Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Idadi ya watu maskini nchini inaongezeka mwaka hadi mwaka. Takwimu zinazotolewa na wataalamu wetu zinaonyesha wazi kuwa idadi ya watu maskini inaongezeka japokuwa ukijikita kwenye asilimia utaona kama umaskini unapungua.
Kutokana ukuaji mkubwa wa idadi ya watu (hadi 3% kwa mwaka) ambao...
Natumai uko mzima wa afya. Kwenye miaka hii mpaka 2020 watu wamekuwa na ndoto na kiu kubwa ya kuweza kutoa hela kutoka Paypal. Kwasababu watu wengi wana mawazo ya kujipatia kipato online na inawezekana kufanya hivyo ila kikwazo ni Paypal kutofanya kazi Tanzania kwa ku withdraw hela . Kwakuwa...
Nimeanzisha uzi nikijua kutakuwa na angalau matukio mawili:
1. Kuhujumiwa na watu fulani (nilishawahi kutumiwa email -kwa bahati mbaya- iliyokuwa inamlenga mtu fulani wakati wa uchaguzi kwa lengo la kumchafua na nilitiwa msukosuko fulani - I was stupid enough to ask the sender some questions...
Habari za jioni wakuu.
Katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na hii Tanzania Digital Awards na katika kupekua pekua nikaona kuna category ambayo hata mtandao wetu pendwa wa JF na Maxence Melo wapo kwenye kinyang'anyiro.
Hivyo basi nikaona haina budi kuweka uzi hapa kuwajulisha (ambao...
Toyota Tanzania Limited is opening a new branch in Mbeya and is now seeking well qualified, result oriented, dynamic and enthusiastic professionals to fill in the following positions below:
1. Auto Cleaner
Good car washing skills, at least two years’ experience in a reputable carwash or...
Overview
HELVETAS Swiss Intercooperation (HELVETAS) is a Swiss INGO actively contributing to the improvement of the living conditions and status of economically poor and socially disadvantaged people in more than 33 developing countries, HELVETAS has its Head Office in Switzerland...
Imeelezwa kuwa takwimu za hali ya umaskini wa kipato hapa nchini kwa mwaka 2017, zimepungua kwa kiasi kikubwa na kufikia asilimia 26.
Hayo yamebainishwa leo Februari 17, 2020 na Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dkt Albina Chuwa na kusema kuwa jukumu la kuondoa umaskini kwa...
Overview:
The Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHST) an institution of The Aga Khan Development Network, has completed a major expansion of the Aga Khan Hospital, Dar es Salaam. This expansion aims at enhancing the Hospital’s facilities, technology and capacity which will allow it to become...
Nimekuwa nikiangaika huku na huku nikitafuta platform ya kuweza kuuza bidhaa(products). Hangaika hangaika yangu nimefika mpaka Shopify huko kwa mabeberu na nikagundua bidhaa ninayotaka kuuza ni local not International ijapokuwa gharama sio shida sana. Nimeona nikiingia huko ni kama kumpigia...
Tanzania : The Quiet Revolution : Part 1
Right after the indepedence of Tanganyika and revolution in Zanzibar, leaders of Tanzania felt of the need to build a strong foundation for a united one nation that is inclusive.
To be able to achieve that massive goal as a nation it was thought that...
Mhudumu wa uwanja wa KIA amesema katika kipindi hiki ambapo ugonjwa wa Corona Virus umepiga sana China, idadi ya watalii kutoka China imeongezeka maradufu kuja nchini.
Wachina wenyewe wakihojiwa wamesema pamoja na utalii wamekuja kutafuta sehemu salama kukimbia ugonjwa huo kwao.
Hii hali...
Tanzania yaongoza Afrika katika kuunganisha umeme vijijini, yaipiku Nigeria iliyokua kinara
Sasa hivi Tanzania imefikia 74% katika kuunganisha umeme vijiji, Tanzania inategeme kufikia 95% ifikapo June 2022, na kuifanya nchi ya sita Afrika kufikia ""Universal Access" na ya kwanza katika ukanda...
Mkulima wa kisasa Galus Msekwa anayeendesha kilimo kwa utaalamu wa juu avutia wanunuzi toka mbali kama miji ya Nairobi na Mombasa. Mtangazaji Captain Gadner Habash alifika katika shamba hilo la mkulima na kufanya naye mahojiano exclusive na kituo cha Televisheni cha Clouds cha jijini Dar es...
Lipigie kura Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweza kushinda kipengele cha *Best Government page of the year* kwa mwaka 2020.
Cha kufanya;
1. Fungua hiyo link utakutana na neno Vote chini kabisa ya ukurasa
2. Utakutana na Vipengele vitatu yani *Award Category*, *Sub Category * na...
Habari wanabodi? Heri ya siku ya wapendana nao.
Ni matumaini yangu kwamba wote hamjambo humu ndani. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ni kwamba mwishoni mwanzoni mwa mwezi wa tatu natarajia kupeleka Shauri mahakama kuu ya Tanzania kuhusu uhalali wa Ibara ya 46(3) ya Katiba ya...
Kwa muda mrefu nimekuwa nikikerwa na hili jambo.
Bei ya chakula cha hizi hoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri haiendani na huduma wanayopewa lakini naona mamlaka husika zimekaa kimya. Na hili naomba lisichanganywe na suala la wakulima kujipangia bei, msafiri sio mkulima ni mtu anayekuwa hana...
Habari za asubuhi wanajamvi,
Nimeona services nyingi mtandaoni na nikavutiwa na jinsi mambo yanavyokwenda kasi. Kuna concept mpya imeingia (actually sio mpya sana) ambayo inaitwa SIM hosting. Yaani, unaweza ukaipa kampuni fulani SIM card yako, wakaihifadhi kwenye server zao. Baada ya malipo na...
Leo Februari 11, 2020 Balozi wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki amezungumza kuhusu video inayowaonesha vijana wa Kitanzania wanaosoma China wakiomba msaada wa kurejeshwa makwao.
Balozi ameeleza kuwa mpaka sasa hakuna Mtanzania hata mmoja aliyeambukizwa maradhi hayo kutokana na kufuata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.