sifa

Sifa is a type of deadman's control system used on German-influenced European railways. Although deadman's pedals are commonly used on railways worldwide, Sifa systems are specifically those codified by German Industrial Norms VDE 0119-207-5.
In Switzerland the equivalent system is called 'safety control' (Sicherheitssteuerung).

View More On Wikipedia.org
  1. D

    JamiiForums Tanzania Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

    Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu. Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge; Liwe ni kanisa la kikristu Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi) Liwe...
  2. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Queen Cuthbert Sendiga: "Nitahakikisha wagombea urais wote waliojitokeza kuwania wanapata nafasi ndani ya serikali yangu

    Mambo vp jamiiforums Hongera sana dada yangu kipenzi Queen Cuthbert Sendiga kutoka chama cha ADC kwa kuchaguliwa kuwa mkuu mpya wa mkoa (RC) wa Iringa. Mungu akakusimamie na kukupa muongozo sahihi kwa kuwatumia watanzania waishio katika mkoa huo. Mama yetu kipenzi Rais Samia alisema...
  3. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Serikali iangalie upya sifa za kugombea ubunge

    Habari za leo ndugu zangu, Uzi wangu leo utakua mfupi sana. Ni ushauri tu sifa za kugombea ubunge zibadirishwe walau mgombea awe na Shahada. Na wanaogombea udiwani walau wawe na diploma. Wanaogombea uenyekiti wa vijiji walau wawe na cheti cha form four. Ndugu zangu ni ushauri tu. Ninyi...
  4. Papaa Mobimba

    JamiiForums Tanzania TEUZI: Rais Samia Suluhu ateua Majaji wa Mahakama ya Rufani, Majaji wa Mahakama Kuu. DPP Mganga ateuliwa kuwa Jaji

    Rais Samia amefanya teuzi za Majaji wa Mahakama wa Rufani, Mahakama Kuu na Kumwongezea muda Jaji Mahakama ya Rufani.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Aina 6 za Demokrasia na sifa zake

    1. Demokrasia ya moja kwa moja Ni aina ya demokrasia inayotamaniwa na inayotamaniwa katika nchi zilizo na watu wengi tangu demokrasia ya moja kwa moja kawaida hutekelezwa katika nafasi na wenyeji wachacheKwa kuwa huu ni mfumo wa ushiriki wa moja kwa moja, kama jina lake linavyoonyesha, bila...
  6. Ethan Cruz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sifa za Mwanaume anayekuchezea

    1. ANAKWEPA MAZUNGUMZO YA NDOA Haonyeshi Kufurahi Unapoanzisha Mazungumzo Kuhusu Suala La Kufunga Ndoa Na Wala Hapendi Kuzungumzia Hilo. Wakati Mwingine Hata Kukutambulisha Kwa Ndugu Zake Au Rafiki Inakuwa Shida. 2. ANAGHARAMIA ANASA KULIKO MAMBO MUHIMU Anakuwa Ni Mtu Wa Kukununulia Mapambo Ya...
  7. J

    JamiiForums Tanzania CCM ujana ni sifa ya ziada lakini CHADEMA ujana ni maisha yao. Sijajua UVCCM wanafeli wapi?

    Ni kawaida sana kumuona diwani, mbunge au Waziri wa CCM akitamba kwamba sasa kazi itafanyika kwa sababu yeye ni kijana. Na unaweza kukuta hata Kigwangalla au Shinza akijinasibu kwamba yeye ni kijana. Lakini Chadema vijana hawanaga hizo swaga wao utawatambua kwa matendo yao tu kuwa ni vijana na...
  8. Ethan Cruz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zijue sifa za "Mwanaume anayetaka kuwa serious na wewe" na "Mwanaume anayekuchezea''

    BANDUGU ZANGU LEO NMEKUJA NA HUU UZI ATAKAYEKUOA SIFA ZAKE NI KAMA IFUATAVYO... 1. ANABADILIKA Mwanaume Ambaye Ana Malengo Ya Kuoa Hubadilika Kitabia. Muda Mwingi Hutaka Kuonekana Mtu Mzima Mwenye Sifa Nzuri. Hatakuwa Mtu Wa Kulewa Kupita Kiasi Na Kutapanya Mali Na Wanawake Wengine. Tabia Zake...
  9. Meja mstaafu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta Mwenza (Mke)

    Sifa zangu 1. Mkristo( dhehebu A.I.C) 2. Nina miaka 30 3. Mwenyeji kanda ya ziwa. 4. Elimu shahada ya kwanza (sijaajiriwa, nipo nashughulika na kilimo) 5. Urefu 165cm, rangi ni maji ya kunde. 6. Mpole sana kijana mwenye hofu ya Mungu. SIFA ZA MKE NINAYEMHITAJI 1. Umri miaka 20-25 2. Dini...
  10. Kimbakuli

    JamiiForums Tanzania Makonda is a good leader, sema kupenda sifa na kujipandisha ndio kunamwangusha sana

    I do remember Paul Makonda wa awamu ya nne, akiwa UVCCM na badae DC-Kinondoni na Mjumbe wa Bunge la Katiba, alikuwa promising young politician wa taifa letu. Lakini ilipoingia awamu ya tano, sijui alilishwa nini huyu kijana, sijui km ni u-RC ndio ulimlewesha, sijui allitaka kucopy style ya...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Waziri Ummy amtaka DED wa Bumbuli kujitathmini kama bado anazo sifa za kuendelea na majukumu yake!

    Waziri wa Tamisemi amemtaka mkurugenzi wa Bumbuli kujitsthmini yeye mwenyewe kama bado anafaa kuendelea na majukumu yake. Waziri Ummy amesema Bumbuli inaongoza kwa ubadhirifu wa fedha za umma na kamwe hatamvumilia mkurugenzi huyo na amemtaka achukue maamuzi magumu kabla rungu la Rais Samia...
  12. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Sifa za mwanamke afaaye kuitwa mama

    SIFA ZA MWANAMKE AFAAYE KUITWA MAMA. 1: Mwaminifu katika kila jambo. 2: Sio mbishi kwa mumewe na watu wengine. 3: Hadekezi watoto. 4: Ni msiri kuhusu mambo ya mumewe na ya familia kiujumla. 5: Ana hekima na sio kutwa kutafuta watu na kuropoka siri za familia. 6: Ni mvumilivu. 7: Ni mwepesi wa...
  13. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Bunge linawakumbatia Wabunge wasio na sifa?

    Wakuu pengine tujadili kidogo kua kwa nini Bunge kinawakumbatia wabunge wasio na sifa za ubunge. Naibu spika wa bunge Dr. Tulia Ackson naona anawakumbatia wabunge hao. Je, nini maoni yako? Tujadili hili.
  14. A

    JamiiForums Tanzania Ni wakati Mwafaka sasa wa kufanya amendment kwenye sifa ya elimu kwa mgombea ubunge, badala ya kujua kusoma na kuandika, twende mbali zaidi

    Sifa ya kujua kusoma na kuandika ilifaa miaka ya 1960, 1970, 1980 ,1990 .lakini kuanzia 2000 hadi sasa Tanzania ina wasomi wengi kuanzia elimu ya kidato cha nne hadi shahada ya kwanza na ya pili. Hivyo ni bora sasa bunge letu kuwa na wabunge wenye elimu zaidi ya kusoma na kuandika ili kwenda...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Wabunge wasomi endeleeni kuchutama. Msijibishane na wa darasa la saba

    Ni kawaida kwa mtu mwenye akili zake (muungwana) akianza kurushiwa maneno na kichaa huwa anakaa kimya. Vivyo hivyo muungwana akiporwa nguo zake na kichaa, huwa anachutama. Sasa wabunge darasa la saba kwasababu ya upeo wao finyu, hubwatuka tu dhidi ya wabunge wasomi wenye akili. Na wabunge...
  16. C

    JamiiForums Tanzania Kufuatia nguvu inayotumika kuua sifa nzuri za Magufuli, tutgemee nini Watanzania?

    Ninapata wasiwasi mkubwa sana kuelewa agenda iliyochini ya carpet kutokana na nguvu kubwa ya ghafla inayotumika kuua sifa za magufuli. Kuwa brainswash Watanzania ili waone Magufuli was wrong and really a bad person, kunalenga kuwafanya waamini kinyume cha mema ya magufli. Magufli amefanya...
  17. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa Rais Samia Suluhu: "Hatari ya Mtawala kujipa sifa za Mungu"

    HATARI YA MTAWALA KUJIPA SIFA YA "mungu" Kwa Mkono wa Robert Heriel. Mwaka Juzi niliandika makala niliyoipa kichwa kisemacho "NJAMA ZA IKULU, HATA RAIS/MFALME ANAWEZA KUDANGANYWA" Soma hapa 👉👉👉👉Hata Rais hudanganywa: Njama za Ikulu ndizo hizi katika makala hiyo nilieleza kinaga ubaga namna...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Kuna majaji wa Magufuli wamekuwa judges/ Justice of appeal bila sifa zilizoinishwa kisheria, tunafanyje?

    Kuandika hukumu ya kiswahili, tayari ni JA, Is this acceptable within the ambit of the governing law? Tunafanyaje?
  19. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia, fukuza walioukuletea jina la mtu asiye na sifa ili umteue

    Mheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na...
  20. Mwanamayu

    JamiiForums Tanzania Hivi hawa Watanzania 'wanyonge' wana sifa zipi? Na wanapataje hizo sifa?

    Inaonekana neno 'wanyonge' limeshika kasi katika matumizi yake hapa Tanzania, na kutumiwa sana na baadhi ya wakuu kabisa wa nchi. Kwa mujibu wa baadhi ya machapisho, 'wanyonge' maana yake ni 'masikini sana', au 'watu wadhaifu katika jamii'. Kwa Kiingereza ni 'disadvantaged', 'abject poor', au...
Back
Top Bottom