Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeagiza majengo ya baa, kantini, mihagawa, maduka makubwa, hoteli na maduka ya vipodozi visajiliwe na walipe tozo

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
FB_IMG_1590503892509.jpg
 
Nikiwa sina pesa basi nitaanza kukagua mifuko ya nguo zangu zilizopo kabatini, nitaangalia uvunguni nitaangalia chini ya mto... hii yote ni juhudi za kuangalia kama kuna pesa niliisahau kabla hazijaisha.

Most cases huwa nakutana na buku buku, jero jero, jiti mbili... na maisha yanasonga!!

Naona na serikali inafwata nyayo zangu.
 
Tangazo gani mhimu kama hili limeandikwa kama barua ya uchumba....! Tozo hiyo inalipwa kwa sheria ipi, angeweka kwenye tangazo ingependeza zaidi.
 
Back
Top Bottom