Maajabu ya shule ya Msingi Kiomboi Bomani

Freed Freed

JF-Expert Member
Jun 27, 2017
6,218
6,455
Halo JF.

Waswahili walisema tembea uone. Katika tembea na pita zangu mkoani Singida hususan wilaya Iramba, natua KIOMBOI mjini yalipo makao makuu ya wilaya.

Nakutana na maajabu ya shule ya Msingi Kiomboi Bomani. Katika shule hii kuna walimu wengi na walio wengi zaidi ni wanawake. Penye wanawake au wabeijing kuna vitimbi na mikasa ya aina yake.

Walimu hawa kutokana na mashindano ya kuvaa, wamelazimishwa kuvaa sare zinazofanana. Uamuzi huu umefanywa na uongozi wa halmashauri ya wilaya ili kupunguza tambo na majungu miongoni mwa wanawake hawa. Lengo ni ili wote walingane.

Sasa nikaona haya pia ni maajabu, japo pia bado wanashindana katika kubadilisha mashati meupe. Leo mtu atavaa mtumba, kesho la dukani nk. Nikasema kweli binadamu humuwezi.
 
Halo JF.

Waswahili walisema tembea uone. Ktk tembea na pita zangu mkoani singida hususan wilaya Iramba, natua KIOMBOI mjini yalipo makao makuu ya wilaya.

Nakutana na maajabu ya shule ya Msingi Kiomboi Bomani. Ktk shule hii kuna walimu wengi na walio wengi zaidi ni wanawake. Penye wanawake au wabeijing kuna vitimbi na mikasa ya aina yake.

Walimu hawa kutokana na mashindano ya kuvaa, wamelazimishwa kuvaa sare zinazofanana. Uamuzi huu umefanywa na uongozi wa halmashauri ya wilaya ili kupunguza tambo na majungu miongoni mwa wanawake hawa. Lengo ni ili wote walingane.

Sasa nikaona haya pia ni maajabu, japo pia bado wanashindana ktk kubadilisha mashati meupe. Leo mtu atava mtumba, kesho la dukani nk. Nikasema kweli binadamu humuwezi.
Habari imejaa majungu matupu
 
Na sisi tulitaka tushangae ili tujue namna gani ya kuchangia

Wewe ulivyoona ukashangaa, sisi hatujaona halafu tunakuomba picha ili nasi tushangae, we unakataa halafu unataka tushangae bila picha, Kiukweli inashangaza sana
 
Na sisi tulitaka tushangae ili tujue namna gani ya kuchangia

Wewe ulivyoona ukashangaa, sisi hatujaona halafu tunakuomba picha ili nasi tushangae, we unakataa halafu unataka tushangae bila picha, Kiukweli inashangaza sana
Dah kweli watupia comments ni wa kushangaz sana😁😁
 
Halo JF.

Waswahili walisema tembea uone. Katika tembea na pita zangu mkoani Singida hususan wilaya Iramba, natua KIOMBOI mjini yalipo makao makuu ya wilaya.

Nakutana na maajabu ya shule ya Msingi Kiomboi Bomani. Katika shule hii kuna walimu wengi na walio wengi zaidi ni wanawake. Penye wanawake au wabeijing kuna vitimbi na mikasa ya aina yake.

Walimu hawa kutokana na mashindano ya kuvaa, wamelazimishwa kuvaa sare zinazofanana. Uamuzi huu umefanywa na uongozi wa halmashauri ya wilaya ili kupunguza tambo na majungu miongoni mwa wanawake hawa. Lengo ni ili wote walingane.

Sasa nikaona haya pia ni maajabu, japo pia bado wanashindana katika kubadilisha mashati meupe. Leo mtu atava mtumba, kesho la dukani nk. Nikasema kweli binadamu humuwezi.
nilishauri hapa jana kuwa hawa walimu wanawake waanze kuajiriwa kuanzia umri wa miaka 35, mkaniponda na kuukaushia uzi wangu mpaka sielewi hata ulikopotelea. endeleeni kushuhudia nyie wenyewe!!!
 
Back
Top Bottom