Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,877
Madereva 5 wa magari ya mizigo wamekataliwa kuingia Uganda baada ya kukutwa na maambukizi ya #CoronaVirus. Sampuli za watu 655 zilipimwa mpakani na madereva hao wakakutwa, na kukabidhiwa kwa mamlaka za Tanzania
Awali, madereva walikuwa wanaruhusiwa kuingi nchini humo kabla ya kupatiwa majibu na walikuwa wakifuatiliwa ikiwa dereva husika akikutwa na maambukizi. Halii hii ilihatarisha watu wengine na utaratibu ukabadilika na madereva hulazimika kusubiri majibu
Wizara ya Afya nchini Uganda imetangaza kuwa na jumla ya maambukizi 294 za #CoronaVirus baada ya maambukizi mapya kupatikana katika sampuli 1,739 zilizopimwa Jumapili, Mei 24. Hadi hivi sasa Uganda haijaripoti kifo cha #COVID19
Awali, madereva walikuwa wanaruhusiwa kuingi nchini humo kabla ya kupatiwa majibu na walikuwa wakifuatiliwa ikiwa dereva husika akikutwa na maambukizi. Halii hii ilihatarisha watu wengine na utaratibu ukabadilika na madereva hulazimika kusubiri majibu
Wizara ya Afya nchini Uganda imetangaza kuwa na jumla ya maambukizi 294 za #CoronaVirus baada ya maambukizi mapya kupatikana katika sampuli 1,739 zilizopimwa Jumapili, Mei 24. Hadi hivi sasa Uganda haijaripoti kifo cha #COVID19