system

  1. msukule mzembe

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kubadilisha Operating System ya simu

    Mimi nina simu hizi za gougle lakini nataka kubadilisha operating system iwe ya android maana hii gougle ipo limited sana kuliko android. Nimejaribu ku root na pc ya samsung lakini bado. Je, naweza kuroot hiyo operating system
  2. Ephraim fundi umeme

    JamiiForums Tanzania Nimesoma IT, Electrical Installation, pamoja na kufunga Camera System, Fire Alarms, Electric Fence, WI-FI setup - natafuta kazi

    Habari za jioni waungwana. Kama nilivyoeleza hapo juu kwenye heading hio, Nimefanya kazi zote hizo kwa muda tofauti tofauti na bado hahusika nazo mpaka Sasa. Nimekuja kwenu kuomba msaada wa kampuni, shirika, mtu binafsi atakayeweza/kuwa tayari kufanya kazi na mimi. Napatikana mkoa wa...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Nadhani ni wakati muafaka kwa Vijana kama Makonda na Sabaya kurudishwa kwenye System

    Hawa vijana walifanya kazi nzuri katika Awamu ya Tano, kwa hali ilivyo bado wanahitajika kuweza kumsaidia Rais Mama Samia pia. Maana atakavyo endelea kucheka na watu ndio watakavyozidi kumuharibia na kuja kuonekana si kitu 2025. Hivyo ni bora hii miamba irudi kazini kurudisha heshima na...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya Sabaya kuachiwa Huru nashauri 'mnaoshadadia' kutwa kuwa Makonda nae akamatwe achaneni nalo kwani 'System' bado inawahitaji na inawakubali

    Kikubwa tutafuteni tu Hela za Kutunza Familia zetu ila Kuwashadadia akina Sabaya na Makonda kuwa Wafungwe Maisha au ikiwezekana Wanyongwe ili mfurahi na mridhike ni Kupoteza muda Wenu kwani hawa Watu 'System' iliwatumia huko nyuma na huenda hata Kuachiwa kwa huyu Sabaya Kuna 'Operation'...
  5. Mugabe Tz

    JamiiForums Tanzania Burning issue: Mchakato wa uagizwaji wa mafuta nchini-petroleum bulk procurement system

    Habari za mchana huu wana JF wenzangu...........................Poleni na harakati za kufanya mkono uende kinywani Kwa faida ya wengi, naomba mods msiuunganishe uzi huu na nyuzi nyingine kutokana na unyeti na umahsusi wa mada tajwa humu. Naomba kwa yoyote anayefahamu kwa kina kuhusu mchakato...
  6. A

    JamiiForums Tanzania CHANGAMOTO KATIKA SYSTEM YA AJIRA ZA TAMISEMI

    CHANGAMOTO KATIKA SYSTEM YA AJIRA ZA TAMISEMI Mwenge catholic university vimeingizwa vyuo viwili hali ya kuwa kipo kimoja tu hivyo vyuo viwili vinavyoyumia jina moja la mwenge catholic university kimoja kina course nne (4) ambazo ni (1) ordinary diploma in holder certificate of secondary...
  7. A

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya system ya TAMISEMI juu ya chuo cha MWENGE CATHOLIC UNIVERSITY

    CHANGAMOTO KATIKA SYSTEM YA AJIRA ZA TAMISEMI Mwenge catholic university vimeingizwa vyuo viwili hali ya kuwa kipo kimoja tu hivyo vyuo viwili vinavyoyumia jina moja la mwenge catholic university kimoja kina course nne (4) ambazo ni (1) ordinary diploma in holder certificate of secondary...
  8. I

    JamiiForums Tanzania E-VAT FILLING SYSTEM UNA CHANGAMOTO KUBWA!!!!

    Napongeza marekebisho yanayofanywa na TRA kwenye ukusanyaji wa mapato kwa kutumia njia za kielektroniki. Mabadiliko hayo ni pamoja na mfumo mpya wa kuwasilisha ritani za VAT ambapo mfumo ulioboreshwa na kuanza kutumika kwa mwezi machi 2022 una changamoto kubwa. Kwamba kawaida risiti...
  9. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania System Admin: IN Ops & Project at Vodacom

    Long Description Role purpose: The System administrator focus on all Management of Charging system application, Database, OS and Infrastructure which also include design and deployments of product, services and Technical projects lead. Administrator has a good understanding of established...
  10. OGTV

    JamiiForums Tanzania How to use windows 11 even if your PC does not meet minimum system requirements

    One of the Way is to Join Windows Insiders which will enable you to upgrade to windows 11 even if your pc does not meet system requirements. How to Join Windows Insider Programme? The Windows Insider Program is a community of millions of Windows' biggest fans who get to be the first to see...
  11. Offshore Seamen

    JamiiForums Tanzania Ship Stabilizer System

    Stabilization System ni mfumo maalum Kwenye chombo Cha majini Ili kukipa usawa kikiwa Kwenye Hali ya kutembea, bandarini au kikielea juu ya maji. Stabilizer Kwa lugha rahisi ni sawa na suspension system katika magari. Kwenye meli ship stabilizer husaidia kupunguza chombo kuyumba sababu ya...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalam wa MQL anifundishe kutengeneza system hii

    Wakuu habari, nataka kujua kama kuna mtaalamu wa kunifundisha namna ya kutengeneza forex robot (automated trading system) kwa kutumia MQL script language hata kwa malipo Ni programu ambayo inasaidia ku trade automatically, ukishaitengeneza na kuweke vigezo vyako vya ku trade, unaijaribisha...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania System Developer - (4 Posts) at Muhimbili National Hospital

    Muhimbili National Hospital (MNH) is a tertiary Specialised and Super Specialist Hospital in Tanzania organized into nine Directorates with bed capacity of 2,178 out of which 1,570 beds are at the Main Upanga Hospital and 608 beds are at Mloganzila facility which is 30 km away from the main...
  14. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Maji yaangalieni haya kabla ya kukimbilia mfumo wa kulipia bili ya maji kabla ya matumizi (prepaid bill system)

    Habari wanajamii!.. Naona mfumo huu wa kulipia huduma kabla ya matumizi umeanza kuwa mfumo pendwa licha ya kuwa mfumo unaomuumiza zaidi mtumiaji au mlaji hususani huduma inapokosa ubora. Ni kweli wananchi tunapaswa kulipia huduma tunazopatiwa na Serikali ili kusaidia suala zima la uendeshaji na...
  15. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania Vladimir Putin didn’t just invade the Ukraine on 24/02/2022, he officially ended the petrodollar system!

    Vladimir Putin didn’t just invade the Ukraine on 24/02/2022, he officially ended the petrodollar system. How? Remember, Russians don’t do anything without a plan. They & China have been prepping for this moment for years & are now ready. Russia has stated NATO expansion into Ukraine was a...
  16. K

    JamiiForums Tanzania Hivi TANZANIA tuna Air defence system ya aina gani?

    Poleni na majukumu wakuu Naomba kuuliza,kwenye hii vita inayoendelea huko ulaya,tunaona jinsi wenzetu wa Ukraine wanavyojitahidi kuzidungua ndege za Russia na kuzuia baadhi ya makombora kwa kutumia mfumo wao wa ulinzi wa anga. Hivi sisi hapa kwetu tunayo air defence system, na kama tunayo ni ya...
  17. L

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kuwa professional wa Auto diagnostics na Immobilizer system, ni chuo gani naweza somea?

    Habari waku, mimi ni kijana nnayejihusisha na ufundi wa magari kwa muda wa miaka miwili na nusu sasa, napatikana Arusha mjini. Katika shughuli zangu nilifanikiwa kununua Mashine yangu ya diagnosis kutoka China Aina ya Launch X431 V+ na nikaanza kazi ya diagnosis kama extra coz bado nipo...
  18. Tomaa Mireni

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Technics SA-DV280 Music system inauzwa

    Bei ni 190000 0625547181 haina kasoro
  19. Augustking

    JamiiForums Tanzania SOFTWARE School Management system with android App and Biometric time attendance for Teachers

    Click Up company limited tumeleta mfumo maalaumu kwa ajili ya kumanage na kutunza kumbukumbu za shule yako. mfumo huu unakuja na biometric device maalumu kwaajili ya kufuatilia attendance ya walimu shuleni. Gharama ya mfumo pamoja na biometric device kwaajili ya attendance ni 700,000 TZS...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Programmer (2 positions) at Tanzania Mentors Action (TMA)

    System Programmer Tanzania Mentors Action (TMA) is the local non-governmental organizations (NGO’s) registered under the Ministry of Health Community Development, Gender Elderly and Children (MOHCDGEC) with registration number ooNGO/R2/000156. TMA goal is to improve community life through...
Back
Top Bottom