tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. L

    Idadi ya watu maskini Tanzania inaongezeka mwaka hadi mwaka, asilimia zinatudanganya au tunajidanganya?

    Idadi ya watu maskini nchini inaongezeka mwaka hadi mwaka. Takwimu zinazotolewa na wataalamu wetu zinaonyesha wazi kuwa idadi ya watu maskini inaongezeka japokuwa ukijikita kwenye asilimia utaona kama umaskini unapungua. Kutokana ukuaji mkubwa wa idadi ya watu (hadi 3% kwa mwaka) ambao...
  2. Travis Walker

    When will Tanzania allow people to earn online?

    Natumai uko mzima wa afya. Kwenye miaka hii mpaka 2020 watu wamekuwa na ndoto na kiu kubwa ya kuweza kutoa hela kutoka Paypal. Kwasababu watu wengi wana mawazo ya kujipatia kipato online na inawezekana kufanya hivyo ila kikwazo ni Paypal kutofanya kazi Tanzania kwa ku withdraw hela . Kwakuwa...
  3. M

    Uzi wa Wanaoamini kuwa ni Wazalendo wa Kweli wa Tanzania..

    Nimeanzisha uzi nikijua kutakuwa na angalau matukio mawili: 1. Kuhujumiwa na watu fulani (nilishawahi kutumiwa email -kwa bahati mbaya- iliyokuwa inamlenga mtu fulani wakati wa uchaguzi kwa lengo la kumchafua na nilitiwa msukosuko fulani - I was stupid enough to ask the sender some questions...
  4. Chaliifrancisco

    Tuiunge Mkono JamiiForums Katika Tanzania Digital Awards

    Habari za jioni wakuu. Katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na hii Tanzania Digital Awards na katika kupekua pekua nikaona kuna category ambayo hata mtandao wetu pendwa wa JF na Maxence Melo wapo kwenye kinyang'anyiro. Hivyo basi nikaona haina budi kuweka uzi hapa kuwajulisha (ambao...
  5. Jamii Opportunities

    16 jobs positions at Toyota Tanzania Limited which is opening a new branch in Mbeya

    Toyota Tanzania Limited is opening a new branch in Mbeya and is now seeking well qualified, result oriented, dynamic and enthusiastic professionals to fill in the following positions below: 1. Auto Cleaner Good car washing skills, at least two years’ experience in a reputable carwash or...
  6. Jamii Opportunities

    8 Job Opportunities at HELVETAS Swiss Intercooperation – Tanzania

    Overview HELVETAS Swiss Intercooperation (HELVETAS) is a Swiss INGO actively contributing to the improvement of the living conditions and status of economically poor and socially disadvantaged people in more than 33 developing countries, HELVETAS has its Head Office in Switzerland...
  7. F

    Nahitaji ramani ya Tanzania ya mikoa na Wilaya

    Habari wakuu, Wapi naeza pata ramani, mimi nipo kwenye International NGO nina mahitaji sana na hard copies za Ramani.
  8. Sky Eclat

    Viongozi wa juu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

  9. dubu

    TASAF: Hali ya Umaskini Tanzania yapungua, Makonda atakiwa kurejesha fedha za TASAF kama alizitumia

    Imeelezwa kuwa takwimu za hali ya umaskini wa kipato hapa nchini kwa mwaka 2017, zimepungua kwa kiasi kikubwa na kufikia asilimia 26. Hayo yamebainishwa leo Februari 17, 2020 na Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) Dkt Albina Chuwa na kusema kuwa jukumu la kuondoa umaskini kwa...
  10. Jamii Opportunities

    15 Job Opportunities at Aga Khan Health Service Tanzania (AKHST), Deadline 24 February 2020

    Overview: The Aga Khan Health Service, Tanzania (AKHST) an institution of The Aga Khan Development Network, has completed a major expansion of the Aga Khan Hospital, Dar es Salaam. This expansion aims at enhancing the Hospital’s facilities, technology and capacity which will allow it to become...
  11. malisoka

    Ecommerce Jumia,kikuu..nk kwa hapa Tanzania ipi inaaminika

    Nimekuwa nikiangaika huku na huku nikitafuta platform ya kuweza kuuza bidhaa(products). Hangaika hangaika yangu nimefika mpaka Shopify huko kwa mabeberu na nikagundua bidhaa ninayotaka kuuza ni local not International ijapokuwa gharama sio shida sana. Nimeona nikiingia huko ni kama kumpigia...
  12. B

    The famous Kivukoni Ideological College in Tanzania

    Tanzania : The Quiet Revolution : Part 1 Right after the indepedence of Tanganyika and revolution in Zanzibar, leaders of Tanzania felt of the need to build a strong foundation for a united one nation that is inclusive. To be able to achieve that massive goal as a nation it was thought that...
  13. M

    Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

    Mhudumu wa uwanja wa KIA amesema katika kipindi hiki ambapo ugonjwa wa Corona Virus umepiga sana China, idadi ya watalii kutoka China imeongezeka maradufu kuja nchini. Wachina wenyewe wakihojiwa wamesema pamoja na utalii wamekuja kutafuta sehemu salama kukimbia ugonjwa huo kwao. Hii hali...
  14. joto la jiwe

    Tanzania yaongoza Afrika katika kuunganisha umeme vijijini yafikia 74%

    Tanzania yaongoza Afrika katika kuunganisha umeme vijijini, yaipiku Nigeria iliyokua kinara Sasa hivi Tanzania imefikia 74% katika kuunganisha umeme vijiji, Tanzania inategeme kufikia 95% ifikapo June 2022, na kuifanya nchi ya sita Afrika kufikia ""Universal Access" na ya kwanza katika ukanda...
  15. B

    Mkulima wa Tanzania avutia wanunuzi toka Kenya

    Mkulima wa kisasa Galus Msekwa anayeendesha kilimo kwa utaalamu wa juu avutia wanunuzi toka mbali kama miji ya Nairobi na Mombasa. Mtangazaji Captain Gadner Habash alifika katika shamba hilo la mkulima na kufanya naye mahojiano exclusive na kituo cha Televisheni cha Clouds cha jijini Dar es...
  16. TANESCO

    Lipigie kura Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweza kushinda kipengele cha ‘Best Government Page of the Year 2020’

    Lipigie kura Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuweza kushinda kipengele cha *Best Government page of the year* kwa mwaka 2020. Cha kufanya; 1. Fungua hiyo link utakutana na neno Vote chini kabisa ya ukurasa 2. Utakutana na Vipengele vitatu yani *Award Category*, *Sub Category * na...
  17. R

    Natarajia kufungua shauri la kikatiba kuhusu Ibara ya 46(3) Inayoenda kinyume na ibara 13(1) katika mahakama Kuu ya Tanzania

    Habari wanabodi? Heri ya siku ya wapendana nao. Ni matumaini yangu kwamba wote hamjambo humu ndani. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ni kwamba mwishoni mwanzoni mwa mwezi wa tatu natarajia kupeleka Shauri mahakama kuu ya Tanzania kuhusu uhalali wa Ibara ya 46(3) ya Katiba ya...
  18. Hunyu

    Bei ya vyakula vya mahoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri wa mabasi iangaliwe na mamlaka husika

    Kwa muda mrefu nimekuwa nikikerwa na hili jambo. Bei ya chakula cha hizi hoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri haiendani na huduma wanayopewa lakini naona mamlaka husika zimekaa kimya. Na hili naomba lisichanganywe na suala la wakulima kujipangia bei, msafiri sio mkulima ni mtu anayekuwa hana...
  19. Samedi Amba

    Fahamu kuhusu SIM Card hosting kwa Tanzania

    Habari za asubuhi wanajamvi, Nimeona services nyingi mtandaoni na nikavutiwa na jinsi mambo yanavyokwenda kasi. Kuna concept mpya imeingia (actually sio mpya sana) ambayo inaitwa SIM hosting. Yaani, unaweza ukaipa kampuni fulani SIM card yako, wakaihifadhi kwenye server zao. Baada ya malipo na...
  20. MIMI BABA YENU

    Balozi Mbelwa Kairuki: Mpaka sasa hakuna Mtanzania hata mmoja aliyeambukizwa maradhi ya Corona

    Leo Februari 11, 2020 Balozi wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki amezungumza kuhusu video inayowaonesha vijana wa Kitanzania wanaosoma China wakiomba msaada wa kurejeshwa makwao. Balozi ameeleza kuwa mpaka sasa hakuna Mtanzania hata mmoja aliyeambukizwa maradhi hayo kutokana na kufuata...
Back
Top Bottom