Tofauti ya Hi- Fi System, Home Theater, Subwoofer na Music System

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,376
11,527
Rejea kichwa cha Habari Husika.

Mimi ni mdau wa muda mrefu wa Jamii Forums na pia Wa Miaka Lukuki wa MUSIC. kwa kweli nimekuwa na uzoefu wa Music miaka mingi nikiwa nimepata sikiliza music toka katika Radio Mbalimbali ambazo zilikuwa njema nitaje chache.
1. Sony
2. Sharp
3. JVC
4. Panasonic

Na miaka ya 2000 nlifanikiwa kukutana na music mkali mzito toka Bose Home Theater ambayo inatengeneza Marekani kama sikosei. Ilikuwa inagonga sana.

Ukiacha hapo miaka ya nyuma nmesikiliza sana nyimbo za akina Marvin Gaye, Wacko Jacko, The Delfonics, Mase, Tu Pac, Madonna, Brian Adams, Jimmy Cliff,Bob Marley et al, Aurlus Mabele, Pepe Kalle, Josky Kiambukuta,Kanda BongoMan,T.P Ok Jazz, Sam Mangwana, Dindo Yogo....wengi sana kwenye Santuri....au sahani.

Naomba usichoke ba maelezo yangu. Kwa mara ya kwanza mzee amenunua Radio ya CD ilikuwa mwaka 1994 Sony. CD zilikuja baadaye...coz kulikuwa na option za kutumia Cassete. Ilikuwa inagonga vibaya sana kiasi bibi alikuwa analalamika kuwa tunataka kumuua sababu ya mdundo mgumu uliokuwa unaingia mpaka moyoni.

Swali langu la msingi. Kwa sasa kwa mtu anayetaka base ya maana inayogongea Kifuasi siyo tumboni kama zile za kichina au kooni na kusababisha kelele.

Je kipi bora kati ya Hi-Fi System, Home Theater, Subwoofer. Na je katika hizo kabla ya kununua nizingatie nini kati ya Omhs na Watts.

Nimeleta kwenu nikitumaini ombi langu la kuelimishwa litakubaliwa.

Wenu katika Ujenzi wa Taifa

Igunanilo Bin wa Kuntukanta Makata Manyahiyahiya Pelekapeleka Pelelutano.
 
Tafuta uzi wenye kichwa hiki cha habari

Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system​


Utajifunza mambo mengi kuhusu sound system
 
Rejea kichwa cha Habari Husika.

Mimi ni mdau wa muda mrefu wa Jamii Forums na pia Wa Miaka Lukuki wa MUSIC. kwa kweli nimekuwa na uzoefu wa Music miaka mingi nikiwa nimepata sikiliza music toka katika Radio Mbalimbali ambazo zilikuwa njema nitaje chache.
1. Sony
2. Sharp
3. JVC
4. Panasonic

Na miaka ya 2000 nlifanikiwa kukutana na music mkali mzito toka Bose Home Theater ambayo inatengeneza Marekani kama sikosei. Ilikuwa inagonga sana.

Ukiacha hapo miaka ya nyuma nmesikiliza sana nyimbo za akina Marvin Gaye, Wacko Jacko, The Delfonics, Mase, Tu Pac, Madonna, Brian Adams, Jimmy Cliff,Bob Marley et al, Aurlus Mabele, Pepe Kalle, Josky Kiambukuta,Kanda BongoMan,T.P Ok Jazz, Sam Mangwana, Dindo Yogo....wengi sana kwenye Santuri....au sahani.

Naomba usichoke ba maelezo yangu. Kwa mara ya kwanza mzee amenunua Radio ya CD ilikuwa mwaka 1994 Sony. CD zilikuja baadaye...coz kulikuwa na option za kutumia Cassete. Ilikuwa inagonga vibaya sana kiasi bibi alikuwa analalamika kuwa tunataka kumuua sababu ya mdundo mgumu uliokuwa unaingia mpaka moyoni.

Swali langu la msingi. Kwa sasa kwa mtu anayetaka base ya maana inayogongea Kifuasi siyo tumboni kama zile za kichina au kooni na kusababisha kelele.

Je kipi bora kati ya Hi-Fi System, Home Theater, Subwoofer. Na je katika hizo kabla ya kununua nizingatie nini kati ya Omhs na Watts.

Nimeleta kwenu nikitumaini ombi langu la kuelimishwa litakubaliwa.

Wenu katika Ujenzi wa Taifa

Igunanilo Bin wa Kuntukanta Makata Manyahiyahiya Pelekapeleka Pelelutano.
1. Home theater hazikutengenezwa kwa ajili ya Music. Zimetengenezwa kwa ajili ya movies.
Usitarajie kukutana na Music Halisi kwenye Homethearte.

2. Subwoofer za kichina kwa mtu mwenye ka uwezo ka kuwekeza kwenye Music aachane nazo. Hamna maajabu humo

3. HIFI System, hapa ndio mahali utakapopata TRUE MUSIC. Options zipo nyingi sana, ni wewe tu na hela yako na "expouser" yako.

Karibu.
 
1. Home theater hazikutengenezwa kwa ajili ya Music. Zimetengenezwa kwa ajili ya movies.
Usitarajie kukutana na Music Halisi kwenye Homethearte.

2. Subwoofer za kichina kwa mtu mwenye ka uwezo ka kuwekeza kwenye Music aachane nazo. Hamna maajabu humo

3. HIFI System, hapa ndio mahali utakapopata TRUE MUSIC. Options zipo nyingi sana, ni wewe tu na hela yako na "expouser" yako.

Karibu.
Watu wengi hua hawaelewi purpose ya home theater ni kukupa movie quality at home

Ila ukitulia zako na Hi-Fi mziki umetulia vibaga mno mimi nimetulia zangu na HI-Fi ya LG nasikiliza mziki kila instrument iliopigwa unaisikia vizuri sana haswa kwa mziki uliokua produced huko duniani nimeunganisha na TV ya LG aisee unasema maisha ndo hayaapa utake nini tena...
 
1. Home theater hazikutengenezwa kwa ajili ya Music. Zimetengenezwa kwa ajili ya movies.
Usitarajie kukutana na Music Halisi kwenye Homethearte.

2. Subwoofer za kichina kwa mtu mwenye ka uwezo ka kuwekeza kwenye Music aachane nazo. Hamna maajabu humo

3. HIFI System, hapa ndio mahali utakapopata TRUE MUSIC. Options zipo nyingi sana, ni wewe tu na hela yako na "expouser" yako.

Karibu.
Exposure.
 
Watu wengi hua hawaelewi purpose ya home theater ni kukupa movie quality at home

Ila ukitulia zako na Hi-Fi mziki umetulia vibaga mno mimi nimetulia zangu na HI-Fi ya LG nasikiliza mziki kila instrument iliopigwa unaisikia vizuri sana haswa kwa mziki uliokua produced huko duniani nimeunganisha na TV ya LG aisee unasema maisha ndo hayaapa utake nini tena...
Exactly, nina HIFI ya Klipsch,(2 powered bookshelf speakers), nimeunganisha pia na Smart TV (TV ina act kama streamer, kwa ajili ya kustream Music through Spotify).

Damn, I really enjoy those speakers....

The way zinavyodeliver music is Super Enjoyable, sijawahi kuenjoy music kama kipindi hiki!!!
 
Exactly, nina HIFI ya Klipsch,(2 powered bookshelf speakers), nimeunganisha pia na Smart TV (TV ina act kama streamer, kwa ajili ya kustream Music through Spotify).

Damn, I really enjoy those speakers....

The way zinavyodeliver music is Super Enjoyable, sijawahi kuenjoy music kama kipindi hiki!!!
Mimi nilikua naipenda onkyo CS-N755 lakini bei yake ikanikimbia ni $1000+ hapo bado shipping bado ushuru pia...nusu bei hapo inakua ni balaa ikabidi nidondokee kwa LG -CM5760 daah aisee aliebuni haya ma HIFI alikua ni mtaalamu sana hio mashine yako ya Klipsche imekaa vizuri hatari mkuu
 
Mimi nilikua naipenda onkyo CS-N755 lakini bei yake ikanikimbia ni $1000+ hapo bado shipping bado ushuru pia...nusu bei hapo inakua ni balaa ikabidi nidondokee kwa LG -CM5760 daah aisee aliebuni haya ma HIFI alikua ni mtaalamu sana hio mashine yako ya Klipsche imekaa vizuri hatari mkuu
Hiyo Onkyo parefu sana kibongo-bongo ila nimeicheki online inaonekana its a REAL THING, ina-deserve kabisa hiyo bei.

Kama mtu Ana uwezo, hizo ndio levels za kwenda
 
Back
Top Bottom