Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Wanajamvi kwa kumbukumbu zangu ni mwaka wa nne sasa tangu uzi wa namna hii uletwe hapa jamvini kama nitakosea mnirekebishe lakini jambo muhimu ni maudhui ya uzi huu.
Mpaka wetu ulioachwa na Hayati Baba wa Taifa umehamishwa kinyamela na viongozi woote hasa Mawaziri wamelala bila kushughulikia...
February 24, 2020
Paris, Ufaransa
TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA KWANZA KATIKA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA
Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Samwel Shelukindo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Ujumbe wa Tanzania unaoshiriki
Tanzania...
Kwanza nitangaze wazi kwamba Mimi ni Kiongizi Mwandamizi wa Chama cha wafanyakazi sekta ya Nishati na Madini (Sekta ya Uziduaji) Tanzania, kinaitwa kwa ufupi NUMET.
Pamoja na kwamba hatuhusiki sana na wafanyakazi wa sekta ya umma ambayo inalalamika sana kwasababu za kutoongezwa mishahara, na...
“Mnazunguka huko duniani, mnaenda ulaya mnacheka cheka mnapewa na vitiketi vya uwongo unakuja hapa mnakuja kukuta maendeleo ya nchi, baadhi ya mataifa mengi yaliyokuwa yakiendelea yameuawa na neno Demokrasia,”- RC, Paul Makonda.
Rais Magufuli leo amekutana na msomi mbobezi duniani Prof Patrick Lumumba Ikulu jijini Dsm.
Rais Magufuli amempongeza Prof Lumumba kwa namna anavyojitahidi kuwashauri viongozi wa Afrika namna ya kuzifanya nchi zao zijitegemee.
Nay Lumumba amempongeza Dr Magufuli kwa jinsi alivyoibadilisha...
Job Title: TORs for the SVAC Prevention Consultant
Introduction
Since 2014, Pathfinder in collaboration with ActionAid Tanzania and C-Sema have been implementing the KUWAZA (Kuzuia Unyanyasaji wa Watoto Zanzibar) project which is aimed at supporting the Government of Zanzibar’s efforts in...
DPP wa Tanzania amepora uhuru wa mahakama, mahakama nayo imeridhia.
Ni jambo la aibu kuwa DPP anamkamata mtu anamfungulia mashtaka yasiyo na dhamana kisha kila mshtakiwa akipelekwa mahakamani DPP anaiambia mahakama kuwa upelelezi haujakamilika. Aibu yako kubwa wewe DPP usiye hata na chembe ya...
Wakuu,
Huenda Kabendera akawa huru leo baada ya Hati ya Mashtaka kufanyiwa marekebisho.
Baada ya Erick Kabendera kukubali makosa, Upande wa Serikali wamemsomea Mashtaka Rasmi.
Mashtaka hayo ni pamoja na Uhujumu Uchumi pamoja na Kukwepa Kodi baada ya kosa la kuongoza Genge la Uhalifu...
Ni ushauri tu kwa mwenyekiti wa Chadema na Kiongozi wa Upinzani Bungeni mh Mbowe kwamba afanye siasa za kushirikiana na serikali ili tuijenge nchi yetu.
Pale Kenya Kiongozi wa Upinzani mh Raila Odinga yuko mstari wa mbele akishirikiana kwa karibu na Rais Uhuru Kenyata katika kuwaletea wananchi...
Mnamo Jumanne ya Tarehe 11 mwezi huu (Februari 2020) nilinunua kifurushi cha Internet kwa njia ya Tigo Pesa. Ndugu zangu wana JamiiForums yakapita masaa 24 bila ya kupewa kifurushi wala kupewa taarifa yoyote.
Nilichukua hatua ya kuwapigia Huduma kwa Wateja, nikajibiwa kifurushi changu...
Imeandikwa na Hamisi Kibari wa gazeti la HabariLeo
“HUYU ndiye Edi Ganzel uliyekuwa ukimuuliza sana,” aliniambia Mzee Barnabas Maro, akinitambulisha kwa mmoja wa watunzi mahiri wa riwaya kuwahi kutokea nchini.
Wakati huo, mwaka 1998, Mzee Barnabas Maro, maarufu Kamba Ulaya, alikuwa mhariri wa...
Hili jambo hunitatiza sana. Kwanini wachezaji wawekwe kambini? Tutasema hawana nidhamu, lakini kama mchezaji hana nidhamu itakayomfanya awe kwenye kilele cha kucheza mpira basi huyo hastahili kuwa mchezaji tena.
Binafsi naamini kambi zinaongeza gharama zisizohitajika.
Tuna tatizo la kusoma na kutoelimika, Tuna tatizo la upumbavu ambalo unakuta mtu ana mpaka degree lakini bado ni mpumbavu. Tuna Tatizo la kutokuwa na elimu ya uraia, Tuna tatizo la kuamini CCM CHADEMA au ACT watatuletea maendele. hakuna mwanasiasa ambaye anaweza kuwaletea maendeleo sababu yupo...
Kuna shida sehemu. Kwanini wasanii tunawasapoti sisi lakini wakija kupiga show kwenye mikoa yetu mnawaponda kuwa ni za uchochoroni. Kwanini sapoti tuwape sisi show mpige Ulaya? Mbona Marekani hawaji kupiga kwetu wanakomaa kwao.
Kama insue ni pesa mbona mahesabu yanaonyesha msanii akitoza...
TB Diagnostic Specialist, Infectious Disease Detection and Surveillance
Tracking Code9867Job Description
Please submit a cover letter with your resume describing your interest in this position and how you meet the requirements. Application materials must be submitted in English and applicants...
TANZANIA imetajwa kuwa miongoni mwa nchi tatu zilizopo Kusini mwa Jangwa la Sahara, ambazo hazipo katika hatari kubwa ya kudodora kiuchumi kutokana na kuwa na kiwango cha chini cha madeni. Hali hiyo imebainishwa jijini Dar es Salaam juzi na Mchumi kutoka Chuo cha Oxford cha Uingereza, Profesa...
February 18, 2020
Serengeti, Tanzania
Mr Adam Kighoma Malima the Governor of Mara region in Tanzania decide to go to the Savannah plains of Serengeti National park and tell the world right in the middle of wild beast about the uniqueness and beauty that can only be experienced and enjoyed...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.