tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Yanayotokea Tanzania leo si mageni yalianzia Indonesia mwaka 1998

    Indonesia ilikuwa na utawala uliojulikana kama New Order ulioendeshwa na Rais Surharto. New Order ili sumu madarakani kwa miongo mitatu, watawala walikuwa wamepumzika na hawakuangalia tena matatizo ya wananchi walala hoi. Mwaka 1998 upinzani ulifanya campeni ya nguvu. Pamoja na New Order kuwa...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Kama kweli CCM itawatia adabu waliotoa rushwa itajenga imani kubwa kwa wapiga kura (Watanzania)

    Taarifa zinasema kumekuwa na rushwa katika chaguzi za CCM kwa miongo kadhaa lakini wadadavuaji wa mambo ya kisiasa wanasema safari hii ilikuwa ni balaa, kwani kura zilipelekwa katika soko kama la hisa au mnadani wa kura kwani mwenye dau kubwa ndiyo alifanikiwa kununua kura za ushindi na mwenye...
  3. mwangaza africa

    JamiiForums Tanzania Nafasi za ajira za muda 2020 Tanzania Democracy Support Project (2020TDSP)

    kumbuka malipo hayo yanajumuisha chakula, malazi na usafiri === Project Title: 2020 Tanzania Democracy Support Project (2020TDSP) Organization: Mwangaza Africa Job Title: Civic and Voters Education Field Officers (250 positions) Salary: Tsh 4,530,000/= (2,700,000 for form six) for 3 Months Job...
  4. Mlenge

    JamiiForums Tanzania Kukunja kushoto kwenye Mataa

    Mfano mzuri ni kona ya Barabara ya Bibi Titi Mohamed na Mtaa wa Maktaba ukiwa unatokea Mwenge. Mfano mwingine ni TAZARA kama unatoka mjini kukata kona ya kushoto kuingia Barabara ya Mandela. Utakuta madereva wanaogopa kukata kushoto kwa vile watakamatwa. Pana sababu zipi wakamatwe?
  5. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Dhana ya Ubeberu na Siasa za Tanzania

    Amani iwe nanyi wadau! Leo napenda nitoe Elimu kwa watanzania juu ya propaganda za wana CCM kuwa yeyote anayempinga Raisi Magufuli ni kibaraka wa Mabeberu. Wanasema haya wakitaka kujenga picha kwa watanzania ( wadanganyika) kuwa ubeberu ni kama dhambi au jambo fulani ambalo halifai. Najua kwa...
  6. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hivi upinzani ukichukua nchi Vyombo vya Habari na Wasanii wa Tanzania watakimbizia wapi nyuso zao?

    Sasa imekuwa rasmi wasanii hasa wanamuziki na tasnia karibu zote nchini wanamuunga mkono Rais. Hii sio dhambi, lakini pale msanii anapoimba nyimbo kupondea upinzani kana kwamba upinzani umeletwa nchini na shetani inashangaza sana. Vyombo vya Habari munadhani CCM itatawala milele? Kwa bahati...
  7. Influenza

    JamiiForums Tanzania Asilimia 61 ya eneo la Tanzania hatarini kugeuka jangwa

    Zaidi ya asilimia 61 ya eneo la Tanzania inakabiliwa na hatari ya kugeuka jangwa ikiwa juhudi zaidi hazitachukuliwa kukabiliana na changamoto za uharibifu wa misitu ya asili unaotokana na ongeeko la shughuli za binadamu zisizo endelevu na changamoto za mabadiliko ya tabianchi. Wataalam wa...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Wasanii wa Tanzania wanaishi katika mfumo wa chama kimoja, vipaji vyaweza kudumaa

    Naelewa kuwa Wasanii wengi wanalelewa na CCM kiufadhili na kifursa lakini hiyo siyo sababu ya wao kuishi ndani ya box. Kwa sasa wasanii wote wako busy kutunga nyimbo za kuienzi CCM, hilo ni jambo jema lakini wasisahau kuwa nje ya siasa maisha ni lazima yaendelee. Wasanii wote wanapokuwa na...
  9. BAK

    JamiiForums Tanzania Hali ya rushwa katika chaguzi zetu inatisha kuliko wakati wowote

    RUSHWA TUNAILEA RUSHWA INATULEA Hali ya rushwa katika chaguzi zetu inatisha kuliko wakati wowote. Jitihada za kupambana nayo zinalingana na ongezeko la rushwa yenyewe, yaani vita imeongeza rushwa badala ya kuipunguza. Hii ni kwa vyama vyote na wagombea wote. Tofauti ni viwango tu. Kwa hiyo ni...
  10. Frustration

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu ni kama Yona/Yunus au Yesu/Issa

    Habarini wana jukwaa hili la siasa na JamiiForums kwa umjula. Mungu aendelee kutupa uzima na afya njema ktk maisha yetu ya kila siku. Niamze kwa kumpongeza kaka yangu Lissu kwa ushindi mnono alioupata kutoka kwa viongozi (wajumbe). Nimeona historia tukufu mbili katika vitabu vitakatifu vya...
  11. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni nchi masikini sana

    Huenda uliposoma kichwa cha habari ukawa umejipanga kuja kunikosoa haraka kwamba nchi ina hifadhi nyingi za wanyama, mafuta, gesi, madini yaliyojaa tele nchini na hata kuwa na Tanzanite ambayo ipo hapa tu duniani kote, mlima kilimanjaro na vitu vingi ardhi hii iliyosheheni rasilimali. Umaskini...
  12. Ayenda M

    JamiiForums Tanzania Kuweni makini na wapiga kura wa mitandaoni

    Kukua kwa sekta ya mawasiliano hapa nchini tumeshuhudia mambo mengi pia yakibadilika. Katika nyanja ya siasa na sheria hapa nchini tumeshuhudia uanzishwaji na upitishaji wa Sheria inayoangazia matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii. Leo hii mtu muoga ni nadra sana kuandika kitu cha kuponda...
  13. Civilian Coin

    JamiiForums Tanzania Don Nalimison nimerudisha Kitambulisho Cha Taifa la Tanzania(NIDA) kuanzia sasa sina Kitambulisho cha Uraia wa Tanzania

    Nimekabidhi Masjala Jiji la Mwanza, na pia nimewarudishia PSSSF Kitambulisho Cha LAPF na Pesa zote wakitaka wale au wazigawane, Mimi hayanihusu.
  14. eliakeem

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa kilio hiki cha Kenya kwa Tanzania: Kweli sindano imegusa mfupa

    Kama ilivyo kawaida ya Kenya kuonesha tabia za kitoto za kumchokoza kaka yake au mkubwa kwake kiumri na nguvu. Lakini pale yule mkubwa akichoka kuvumilia na kuamua kumuadhibu labda tu kwa kumpa kwenzi la wastani la utosi, basi huyo mtoto mchokozi hulia na kukimbilia kusema kwa mama/baba. Hiyo...
  15. Wacha1

    JamiiForums Tanzania Tanzania: TRA Defeats Swedish Firm in 2.12b N/ - Tax Case

    Credit: Faustine Kapama Daily News THE Atlas Copco Tanzania Limited, which is part of Atlas Copco Group, a conglomerate of multinational companies headquartered in Sweden, has lost its bid to oppose payments of tax amounting to 2.12bn/- to the Tanzania Revenue Authority (TRA). This followed...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa Prof. Kabudi; Mipaka imefunguliwa kati ya Kenya na Tanzania kwa usafiri wa ndege; sisi wa usafiri wa shuttle barabarani ndio wenye Corona?

    Niliposikia Kenya na Tanzania wamefikia muafaka kuhusu kusafiri kwa ndege kati ya Dar es Salaam na Nairobi, nilidhani kwamba makubaliano haya yangehusu pia usafiri wa shuttle kati ya Arusha na Namanga. Kufika Arusha naambiwa hakuna kitu cha namna hiyo, bado wanaoruhusiwa kuvuka mpaka pale...
  17. Dam55

    JamiiForums Tanzania Ugomvi na Chuki (BIFU) zinazoendelea kwenye Media zetu zina athari gani kwenye Tasnia ya Habari kwa Tanzania yetu?

    Kwa wadau wote wa Tasnia ya hapabari hapa nchini mnaweza mkalitazama hili na kulijadili kwa mapana huenda likawa na matokeo fulani hasi ama chanya kwenye sekta ya habari hapa nchini. Tumeona matukio mengi tu na niseme labda ni tabia inayochipuka kwa kasi kubwa kwenye sekta ya habari kwa hiki...
  18. T

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni moja ya nchi chache duniani kuruhusu wamarekani kuingia kwa masharti

    Tanzania ni moja ya nchi chache sana duniani kuruhusu wamarekani kuingia kwa masharti ya karantini, kwa nini inafanya hivyo, je, ni sawa na salama?
  19. Mbasembase1970

    JamiiForums Tanzania Mgogoro wa Kenya na Tanzania

    NARUDIA TENA :- WATANZANIA WAKENYA WASIWASUMBUE. Na Thadei Ole Mushi. Wiki hii toka jumatatu joto la kidiplomasia Kati yetu na Kenya limepanda Kiasi. Joto hili linasababishwa na vurugu za ugonjwa wa Corona. Nimejaribu kwa kiasi kuwaonyesha watanzania sababu za kuendelea kukataa mchezo wa...
  20. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kenya inakosea kuhusu Corona ya Tanzania

    Watanzania pia Ni binadamu wanaoogopa kufa. Isingewezekana mtu aache kujifungia (lockdown), kunawa mikono, kujisanitize, kuvaa barakoa na kukaa mbali Kama jirani zake, wafanyakazi wenzake, wanachezaji wenzake, wafanyabiashara wenzake, wanafunzi wenzake na ndugu na jamaa zake wangekuwa wanakufa...
Back
Top Bottom