Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Kwa utafiti usio rasmi kwa mtazamo wangu baada ya kupita pita kwenye magroup ya Whatsapp na Kurasa za facebook za wauza magari yaliyotumika hapa Tanzania ni kama yafuatayo:
Toyota Vitz, IST, Raum, Passo, Run X Mark II, Grande,Altezza Cresta, Brevis, Nissan X - Trail haya bei zake huanzia 3,000,000-7,500,000 angalizo lipo kwenye Brevis na Nissan X-Trail maana hayo magari kuuza hua ni shughuli kubwa sana.
Ila ajabu ni kwamba magari yanayouzwa Dar es salaam huwa yana bei kubwa ukilinganisha na yanayouzwa mikoani sijui tatizo lipo wapi.
Toyota Vitz, IST, Raum, Passo, Run X Mark II, Grande,Altezza Cresta, Brevis, Nissan X - Trail haya bei zake huanzia 3,000,000-7,500,000 angalizo lipo kwenye Brevis na Nissan X-Trail maana hayo magari kuuza hua ni shughuli kubwa sana.
Ila ajabu ni kwamba magari yanayouzwa Dar es salaam huwa yana bei kubwa ukilinganisha na yanayouzwa mikoani sijui tatizo lipo wapi.