Uelewa wa maambukizi ya corona Tanzania ni mdogo

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
Misongamano ni mikubwa na wanaovaa barakoa ni wachache sana. Kilichoshindikana hapa ni kuwa uelewa wa watu ni mdogo au serikali haijatoa elimu ya kutosha kwa jamii?
Video ni mbadala wa nguo Kariakoo leo 24/05/2020
 

Attachments

  • IMG_4290.MP4
    7.5 MB
Misongamano ni mikubwa na wanaovaa barakoa ni wachache sana. Kilicho shindikana hapa ni kuwa uelewa wa watu ni mdogo au serikali haijatoa elimu ya kutosha kwa jamii?
Video ni mbadala wa nguo Kariakoo leo 24/05/2020
Tz tunalindwa tu na mungu hamna lolote tunalo jua kuhusu korona watu hawajui kujikinga dhidi ya korona ila kibaya zaidi wana siasa wana wachanganya zaidi mara korona imeisha mara vipomo ni fake nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Misongamano ni mikubwa na wanaovaa barakoa ni wachache sana. Kilichoshindikana hapa ni kuwa uelewa wa watu ni mdogo au serikali haijatoa elimu ya kutosha kwa jamii?
Video ni mbadala wa nguo Kariakoo leo 24/05/2020
Ni rahisi sana kufyeka watz wote kwa kaugonjwa manake watu hawajali na wana ujinga mkubwa.
 
Toa hio takataka corona

Sisi hatuna korona na tunadunda mtaani kama kawaida

Ungekutana na Makonda au Magufuli baada ya kuchangia uzi huu nina imani angekumegea burungutu la hela. Ila ukweli ndiyo huo, Corona ipo na bado ni janga hatari kabisa kwenye jamii yetu. Hivyo kujikinga hakukwepeki.

Kuficha taarifa za wahanga hakuwezi kuwa suluhisho la kudumu hata kidogo. Serikali inafanya tu ule mchezo wa mbuni kuficha kichwa chake kwenye mchanga.
 
COVID-19 ipo lakini mpaka sasa si tishio kwa bara letu la Afrika. Kwa hapa Tanzania Serikali (hasa Mh raisi)imewapotosha sana wananchi kuhusu janga la COVID-19.
 
Back
Top Bottom