system

  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania System Admin – Infrastructure & Mpesa at Vodacom

    Role Purpose The Infrastructure Operations Specialist focuses upon administration of central and/or local data centres, legacy and/or centralized infrastructure, standards and requirements and provides support for the availability of Vodafone IT applications and Data Centre activities and...
  2. Gavano23

    JamiiForums Tanzania Usaili kada ya Business System analyst

    Wadau naomba hints wenye uzoefu kada ya ICTO BUSINESS SYSTEM ANALYST...hasa kwenye practical nipitie vitu gani?Msaada
  3. U

    JamiiForums Tanzania Blockchain; Mfumo uliokuja kuvuruga mifumo ya kibenki na ndio kisa hupigwa vita (decentalized system)

    HELLO GUYS! Baada ya kusubiri muda mrefu kidogo tukisubiri tuweze kuongezeka napenda kuwakumbusha kuwa hapa ni sehemu salama zaidi na mafunzo yote yatatolewa bure bila malipo yoyote na tutajitahidi kila siku kuleta angalau somo moja ili kufikia malengo ya kila mmoja kuweza kuelewa nini maana ya...
  4. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Mlio kwenye system mtujuze, ni kwanini mikataba inayoingiwa kati ya Serikali na entity nyingi ya kimataifa hufanywa kuwa siri kwa wananchi?

    Eti jamani, hasa nyie mlio kwenye system hebu tupeni mwanga kidogo; ni kwanini mikataba inayoingia serikali huwa inafanywa kiwa siri kiasi mwananchi wa kawaida hapaswi kabisa kujua. Mathalani hii mikataba ya mikopo, ni kwanini msiiweke hadharani ili tujue masharti yake yakoje, why?
  5. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Nchi hii, kiini cha kila tatizo tulilo nalo inaonekana ni katiba mbovu; mlio kwenye system, naomba mtujuze, inabadilishwa lini?

    Kiuhalisia ni vyema kila kiongozi aliye madarakani akawekewa guidance ya namna ya kuendesha serikali na muongozo huo uwepo kwenye katiba, isiwe utashi au mapenzi yake binafsi, bali katiba iseme hivyo na awajibishwe endapo hatoifuata. Mfano leo ukaniambia kwamba tunakupa madaraka fulani, na...
  6. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania System Developers EAC tumelala, huu mchongo wa Tanzania umeenda India, software $30 million USD

    Nawaza hapa kwa nia njema, wadau tunakesha tukiachia software za kishua tu huko nje zinatumika, ina maana hatujafikia kiwango cha kushawishi hizi serikali za ukanda huu, mpka ERP inafuatwa India kwa gharama ya milioni 30 dola za Kimarekani. Hela ndefu sana hiyooo. ========= A statement...
  7. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Samsung yaachia Operating system update Andorid 12 kwa simu S21 Ultra

    Kampuni ya Samsung wameachia updates ya os ya Android 12 ama UI 4 kuanzia tarehe 15 mwezi huu kwa simu za Samsung Galaxy S21 Ultra. Ila hii updates ilianzia huko Marekani, Ulaya na Korea Kusini kwenyewe. Naona kadri siku zinavyoenda inasambaa kwa mataifa mengine. Leo mimi simu yangu imepata...
  8. kbmk

    JamiiForums Tanzania School & College Management System service for free

    Elimusoft inakuletea OFA ya kufungia mwaka Tunatoa huduma ya SCHOOL & COLLEGE MANAGEMENT SYSTEM free kwa mwaka 2022 shule na vyuo katika ngazi zote Mfumo una features zaidi ya 40, baadhi yake ni kama Kutoa GPA ya motokeo ya mtihani ya kila mwanafunzi Kutoa DIVISION ya matokeo ya mihani ya...
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Natafuta Mtaalam wa Solar system/Products ambaye anaweza kuwa business Partner

    Wadau Nimepewa nafasi ya kuwa sole distributor wa solar solutions/products kutoka wa manufacturer wa china, mimi sina utaalam wa hiyo makitu . Sasa kabla ya kufanya any commitment na kuingia mkataba na manufacturer, nahitaji mtaalam ambaye tunaweza tukashirikiana (partners in business)...
  10. Superbug

    JamiiForums Tanzania Namna ccm inavyotia majaribuni mihimili mingine ya serikali. (Our governing system is tested)

    Imagine kiongozi wa kisiasa (wakati wa magufuli) anaamrisha wizi wa kura hapa ni kuvijaribu vyombo vya ulinzi na usalama vilinde dhuluma. Rejea uchaguzi wa 2020. The states security apparatus were tested . Kesi ya mbowe Kama kweli lengo ni kumfunga kwa gharama yoyote hata iweje Basi mahakama...
  11. waziri2020

    JamiiForums Tanzania James Ole Milya system ya nchi bado inakufanyia tathmini maana huaminiki una damu za kiharakati

    Wengi mnamkumbuka mwanasiasa James Ole Milya huyu amewahi kuwa mwenyekiti wa Uvccm mkoa wa Arusha na mbunge wa jimbo la Simanjiro. Huyu ni aina ya vijana wapambanaji kwenye ulingo wa siasa hapa nchini tetesi ni kwamba awali alikuwa anabebwa na kundi la Friends Of Lowasa lakini baadae kundi hili...
  12. CodeX

    JamiiForums Tanzania Ict officer ii (computer system administration) tupeane nondo

    Wakuu kwa wale tuliomba nafasi za kazi kwa ICT OFFICER II (COMPUTER SYSTEM ADMINISTRATION) ya TRA ,tupeane Nondo . 1. Maswali ya kusoma 2. Pepa huwa zinakuwaje . Karibuni
  13. TECNO Tanzania

    JamiiForums Tanzania TECNO’s CAMON 18 Premier Certificated by TÜV Rheinland for Low Blue Light of Eye Protection and Safe Fast-charge System

    TECNO today announced that its latest smartphone to release in November TECNO CANOM 18 Premier has received two new internationally recognized TÜV Rheinland certifications respectively for Low Blue Light (Hardware solution) and Safe Fast-charge Systems. This will provide consumers better eye...
  14. B

    JamiiForums Tanzania Hii system ya kwenda kusoma chuoni, huenda itakuja ku-collapse siku moja

    Huu upepo umeanzia Marekani, Nlisoma mtandaoni kua mamilioni ya vijana wengi wa kiume Kule united states hawaendi tena chuo, kijana akimaliza high school, anaingia kitaa Anajiajiri kwa kupiga mishe zake Binafsi, vijana wa USA wanaona kugraduate chuo unadaiwa $60,000 na kazi hazilipi ni ujinga...
  15. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania System Administrator: VAS – Applications at Vodacom

    Posting Country: Tanzania, United Republic of Date Posted: 20-Oct-2021 Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global community, it’s our human spirit...
  16. Bramo

    JamiiForums Tanzania New TARURA Parking Fee System inaenda kuwa aina mpya wizi na uonevu

    Waaungwana Kama heading inavyoonesha hapo juu. TARURA amekuja na namna nyingine ya kukusanya ushuru wa Maegesho ya Magari, Mfumo huu Mpya ni wa kielektroniki na uko based on Control Number. Nimefanya Research ndogo na kugundua kuwa Huu utaratibu mpya mbao ni Mzuri umegeuka kuwa ainia ya Wizi...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu course ya information system!

    wakuu samahanini nilikuwa naomba ufafanuzi kuhusu course ya bachelor of science in information system kweny upatikanaji wa ajira zake na hata uwezo binafsi wa kujiajiri..m ni first year mtarajiwa
  18. M

    JamiiForums Tanzania Course ya nformation system

    Wakuu samahanini Nilikuwa naomba nieleweshwe course ya bachelor of information system kweny upatikanaj ajira na hata uwezekano wa kujiajiri binafsi!
  19. M

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu BSc ya Information System

    Wakuu samahanini nilikuw naomba ufafanuzi kuhusu bachelor of science in information system kwenye upatikanaji ajira na hata pia uwezo wa kujiajiri binafsi kama inawezekana?
  20. 0743919950

    JamiiForums Tanzania SoC01 Delay of legal proceedings in our Tanzania Court system (Judiciary)

    01.INTRODUCTION. A case or suit is the contra-verse or misunderstandings between the two or more parties.Therefore parties are the one who bring the case to the particular legal institution, therefore parties and the case are two sides of the same coin.This means that one of them determine...
Back
Top Bottom