Wenye mamlaka wanalo la kujifunza japo ngozi nyeusi ni vigumu sana kutokujimwambafy pale wanapopata madaraka.
Hakika huku mtaani kila ninapopita vijana wanashangilia na wanaona kama USA na washirika wake hawajachukua hatua stahiki inabidi aongoze vikwazo au kama walivofanya Libya, kuna baadhi ya vijana kati ya ambao tulikuwa tunapiga nao stori kijiweni wao wanasema wamepitia JKT na wanasema kama ikitokea kama Libya hapa nchini wao wako tayari Kushika SMG na AK47 kupigana dhidi ya serikali yao. nanukuu baadhi ya maneno yao "Tatizo ni serikali hapa acheni kujiuma uma!, Kwanini nimchukie beberu anaye muhimiza kiongozi wangu asiniteke wala kuniuwa???, Nikiwa mtekwaji/muuliwaji mtarajiwa, beberu huyo kwangu ni mkombozi tutaungana nao porini kama ikitokea"
Ni habari ya kusikitisha kabisa lakini ndiko tulikofikia.
Viongozi angalieni namna mnavyotawala hata kama si leo iko siku mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi, watu wanaonekana kuwa na manung'uniko mengi wanasubiri litokee la kutokea waoneshe hasira zao. Acheni kuwasikiliza hao wanaowapaka mafuta kwa mgongo wa chupa eti kila anaelalamika ni MPIGA DILI, Nyumbu, mara vyeti feki, mhujumu, katumwa na mabeberu, si mzalendo na majina mengine yasiyofaa huku wao lengo lao ni kujineemesha.
Serikali zetu nyingi za kiafrica kiukweli kabisa kama wazungu wasingekuepo kuingilia Kati basi raia tungepata tabu sana.Waafrica wengi hatuna roho ya utu hasa tukishika makali. Afadhari wazungu wanatufanya tuwe watu kidogo Kwanza wasingekubali kuondoka madarakan asilani.Mfano, Seseko Moboto,Charles Taylor, Kagame, Museveni, Nkurunzinza na Raisi wa zamani wa Chad, Hawa ni mifano tu. na hapa nashawishika kusema kwamba kama Western world isingekuepo Hali ya siasa zetu zingekua zakinyama sana!! kuna wakat mwingne hatustahili kuwachukia ni wasulihishi wetu mambo yanapokua Mrama!!
Mimi ni mlalahoi tu ila kwa ninayoyaona na kuyasikia huku mtaani serikali ijenge umoja wa kitaifa na kuwarudisha watu wake pamoja bila migawanyiko iliyoko sasa ni mibaya adui akituingilia ni rahisi kutumaliza.
Asubuhi njema
Hakika huku mtaani kila ninapopita vijana wanashangilia na wanaona kama USA na washirika wake hawajachukua hatua stahiki inabidi aongoze vikwazo au kama walivofanya Libya, kuna baadhi ya vijana kati ya ambao tulikuwa tunapiga nao stori kijiweni wao wanasema wamepitia JKT na wanasema kama ikitokea kama Libya hapa nchini wao wako tayari Kushika SMG na AK47 kupigana dhidi ya serikali yao. nanukuu baadhi ya maneno yao "Tatizo ni serikali hapa acheni kujiuma uma!, Kwanini nimchukie beberu anaye muhimiza kiongozi wangu asiniteke wala kuniuwa???, Nikiwa mtekwaji/muuliwaji mtarajiwa, beberu huyo kwangu ni mkombozi tutaungana nao porini kama ikitokea"
Ni habari ya kusikitisha kabisa lakini ndiko tulikofikia.
Viongozi angalieni namna mnavyotawala hata kama si leo iko siku mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi, watu wanaonekana kuwa na manung'uniko mengi wanasubiri litokee la kutokea waoneshe hasira zao. Acheni kuwasikiliza hao wanaowapaka mafuta kwa mgongo wa chupa eti kila anaelalamika ni MPIGA DILI, Nyumbu, mara vyeti feki, mhujumu, katumwa na mabeberu, si mzalendo na majina mengine yasiyofaa huku wao lengo lao ni kujineemesha.
Serikali zetu nyingi za kiafrica kiukweli kabisa kama wazungu wasingekuepo kuingilia Kati basi raia tungepata tabu sana.Waafrica wengi hatuna roho ya utu hasa tukishika makali. Afadhari wazungu wanatufanya tuwe watu kidogo Kwanza wasingekubali kuondoka madarakan asilani.Mfano, Seseko Moboto,Charles Taylor, Kagame, Museveni, Nkurunzinza na Raisi wa zamani wa Chad, Hawa ni mifano tu. na hapa nashawishika kusema kwamba kama Western world isingekuepo Hali ya siasa zetu zingekua zakinyama sana!! kuna wakat mwingne hatustahili kuwachukia ni wasulihishi wetu mambo yanapokua Mrama!!
Mimi ni mlalahoi tu ila kwa ninayoyaona na kuyasikia huku mtaani serikali ijenge umoja wa kitaifa na kuwarudisha watu wake pamoja bila migawanyiko iliyoko sasa ni mibaya adui akituingilia ni rahisi kutumaliza.
Asubuhi njema