tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. A question about possible remote folklore memories of Masudi's "Zanj Empire" in present Tanzania

    A question about possible remote folklore memories of Masudi's "Zanj empire" in present Tanzania. Dear forum visitors and participants! First of all please excuse me for using English - I'm not Swahili-speaker; I add below a Swahili translation of this post but I apologize for inebitable...
  2. Tufanye haya ili kuhakikisha sekta ya mawasiliano ya simu Tanzania inaendelea kukua na kustawi

    Tanzania imepata mabadiliko makubwa ya teknolojia katika kipindi cha miaka 10 iliyopita. Leo hii, Tanzania ina watu zaidi ya milioni 11 wanaotumia mtandao wa intaneti kupitia simu zao za mkononi. Maendeleo haya ni fursa ya kubadili maisha na kukuza maendeleo ya mtu mmoja mmoja na nchi kwa...
  3. P

    Tanzania imefika pabaya sana, nchi za magharibi zikimwaga silaha nchini na kuweka vikundi vya waasi, vijana wataunga mkono kwa wingi dhidi ya serikali

    Wenye mamlaka wanalo la kujifunza japo ngozi nyeusi ni vigumu sana kutokujimwambafy pale wanapopata madaraka. Hakika huku mtaani kila ninapopita vijana wanashangilia na wanaona kama USA na washirika wake hawajachukua hatua stahiki inabidi aongoze vikwazo au kama walivofanya Libya, kuna baadhi ya...
  4. Advocacy Officer at Tanzania Education Network

    Specific duties and responsibilities include Provide Support to development programs; identify and implement policy advocacy initiatives at local level. Ensure that local-level policy initiatives in which TEN/MET members engage are informed by micro-level work and support achievement of SD4 &5...
  5. Yafahamu magari ya bei nafuu unayoweza kununua Tanzania

    Kwa utafiti usio rasmi kwa mtazamo wangu baada ya kupita pita kwenye magroup ya Whatsapp na Kurasa za facebook za wauza magari yaliyotumika hapa Tanzania ni kama yafuatayo: Toyota Vitz, IST, Raum, Passo, Run X Mark II, Grande,Altezza Cresta, Brevis, Nissan X - Trail haya bei zake huanzia...
  6. Is USA pushing Tanzania to adopt her title IX of education amendment(1972)??

    Why is USA trying to intimidate Tanzania sovereignity by imposing laws suitable for USA to be adopted in Tanzania? Is this acceptable in the eyes of international community? Every Nation is free to make her own laws and regulations according to the natural existing circumstances. Tanzania...
  7. Tanzania iimarishe ushirikiano na Iran, Korea Kaskazini na jeshi liwe tayari kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani endapo wataendelea kutuandama

    Iran, Korea Kaskazini wamemudu kuwadhibiti wamarekani Nashauri tuunde umoja wa kushirikiana katika mambo mbalimbali Pia jeshi letu like mkao wa kula kumnyuka mmarekanj endapo ataendelea kushambulia viongozi wa serikali
  8. Sweden yapunguza misaada kwa Tanzania kuwa 75% kwa miaka mitano ijayo

    Sweden nao wameamua kujiridhisha pasina shaka kuwa Tanzania kuna Uminywaji wa haki za Binadamu na kupunguza misaada kwa Miaka mitano ijayo, maana yake Mpaka 2026 ambapo uwenda Magufuli akawa anatoka madarakani Nadhani baada ya Zitto kumaliza barua kwa USA sasa hii imeandikwa na Kiranga Source...
  9. Polisi Tanzania wamtaka Mwamposa kujisalimisha

    Jeshi la Polisi nchini Tanzania limemtaka mtume Boniface Mwamposa kujisalimisha mwenyewe polisi kwa mahojiano kutokana na vifo vya watu 20 vilivyotokea mjini Moshi Mkoa wa Kilimanjaro jana usiku Jumamosi Februari Mosi, 2020. Watu hao walifariki usiku wakati waliposhiriki kongamano la kidini...
  10. Benki ya FNB - Tanzania imesitisha kufungua akaunti za Forex

    Habari wana jukwaa; I must declare; Mimi bado ni mwanafunzi katika tasnia ya FOREX. Sasa jana nilienda pale FNB Ohio st. ili nifungue akaunti ambayo ingekuwa mahsusi kwaajili ya FX tu. Lakini zoezi halikufanikiwa kwasababu niliambiwa kuwa hivi sasa wameamua kutofungua tena akaunti za FOREX...
  11. P

    2026 Lazima ICC ikamate viongozi Kadhaa Tanzania

    2007/8 nilipokuwa internship katika firm ya wakili Ogeto (Kenya) niliona na kushuhudia namna ushahidi/evidence zinavyokusanywa na jopo la mawakili wa ICC imenipelekea pasipo shaka kuamini kuwa 2026 lazima kuna viongozi kwa mara ya kwanza kutoka Tanzania watakamatwa na ICC.. Wanaanzaga pole...
  12. What is the average salary of software engineer in Tanzania? Wastani wa Mshahara wa sofware enjinia ni kiasi gani?

    Hello, I am wondering what is the average monthly salary for developer/software engineer in Tanzania? Junior/Senior levels? Je mshahara wa programa wa kompyuta ni kiasi gani kwa mwezi? wastani. asanteni
  13. Kuna viongozi wetu hawajui kuwa Tanzania ni nchi kubwa sana Kimataifa! Tanzania ina rekodi ya kipekee Duniani bado haijavunjwa!

    With due respect, naomba niseme kuwa Tanzania viongozi wengi hawajui ukubwa na umuhimu wa nchi ya Tanzania kwenye jicho kuuu la Ki mataifa. Naomba niwakumbushe yafuatayo: Rais Bill Clinton akiwa madarakani aliwahi kutembelea Tanzania Rais Bill Clinton akapokelewa kijiti na Rais George Bush...
  14. Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!

    Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...
  15. Wazee wa Arduino tupeane changamoto hapa

    Mie changamoto yangu ni namna ya kupata ARDUINO original nyingi nakutana nazo ni clone tu wazee.
  16. Tundu Lissu alijua analolifanya ndiyo maana alisema 2020 atagombea Urais Tanzania

    Sheria mpya iliwekwa kuwa kila mgombea ni lazima awe ameishi Tanzania kwa miaka miwili mfululizo. Akatolewa u bunge kibabe na kuwekwa mbunge wa “viti maalum wasiojulikana” na wakati huo huo mbunge huyo akapewa mamilioni ya pesa ili atatue kero ya maji. Ushurikiano huo Lissu hajawahi kupewa...
  17. Jukata kufufua madai katiba mpya Tanzania

    Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata) limesema mwaka 2020 litafufua mchakato wa kudai Katiba Mpya. Kauli hiyo imetolewa leo Jumamosi Februari Mosi 2020 na mkurugenzi mtendaji wa jukwaa hilo, Bob Wangwe katika mafunzo maalum ya asasi za kiraia kuhusu namna zinavyoweza kulinda haki zao za kikatiba...
  18. Eliot Engel anatumiwa na nani kutaka kuchochea vurugu Tanzania?

    Huyu ni Mzee aliyeingia bungeni huko Marekani toka miaka ya 89 yaani huwezi kumtofautisha na mzee Wassira kwa kung'ang'ania cheo. Huyu ndiye mwenyekiti wa kamati ya mambo ya nje kwenye bunge la Marekani. ni mwanaharakati wa kutetea haki za mashoga na pia alikuwa ni mmoja wanaompinga Rais Trump...
  19. Ubalozi wa USA Tanzania unahusika katika vikwazo hivi

    Naamini Ubalozi wa Marekani nchini unahusika kwa asilimia 100% kutokea yaliyotokea jana ambayo kila mmoja anajua kilichotokea. Kama kuna makosa yaliyofanyika chini ya Makonda kwa kudhurumu haki za kuishi za wengine ushahidi uwekwe wazi Watanzania tujue.
  20. Bunge la Senate lapongeza zuio la Paul Makonda kuingia Marekani. Lasema huo ni mwanzo wa kuwawajibisha walioua demokrasia ya Tanzania

    Siongei sana
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…