Mtanzania asiyelipa Kodi anakuwa hana uchungu na nchi yake. Asante sana system kwa kuweka hili sawa

Rasterman

JF-Expert Member
Feb 24, 2015
33,905
44,011
Yaani sisi tuliokuwa na uchungu na Nchi yetu na rasimali za Tanzania tulionekana ni wapiga kelele tu. Hatukuwa wakurupukaji tu bali tuna uchungu na nchi yetu tunapoona Kodi zetu zikitumiwa vjbaya na viongozi.

Hilo la kuhakikisha kila mtanzania, kinana, mzee, mke na mume wanalipa kodi sasa litawatua akili Chawa wengi waliokuwa wanaihi ishi tu.

Sasa tutakapo sema tunahitaji Katiba Mpya ili kudhibiti na kuwajibisha wafujaji wa mali zetu nadhani tutashirikiana kwa pamoja..

Rais ana nia njema na taifa hili tumpe muda na tuvumilie tutavuka salama.
 
Tunataka maendeleo lakini hatutaki kuzikubali njia za kuleta maendeleo. Hii sio sawa.
 
Tanzanians are turned into cheap labor new era of ufisadix

Aisee let us continue working for the top leaders while suffering pains under the green flag waved by a non-indigenous woman from coastal

Mjinga mmoja anatetea mwenye mikono ale na kipofu
 
ilimradi maendeleo tanayaona hakuna shida kabisaaa, tozo iendelee , tena nashauri ziangaliwe njia nyingine za kuchangia maendeleo yetu, badala ya kuchangia harusi na masharehee mengine sasa tunaweza kuchangia 1200 maendeleo ya barabara zetu, hospitali, maji n.k

Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.
tusitegemee kujengewa nchi yetu na mataifa mengine.

wala tusifikirie eti jinsi awamu ya 1 hadi ya 6 walivyo ongoza lazima ifanane na awamu hii ya 5, kila kiongozi anamaono yake ya kutuletea maendeleo.

Tutaendelea kulipa tozo bila shida yoyote.

wanao pinga tozo ni wahuni wachache wenye matatizo ya afya ya akili.
 
Tanzanians are turned into cheap labor new era of ufisadix

Aisee let us continue working for the top leaders while suffering pains under the green flag waved by a non-indigenous woman from coastal

Mjinga mmoja anatetea mwenye mikono ale na kipofu
Hii hali imekuwepo kitambo. Rais Samia anataka tumsaidie kufanya mabadiliko.
 
ilimradi maendeleo tanayaona hakuna shida kabisaaa......tozo iendelee , tena nashauri ziangaliwe njia nyingine za kuchangia maendeleo yetu, badala ya kuchangia harusi na masharehee mengine sasa tunaweza kuchangia 1200 maendeleo ya barabara zetu, hospitali, maji n.k

Mjenga nchi ni mwananchi mwenyewe.
tusitegemee kujengewa nchi yetu na mataifa mengine.

wala tusifikirie eti jinsi awamu ya 1 hadi ya 6 walivyo ongoza lazima ifanane na awamu hii ya 5, kila kiongozi anamaono yake ya kutuletea maendeleo.

Tutaendelea kulipa tozo bila shida yoyote.

wanao pinga tozo ni wahuni wachache wenye matatizo ya afya ya akili.
Sahihi
 
Kazi yenu ni kutugeuza punda Tu. Mkisha kusanya hizo Kodi mnagawana pekeyenu.

Huduma muhimu za kijamii, kama afya n.k ziko hovyo, wakati huo wenzetu mnakula bata Tu.
 
Yaani sisi tuliokuwa na uchungu na Nchi yetu na rasimali za Tanzania tulionekana ni wapiga kelele tu. Hatukuwa wakurupukaji tu bali tuna uchungu na nchi yetu tunapoona Kodi zetu zikitumiwa vjbaya na viongozi.

Hilo la kuhakikisha kila mtanzania, kinana, mzee, mke na mume wanalipa kodi sasa litawatua akili Chawa wengi waliokuwa wanaihi ishi tu.

Sasa tutakapo sema tunahitaji Katiba Mpya ili kudhibiti na kuwajibisha wafujaji wa mali zetu nadhani tutashirikiana kwa pamoja..

Rais ana nia njema na taifa hili tumpe muda na tuvumilie tutavuka salama.
Hiyo sentensi ya mwisho imevuruga uzi mzima
 
Yaani sisi tuliokuwa na uchungu na Nchi yetu na rasimali za Tanzania tulionekana ni wapiga kelele tu. Hatukuwa wakurupukaji tu bali tuna uchungu na nchi yetu tunapoona Kodi zetu zikitumiwa vjbaya na viongozi.

Hilo la kuhakikisha kila mtanzania, kinana, mzee, mke na mume wanalipa kodi sasa litawatua akili Chawa wengi waliokuwa wanaihi ishi tu.

Sasa tutakapo sema tunahitaji Katiba Mpya ili kudhibiti na kuwajibisha wafujaji wa mali zetu nadhani tutashirikiana kwa pamoja..

Rais ana nia njema na taifa hili tumpe muda na tuvumilie tutavuka salama.
Ni dhambi kutokuwa na uchungu wa nchi yko?
 
Na wao wapunguze matumiz ya anasa,watumie pesa kwa njia sahihi
Wananchi waone matokeo
Siyo wao wanakuwa mabonyenye tu

Ova
Mkuu kazi wanazofanya wewe na mimi hatuna ujasiri huo. Acha wale.
 
Back
Top Bottom