Nimearifiwa na mmoja wa wahanga kuwa katika kijiji cha Kitaya kilichopo katika Halmashauri ya Nanyamba huko Mtwara kuna hali tete inaendelea huko.
Kijiji kimevamiwa na watu wenye risasi za moto hali iliyopelekea Wananchi kukimbilia Porini.
Mpaka asubuhi hii risasi zilikuwa zinaendelea kurindima.
Nimepatiwa taarifa hii na mkazi mmoja akiwa huko mafichoni na familia yake.
Nitaendeea kuwajuza kadri nipatavyo taarifa.
Tuwaombee.
Update 1:
UPDATE:
Tanzania border village attack 'leaves 20 dead' - BBC
Mozambique: Suspected militants attack Tanzanian border village of Kitaya (Mtwara Region) October 15
Kijiji kimevamiwa na watu wenye risasi za moto hali iliyopelekea Wananchi kukimbilia Porini.
Mpaka asubuhi hii risasi zilikuwa zinaendelea kurindima.
Nimepatiwa taarifa hii na mkazi mmoja akiwa huko mafichoni na familia yake.
Nitaendeea kuwajuza kadri nipatavyo taarifa.
Tuwaombee.
Update 1:
UPDATE:
Tanzania border village attack 'leaves 20 dead' - BBC
Mozambique: Suspected militants attack Tanzanian border village of Kitaya (Mtwara Region) October 15