Yaani hili ni ono kwa kila Mtanzania anaejitambua na kumtanguliza Mwenyezi Mungu, embu fikiria kama corona ingefunga na kupiga kambi Tanzania leo hii kusingekuwepo na hekaheka za uchaguzi na Magufuli na Chama chake wangekuwa wanaendelea kutesa.
Lakini usilolijua ni kama usiku wa kiza,hatukujua wala hatukutegemea na kuijua mipango ya Mwenyezi Mungu,leo ndio unaona kuwa tumeweza kukutana na kufanikiwa kuiondoa CCM madarakani,hili halina makando kando ni kitu kipo wazi kabisa.
Wape na wengine habari hii iliyofunuliwa kwako leo. Kura yako ni kwa Tundu Lissu, Mwenyezi Mungu ametuondolea marazi kwa ajili ya kuondoa ugonjwa huu uitwao CCM ni baraka tosha,kwa wenye ufahamu wa kina. Fikiria tu kama Covid 19 angechachamaa hapa Tanzania kungekuwepo na Uchaguzi? Jibu swali hilo, sasa kwanini nafasi uliyopewa usishiriki kuikataa CCM,shiriki na andika historia kuwa umeshiriki kuikataa CCM.
Lakini usilolijua ni kama usiku wa kiza,hatukujua wala hatukutegemea na kuijua mipango ya Mwenyezi Mungu,leo ndio unaona kuwa tumeweza kukutana na kufanikiwa kuiondoa CCM madarakani,hili halina makando kando ni kitu kipo wazi kabisa.
Wape na wengine habari hii iliyofunuliwa kwako leo. Kura yako ni kwa Tundu Lissu, Mwenyezi Mungu ametuondolea marazi kwa ajili ya kuondoa ugonjwa huu uitwao CCM ni baraka tosha,kwa wenye ufahamu wa kina. Fikiria tu kama Covid 19 angechachamaa hapa Tanzania kungekuwepo na Uchaguzi? Jibu swali hilo, sasa kwanini nafasi uliyopewa usishiriki kuikataa CCM,shiriki na andika historia kuwa umeshiriki kuikataa CCM.