tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. M

    Tanzania, a Nation at the Cross Road

    On 7 September 2017, Tundu Lissu, an opposition member of Parliament in Tanzania and outspoken critic of President John Magufuli, was gunned down and suffered multiple wounds in an assassination attempt. Now, he is announcing that he is running for president on 25 October 2020 and aims to use...
  2. Nigrastratatract nerve

    Kwa aliyoituhumu Tanzania akiwa ughaibuni, Lissu hatakiwi kabisa kukanyaga ardhi ya Tanzania

    The man is naive ameropoka toka mwaka Jana serikali haijamjibu chochote Amezunguka akihamasisha mabaya yote ya nchi serikali imekaa kimya Nadhani huyu jamaa anaichukulia poa sn Tanzania kwamba unaweza Fanya chochote bila kufanywa chochote . Jamaa anasahasau kwamba anaowategemea tuliwafurusha...
  3. Nigrastratatract nerve

    Kama hauna furaha na Tanzania yetu unaweza usirudi kabisa baki huko huko lawama kila siku baki huko huko

    Kila siku ww kulaumu una negative mindset hauoni madaraja yanayojengwa baki huko huko tu usije kutuharibia nchi yetu Hauoni mabarabara yanayojengwa unalaumu tu kila kitu baki hukohuko . Hauoni ufufuaji wa shirika LA ndege baki huko huko Hauoni faida ya Reli inayojengwa tunakuomba ubaki huko...
  4. mr mkiki

    GE2020 Tundu Lissu: Nitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 Juni, 2020 kupitia Facebook Live Streaming | 14:00 EAT 13:00 CET 7:00AM EST (USA)

    Nitazungumza na Taifa Jumatatu, 8 June, 2020 kupitia Facebook Live Streaming. 14:00 EAT 13:00 CET 7:00AM EST (USA)
  5. MK254

    Kenya yanusuru mabaharia saba wa Tanzania waliokuwa wanazama

    Walikua wanasafiri kutokea Tanga kuelekea Pemba............ Seven Tanzanian fishermen escaped death by a whisker after Kenyan government rushed to their rescue when their boat capsized in the Indian ocean. The group made a distressed call near Mtwapa along the Kenyan Coastline after their...
  6. Webabu

    Ubalozi wa Tanzania na Oman Air wana mpango gani?

    Nina ndugu yangu ambaye ameathirika na kukatikiwa safari nchini Oman kutokana na janga la Corona. Yeye ni mmoja tu wa watanzania wengi waliokwama nchini Oman kutokana na adha hii. Alikata tiketi ya kwenda na kurudi katika kuwatembelea familia. Baada ya muda wa viza kuisha na ndege ya shirika la...
  7. Sky Eclat

    Tanzania’s COVID-19 containment measures have been markedly less strict than many neighboring states

    Tanzania’s COVID-19 containment measures have been markedly less strict than many neighbouring states, where lockdowns and travel restrictions have largely become the norm. Despite schools and universities being closed, a ban on mass public gatherings imposed, and citizens encouraged not to...
  8. Erythrocyte

    Kilangi aweza kuwa ndiye AG mbovu kuliko wote waliowahi kuhudumu nchini Tanzania tangu Wakoloni waondoke

    Kuna Malalamiko kwamba uteuzi wake uligubikwa na uvunjifu mkubwa wa Katiba ya nchi , inasemekana pia hakuwa na sifa za kuteuliwa kuwa AG baada ya kuokotwa kutoka mahali kusikojulikana , sheria za nchi zinakataza kuokoteza popote AG. Katika uongozi wa Kilangi ndio mahali sheria nyingi za...
  9. M

    Tanzania tumejifunza nini na kifo George Floyd?

    Dunia imezizima, Africa imezimama na Marekani imezizima. Kifo cha Mmarekani mweusi Mr. George Floyd(48) kimebadilisha kabisa mwelekeo wa siasa za Kibaguzi si Marekani tu baali dunia nzima ikiwemo Tanzania. Siasa za Kibaguzi zipo tu kila sehemu duniani. Kuna watu wanafikiri ubaguzi ni wa rangi...
  10. B

    Corona: Mizozo ya mipakani, wa kulaumiwa ni Tanzania

    Mabibi na mabwana moja kwa moja kwenye mada ili kumfunga paka huyu kengele. Tunayoyashudia sasa hivi mipakani ni wazi kuwa yataendelea kwa muda mrefu tu na bila ya kupatiwa ufumbuzi wa kudumu. Ni wazi kuwa Tanzania kwa kukataa kuwemo katika protokali za pamoja kuhusiana na ugonjwa huu katika...
  11. Z

    Siasa za Tanzania na upinzani kiini macho

    Tanzania ni moja ya nchi zinazosifika kama kisiwa cha Amani. Hii ni kutokana na namna siasa na utu wa watanzania unavyothamini Amani na utulivu. Tanzania imeingia katika mfumo wa vyama vingi tangia 1992 na hadi sasa chama kikuu cha upinzani ni chadema. Hata hivyo; vyama vya upinzani Tanzania...
  12. T

    Juni 10 IMF & World Bank kuamua iwapo Tanzania tunakidhi kupewa mkopo tulioomba kupambana na corona au hatustahili

    June 10 bodi ya wakurugenzi wa shirka la fedha Duniani na Bank ya Dunia kuamua iwapo tunastahili kupewa msamaha na mkopo kupambana na corona au laa. Mwezi April IMF na WB walitengeneza kitu kinaitwa Catastrophe Containment and Relief Trust ili kusaidia nchi masikini kupambana na madhara ya...
  13. Roving Journalist

    Risala ya Chama cha Walimu Tanzania iliyosomwa kwa rais Magufuli na Katibu Mkuu Mwl. Deus G. Seif - JUNI 05, 2020

    RISALA YA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA KWA MGENI RASMI MH. DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KATIKA UFUNGUZI WA MKUTANO MKUU - JUNI 05, 2020 KATIKA UWANJA WA CCM JAMHURI JIJINI DODOMA Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  14. Q

    UNDP: In the long run, COVID19 will have significant risks to sectors in Tanzania especially tourism

    UNDP TANZANIA: In the long run, #COVID19 will have significant risks to sectors in #Tanzania such as tourism & hospitality, transportation & storage, wholesale & retail trade, construction & real estate, manufacturing industry. More on: New Report released: Rapid Socio-Economic Impact...
  15. Roving Journalist

    Rais Magufuli afungua mkutano Mkuu wa Chama cha Waalimu, Corona imeisha, Shule za Msingi kufunguliwa karibuni

    Salaam Wakuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Leo anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Uchaguzi wa Chama Cha Walimu Tanzania-CWT. Mkutano huo utafanyika katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma, huku watu wote wakitakiwa kuzingatia na kuchukua...
  16. R

    Siasa za Tanzania ngumu kama Schrödinger’s equation. Angalia madudu hayo, ndiyo siasa za kwetu

    Siasa za Tanzania ni ngumu kama Schrodinger equation! Mara hawa hata wakiua mtu wasishitakiwe, wakiiba wasishitakiwe. Mara wakurugezi wameapa hawawezi kuiba kura; magumu kama ya Schrodinger! In simple terms, Schrödinger stated that if you place a cat and something that could kill the cat...
  17. vulcan

    Kwani Ikulu ya Tanzania ilijengwa na Sultan of Oman?

    Hapa wajenzi waliwatapeli, Ikulu inakaa makao ya Sultan of Oman ama msikiti mtaani kongowea. Bomoeni hii aibu mfanye heshima kwa makao ya rais wenu.
  18. MK254

    Makampuni ya Tanzania ya usafirishaji yanakwama wapi, maana yanasababisha nchi inaingia kwenye migogoro na majirani wote

    Ni dhahiri kwenye hili la corona, Tanzania imeamua kutoendana na mataifa mengine duniani, yenyewe imeamua kupuuza hiki kirusi na kuendelea na maisha kama kawaida, bado wanasongamana kwenye vilabu vya pombe, kwa hili hakuna taifa lenye uhuru wa kuingilia maamuzi yao Watanzania maana wenyewe ni...
  19. J

    GE2020 Mbatia awakaribisha CHADEMA na wapinzani wengine kwenye ushirikiano wenye maslahi mapana kwa mama Tanzania

    Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema chama chake kimefungua mlango wa ushirikiano kwa chama kikuu cha upinzani na vyama vingine vyote vyenye mapenzi mema na mama Tanzania. Mbatia amesema ni muda sasa kwa wapinzani kuweka itikadi zao pembeni na kuunda ushirikiano wenye maslahi mapana...
Back
Top Bottom