system

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NASAMS (Advanced Air Defense System) toka Marekani ilikuwa imepiga usingizi au?

    Marekani ilijinasibu kupeleka mfumo wake wa ulinzi wa anga nchini ukraine kwa mbwembwe na watu wakaamini kuwa sasa suluhisho la missile za urusi limepatikana! Kinyume chake tarehe 15/11/2022 Ukraine na wapambe wake wanalia kuwa nusu ya ya mifumo ya umeme imehariwa baada ya Urusi kushambulia...
  2. Ramoth Gilead Appliances

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Ipambe nyumba yako na home appliances nzuri kwa bei nafuu kutoka kwetu

    We tuambie budget yako ni shilling ngapi na unahitaji home appliances ipi tuko kwa ajili yako Kwalioko dar es salaam unaletewa mzigo ndo unalipa na mikoani unatuma fedha ndo tunakutumia mzigo. Mawasiliano ya cargo tunazotumiaga wapigie watakuelekeza ofisi zao zilipo kwenye mkoa husika, na bei...
  3. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Vehicle Tracking System (VTS) ni nini na inafanyaje kazi

    VTS ni mfumo wa kisatelaiti wa ufuatiliaji mwenendo wa magari barabarani. Mfumo huu unafanana sana na ile mifumo ambayo wengi wameizoea kama Car track au U-truck. Mfumo huu kwa sasa unatumika hapa Tanzania chini ya usimamizi wa LATRA. Kwa kuanzia mabasi 100 ya njia ya kati Dar-Mwanza, Kahama...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Power Backup System

    POWER BACKUP Jipatie backup ya umeme ambayo inaweza kutunza power kwa zaidi ya masaa 8, Backup system inakuwa na inverter charger na battery. Unaweza kuunganisha na mifumo kama CCTV CAMERA, ELECTRIC FENCE, ALARM SYSTEM , COMPUTERS, TV’S na vifaa vingine vinavyotumia umeme SOLUTION YA TATIZO...
  5. Comrade Elishama

    JamiiForums Tanzania Msaada: Taarifa za information systems management

    Habari wakuu, Naomba taarifa kuhusiana na kozi ya bachelor in information systems management inayotolewa ardhi university kuhusu sehemu za ajira ambazo unaweza kuajiriwa pamoja na vitu unavosomea kuhusu kozi hii tafadhari. Naombeni ushauri wakuu
  6. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya Turns to Magufuli's Legacy Project to Revive BRT System

    KURA, on Friday, September 30, deployed a team of engineers to Tanzania to benchmark how the neighbouring country rolled out the project that improved their urban mobility. Led by engineer Jacinta Mwangi, KURA, which is tasked with developing city roads, toured the DART project to also learn...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Business and System Analyst - IPMS at Heifer International

    Heifer International is an equal opportunity employer. All qualified applicants will receive consideration for employment without regard to race, religion, color, national origin, gender, gender identity, sexual orientation, age, status as a protected veteran, among other things, or status as a...
  8. Mathanzua

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Covid mandates and associated tyranny was a “test” to determine whether the world is ready for a new globalist system of "social credit score"

    The World Economic Forum(WEF )proudly claims that “billions” who obeyed lockdowns and mask mandates will also comply with new globalist “social credit scheme” because they are the stupid lot. It has finally been revealed and we knew this all along that Covid-19 lockdowns, mask mandates and...
  9. Njiwa wangu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania School management system

    Kama kichwa cha habari kinajieleza hapo mjuzi wa mifumo hii na anauwezo wa kuunda aje pm tuyajenge
  10. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Ukizaliwa na watu wa "System" ni raha sana, wataandaa mambo mazuri kwaajili yako

    Hapa ni kuwa tayari kubebeka, maana wa kukubeba wapo wengi ni kuchagua mgongo huu unibebe na mgongo huu usinibebe. Just imagine, wakati wengine wanapambana kupata kazi kwenye Taasisi ndogondogo Daddy anakuja na list ya Taasisi kubwa na nyeti kwenye Taifa anakwambia son chagua Taasisi ya...
  11. Benjamin10

    JamiiForums Tanzania PSRS wanachokifanya ni kukosa umakini..

    Habari wakuu.. Wiki kadhaa zilizopita nilikua nikituma maombi ya kazi.. kutumia ajira portal.. nilikua naitwa kwenye usaili.. sikufanikiwa.. kufaulu.. Nikaomba mara ya pili sikuitwa.. sababu.. lowyer.. hajaidhinisha vyeti vyangu.. nikavipeleka vikaidhinishwa.. 2.nikatuma tena.. sikuitwa...
  12. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tofauti ya Hi- Fi System, Home Theater, Subwoofer na Music System

    Rejea kichwa cha Habari Husika. Mimi ni mdau wa muda mrefu wa Jamii Forums na pia Wa Miaka Lukuki wa MUSIC. kwa kweli nimekuwa na uzoefu wa Music miaka mingi nikiwa nimepata sikiliza music toka katika Radio Mbalimbali ambazo zilikuwa njema nitaje chache. 1. Sony 2. Sharp 3. JVC 4. Panasonic Na...
  13. W

    JamiiForums Tanzania SoC02 Uwezo unaoweza tishia ulimwengu ni pamoja na system hacking kuanzia mifumo ya si mpaka computer

    Je! Unajua unaweza kudukua Iphones? Unafahamu ndicho chanzo cha tajiri namb 1 duniani Jeff Bezos kuachwa na mkewe?unafahamu aliyefanya hilo tukio ni King Salman kiongozi wa Saudi Arabia? Kuna imani kwamba iphones zina strong security ni ngumu kuichezea, inawezekena! Swala la kudukua...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Mtanzania asiyelipa Kodi anakuwa hana uchungu na nchi yake. Asante sana system kwa kuweka hili sawa

    Yaani sisi tuliokuwa na uchungu na Nchi yetu na rasimali za Tanzania tulionekana ni wapiga kelele tu. Hatukuwa wakurupukaji tu bali tuna uchungu na nchi yetu tunapoona Kodi zetu zikitumiwa vjbaya na viongozi. Hilo la kuhakikisha kila mtanzania, kinana, mzee, mke na mume wanalipa kodi sasa...
  15. Ngatunga1

    JamiiForums Tanzania Epharmacy management system

    Trusted Pharmacy system
  16. peter msuku

    JamiiForums Tanzania Electricity backup system

    Huna haja ya kuwaza umeme kukatika kwani saan agency tumekuja na suluhisho kwaajili yako. Tutakufungi backup system nyumbani au ofisini kwako kwa teknolojia Bora na salama Unaweza ukajiuliza ➡️INAFANYAJE KAZI? ➡️KWANINI NITUMIE BACKUP SYSTEM? ➡️INAFAIDA GANI? Well kuna namna mbili za ufanyaji...
  17. Ngongo

    JamiiForums Tanzania E-Filing System TRA una matatizo

    Heshima sana wanajamvi, Mamlaka ya mapato Tanzania ilibadili mfumo wake wa ku fill kodi mbali mbali kupitia mfumo mpya ambao badala ya kurahisisha kazi umeongeza ugumu wa kazi. Unaweza kuchukua siku nzima ukihangaika kuufungua tu .Bado utasumbuka masaa mengi kurudia rudia kila mara na...
  18. Zacht

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Why did the US imposed sanctions on Turkey over the purchase of the S-400 missile system from Russia?

    From Quora All behind this , it is the intentions of USA to invade/divide Turkey in next decade… Of course Turkey would the next nation after all weak ones had been invaded!! General Wesley Clark Wars Were Planned Seven Countries In Five Years Turkey is been in the market for air...
  19. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakati Urusi inaendelea kuugulia kibano cha HIMARS, Ukraine wapata aina mpya nyingine ya silaha - M270 system

    Mrusi alishasema atakayemsaidia Ukraine asubiri matokeo, leo Ukraine wanaendelea kupokea aina mpya ya silaha zinazowatesa Urusi na hamna chochote Putin anaweza kufanya. ======================== Ukraine said Friday it had received its first delivery of a sophisticated rocket-launcher system...
  20. M

    JamiiForums Tanzania mfumo wa mauzo kwa biashara yako kwa bei nafuu

    Habarini kwa mara ingine tena, Kazi yangu ni kukusaidia wewe mwenye biashara yako kama ni pharmacy,supermarket au biashara ingine yoyote ambayo utahitaji kuwa na mfumo/system ambayo itakusaidia kuingiza mauzo yako na kupata ripoti mbalimbali za mauzo,manunuzi ,faida /hasara na kadhalika...
Back
Top Bottom