe….. sasa kama mtu kujikinga mpaka apigiwe kelele kuna shida mahali. Vaa Barakoa (na tusharuhusiwa hata za vitambaa)….weka distance panga muda wako wa kwenda mahali kuepuka misongamano. Utasema daladalani ni shida ni kweli ila tunaweza kuchukua tahadhari kuliko kujiachia kabisa.
 
Mwenye kuijua thamani ya uhai wako na kuithamini ni wewe mwenyewe….. sasa kama mtu kujikinga mpaka apigiwe kelele kuna shida mahali. Vaa Barakoa (na tusharuhusiwa hata za vitambaa)….weka distance panga muda wako wa kwenda mahali kuepuka misongamano. Utasema daladalani ni shida ni kweli ila tunaweza kuchukua tahadhari kuliko kujiachia kabisa.
Barakoa siiwezi, inaninyima hewa, kuongea tabu, kupumua tabu madam usumbufu. Kwa ufupi hawa WHO siwaamini mapendekezo yao ni kama wanataka kutuua tu. Hata barakoa zina quality zake si yoyote inazuia virus.
 
Back
Top Bottom