Queen Cuthbert Sendiga: "Nitahakikisha wagombea urais wote waliojitokeza kuwania wanapata nafasi ndani ya serikali yangu

Infantry Soldier

JF-Expert Member
Feb 18, 2012
15,893
16,317
Mambo vp jamiiforums

Hongera sana dada yangu kipenzi Queen Cuthbert Sendiga kutoka chama cha ADC kwa kuchaguliwa kuwa mkuu mpya wa mkoa (RC) wa Iringa. Mungu akakusimamie na kukupa muongozo sahihi kwa kuwatumia watanzania waishio katika mkoa huo.

Mama yetu kipenzi Rais Samia alisema atajumuisha watanzania wote katika uongozi wake bila kuangalia itikadi za vyama na hakika amefanya hivyo. Hongera sana Rais Samia Hassan. RC Queen tuna imani kubwa na wewe, usiwaangushe ndugu zetu wa Iringa.
==========
fgtgfbg.jpg

==========
Wadau Facebook September 2020;

fgftg.jpg

==========
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
 
Back
Top Bottom