johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,939
- 141,914
Naelewa kuwa Wasanii wengi wanalelewa na CCM kiufadhili na kifursa lakini hiyo siyo sababu ya wao kuishi ndani ya box.
Kwa sasa wasanii wote wako busy kutunga nyimbo za kuienzi CCM, hilo ni jambo jema lakini wasisahau kuwa nje ya siasa maisha ni lazima yaendelee.
Wasanii wote wanapokuwa na mrengo mmoja wa kufikiria taifa hutembea kama lina matege.
Sisi wahenga twawafikirisha tu.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa sasa wasanii wote wako busy kutunga nyimbo za kuienzi CCM, hilo ni jambo jema lakini wasisahau kuwa nje ya siasa maisha ni lazima yaendelee.
Wasanii wote wanapokuwa na mrengo mmoja wa kufikiria taifa hutembea kama lina matege.
Sisi wahenga twawafikirisha tu.
Maendeleo hayana vyama!