Sifa za kupata mkopo HESLB ziangaliwe upya kabla ya maombi Juni 2021, hasa kigezo cha kuwanyima mkopo waliosoma shule binafsi

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,373
73,975
Kigezo cha mtoto mbaye amesoma private schools asipate mkopo si sahihi. Wazazi wengine wanakuwa wamestaafu, wameacha kazi, wamekufa etc, kutumia kigezo hicho ni kutowatendea haki.

Au pia uwezo wa biashara yake umekufa kama wakati wa Mwendazake biashara nyingi zilikufa na hazijafufuka/hazitafufuka.

HESLB liangalie upya hili la kigezo hicho.
 
Kigezo cha mtoto mbaye amesoma private schools asipate mkopo si sahihi. Wazazi wengine wanakuwa wamestaafu, wameacha kazi, wamekufa etc, kutumia kigezo hicho ni kutowatendea haki.
Au pia uwezo wa biashara yake umekufa kama wakati wa Mwendazake biashara nyingi zilikufa na hazijafufuka/hazitafufuka.
HESLB liangalie upya hili la kigezo hicho.
Kabisa wapo wengine yatima ama wametokea familia maaikini na ikatokea walisomeshwa kwa ufadhili wa watu binafsi au kanisa na misikiti...bodi haiangalii hivo...inachinja tu na kuwanyima mikopo vijana wa kitanzania kwa ushamba wa kudhani wao ni matajiri.

Tena wanashindwa kujua tajiri wa 2015..miaka hii anaishi kama shetani..kachalala..sasa akuhumiwe kisa miaka ile alikuwa nazo! Wajitafakari!
 
Cha kwanza board wanachoangalia ni uhitaji.

Haiwezekani mtu asome shule analipa ada milioni 5 kwa mwaka halafu aje kuomba mkopo.

Lakini pia board hua wanatoa mikopo hata kwa waliosoma private iwapo tu mtu ataonyesha ana uhitaji.

Vinginevyo mikopo ni kwa watu wanaohitaji msaada kweli.
 
Kigezo cha mtoto mbaye amesoma private schools asipate mkopo si sahihi. Wazazi wengine wanakuwa wamestaafu, wameacha kazi, wamekufa etc, kutumia kigezo hicho ni kutowatendea haki.
Au pia uwezo wa biashara yake umekufa kama wakati wa Mwendazake biashara nyingi zilikufa na hazijafufuka/hazitafufuka.
HESLB liangalie upya hili la kigezo hicho.
Kwani mkopo ni zawadi? Mi nadhani kila anayestahili mkopo apate mkopo isiangaliwe mtoto kasoma private au Shule za Serikali.
 
Kigezo cha mtoto mbaye amesoma private schools asipate mkopo si sahihi. Wazazi wengine wanakuwa wamestaafu, wameacha kazi, wamekufa etc, kutumia kigezo hicho ni kutowatendea haki.
Au pia uwezo wa biashara yake umekufa kama wakati wa Mwendazake biashara nyingi zilikufa na hazijafufuka/hazitafufuka.
HESLB liangalie upya hili la kigezo hicho.
Mkopo ni haki ya kila mtanzania awe na uwezo hana uwezo ni haki yake kwasababu fadha za mkopo zinatokana na kozi za watanzania wote, kodi inakusanywa bila kubagua kwanini ubague wakati wa kuwakopesha watu? Tena kwenye nchi yao?
 
Kwani mkopo ni zawadi? Mi nadhani kila anayestahili mkopo apate mkopo isiangaliwe mtoto kasoma private au Shule za Serikali.
unjua ukiwa nchi za kidikiteita kama zetu, yachulie kidikiteita. You are bsolutely right, kila mmoja apate mkopo maana siyo zawadi, ni kuwa utaulipa kwa jasho. Lakini nchi zetu za kishenzi ziko hivyo... mtu unabembeleza mkopo....
 
Back
Top Bottom