shule

  1. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mwanza: Shule zasitisha masomo, Wanafunzi waambiwa wakampokee na kumsikiliza Mgombea wa CCM Dkt. Magufuli Uwanja wa CCM Kirumba

    Katika hali isiyo ya kawaida Mkuu wa Mkoa wa Mwanza John Mongela amesitisha kufunguliwa kwa shule zote hapo kesho ili waalimu na wanafunzi washiriki kampeni za chama Cha CCM. Hali hiyo imesababishwa na chama hicho kukosa ushawishi wa watu kuhudhuria mikutano yake bila kulazimishwa na hali...
  2. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Takwimu: idadi ya wanafunzi ni kubwa kuliko walimu. Elimu ya bure haiwaandai watoto kuelewa bali kumaliza shule

  3. samirnasri

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa shule ya Martin Luther jijini Dodoma kawageuza wazazi kitega uchumi, anatakiwa kushitakiwa

    Kwa wakazi wa Dodoma jina Martin Luther sio geni unapozungumzia suala zima la elimu. Ni shule iliyopo eneo la kisasa njia ya kuelekea Dar es Salaam. kwa ujumla shule ina mazingira ya kuvutia kwa muonekano wa nje. Kwa upande wa taaluma pia imekuwa miongoni mwa shule bora mkoani Dodoma ikiwa...
  4. Sema Tanzania

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MAKALA: Malezi ~ Shule ya kwanza ya mtoto ni nyumbani

    Utakubaliana nasi kuwa shule ya kwanza katika maisha ya mtoto ni nyumbani – wazazi, ndugu wa familia tandaa, majirani na marafiki wa familia husika. Kupitia mzazi/mlezi mtoto anapata nyenzo zitakazoongoza maisha yake yote – heshima, utii, unyenyekevu na kadhalika. Yaani wema au ubaya wa mtu mara...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Shule ya Mivumoni Islamic iliyoko Kinondoni yateketea kwa moto ikiwa ni mara ya tatu sasa!

    Mivumoni Islamic school iliyopo kwenye msikiti wa mtambani Kinondoni imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo 31/08/2020. Hii ni mara ya tatu ndani ya miezi miwili Shule hiyo kuungua. Source East Africa radio Maendeleo hayana vyama!
  6. lyinga

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini CCM huwa wanapendwa sehemu zisizokuwa na maendeleo?

    Ndugu zangu naomba kuuliza ni kwanini maeneo mengi hasa vijijini wanaipenda sana ccm ilhali maeneo yanayowazunguka ni maskini wa kutupwa mliotembea mikoani nadhani hali halisi mnaijua yaani kuna maeneo kuanzia tuapate uhuru maji ya bomba hawajawahi kuyaona wala kuyanywa umeme ndio kabisaaa...
  7. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa wa Tabora ameagiza kushushwa vyeo kwa Walimu Wakuu wa shule ambazo zimekuwa zikifanya vibaya katika mitihani

    MKUU wa Mkoa wa Tabora, Dkt. Philemon Sengati, ameagiza kushushwa vyeo kwa walimu wakuu wa shule ambazo zimekuwa zikifanya vibaya katika matokeo ya mitihani. Alitoa kauli wilayani Urambo wakati wa mkutano na viongozi na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Urambo kwenye ziara ya kikazi. Dkt...
  8. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Jana tumempoteza mwenzetu kwa ujinga wa dereva pikipiki asiye na leseni, wengi hawana

    Kuna vitu tukiiiendeleza tutashia kuzikana kila siku, kuna hili jamboo linakera sanaa sanaa. Kuna asilimia 75% ya madereva wa pikipiki hawana leseni sisemi kuwatisha. Kama hamuamini waanze operesheni wakishirikiana na TAKUKURU na maofisa wa makao makuu muone. Anzeni njia ya Mwenge Kawe, nendeni...
  9. FrankLutazamba

    JamiiForums Tanzania Ingekuwa vyema Usalama wa Taifa wenye umri wa 20-35,wakachomekwa kama wanafunzi wa primary na sec kuzuia viboko na uchomaji wa shule...

    Kwakuwa Usalama wa Taifa ni kama kinyonga wanafiti popote,basi wangevaa uniform za shule ya msingi na sekondari na kuingia madarasani kama wanafunzi ilimradi tu wawe wanajulikana na walimu ili wasichapwe kuzuia matukio ya walimu wanaochapa ovyo kwa kuripoti mapema kwa maafisa elimu na kukaa...
  10. Trubarg

    JamiiForums Tanzania WHO wazitaka nchi za Afrika kufungua shule

    Shirika la Afya Duniani (WHO) pamoja na shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia watoto (UNICEF) yamezihimiza nchi za Afrika kufungua shule na kuhakikisha watoto wanakuwa salama dhidi ya virusi vya corona. Mashirika hayo yamesema kuendelea kufunga shule kwa muda mrefu kunahatarisha ustawi...
  11. Influenza

    JamiiForums Tanzania Pwani: Mwalimu wa shule ya msingi Mwendapole anashikiliwa na Polisi akituhumiwa kumshambulia Mwanafunziwa miaka 12 kwa fimbo

    JESHI la polisi mkoani Pwani, linamshikilia mwalimu Evata Mboya,wa shule ya msingi Mwendapole,Kibaha, kwa kosa linalodaiwa ni kumshambulia kwa fimbo mwanafunzi na kumsababishia maumivu makali ya kichwa. Mwanafunzi huyo wa darasa la tano ,miaka 12 ,walipewa adhabu ya kuchapwa fimbo na wenzake...
  12. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Ufaransa yapiga marufuku matumizi ya simu kwa watoto katika shule

    Ufaransa yapiga marufuku matumizi ya simu janja ' Smart Phones ', tablet na saa janja ' Smart Watches kwa watoto chini ya miaka 15 katika shule. Serikali ya taifa imekuwa ikitilia shaka uwezo wa wanafunzi kwa maana ya kutegemea vifaa hivi katika masomo yao pia ikionekana kama chagizo la...
  13. Kurzweil

    JamiiForums Tanzania Mwalimu aliyeshtakiwa kwa kumbaka Mwanafunzi ahukumiwa miaka 30 jela. Mwanafunzi afukuzwa shule

    Habari wanaJamiiForums, Mwalimu George Ngallu wa Mahiwa Sekondari aliyekuwa na kesi mahakamani ya kufanya ngono na mwanafunzi wake wa kidato cha tano 2019/20 katika mchepuo wa History, Geography na Kiswahili (HGK) amakutwa na hatia na amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kuanzia tarehe...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta nafasi ya Kidato cha Tano kwa Shule Binafsi ya Wasichana

    Amani iwe kwenu! Wakuu, natafuta nafasi ya Kidato cha Tano kwa shule binafsi ya Wasichana kwa tahasusi ya EGM. Shule iwe katika moja ya mikoa ya Mbeya, Iringa, Dodoma, Morogoro, Tabora au Mwanza. Natanguliza Shukrani.
  15. Magonjwa Mtambuka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya wabadili shule na kuwa banda la kuku

    Corona inawafinya kisawasawa hawa. ====== Businessman turns school into poultry farm as Covid-19 bites A businessman in Kirinyaga County has converted his private school into a poultry farm as Covid-19 pandemic wrecks havoc in the education sector. Joseph Maina, the proprietor of...
  16. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania UN: Kama maambukizi ya COVID-19 ndani ya jamii yamedhibitiwa, fungueni shule

    Janga la ugonjwa wa virusi vya Corona au COVID- 19 likiendelea kuripotiwa maeneo mbalimbali duniani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa tamko lake la kisera lenye lengo la kuhakikisha kuwa janga hilo halizidishi pengo lililokuwa la walio na elimu na wasio na elimu. Tamko...
  17. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Nilikua na ndoto ya kusoma chuo Mlimani tangu nikiwa shule ya msingi

    Ndoto yangu ya kusoma degree yangu ya kwanza Mlimani ilianza nikiwa shule ya msingi. Nilikua nikisikia tu story kutoka kwa dingi akisimulia mandhari na elimu ya pale Mlimani pindi wanasoma. Basi ndipo nilipoanza kupiga kitabu kwa bidii ili nifike Mlimani. Hapo ilikua ni shule ya Msingi...
  18. G

    JamiiForums Tanzania Natafuta shule ya kufundisha O-level na A-level

    Mimi ni Mwalimu wa Physics na Maths. Nina uzoefu wa miaka 5 nikifundisha Advance. Naomba anayejua penye nafasi tuwasiliane 0766556236 Wanajamii naombeni msaada wenu mkoa wowote nitaenda
  19. Inside10

    JamiiForums Tanzania Ukuta Shule ya Sekondari Ngasaro, Shirati Rorya waanguka. Wanafunzi wawili wafariki

    Wana JF, Nasikitika kuwafahamisha kuwa wanafunzi wawili wa shule ya sekondari Ngasaro Wilaya ya Rorya(kata ya mkoma) wafariki dunia mchana huu baada ya kuangukiwa na ukuta. Kwa taarifa nilizozipata ni kuwa ukuta huo ulikuwa unatenganisha vyoo na madarasa. Chanzo: Mmoja wa familia ya wafiwa...
  20. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Jifunzeni kusali na watoto wenu asubuhi kabla ya kwenda shule

    Familia nyingi zinateseka na watoto sababu ya kuachia kila kitu mabinti wa kazi Wako leo hii waliojisahauu na sasa mabinti wakazi wamekuja sec wife na hawana nguvu ya kuwaondoa anaelipa mume kumbe ni kwa ujinga wako mwenyewe Turudi kwenye màda kifupi ningeombà mjitahidi watoto wenu kabla ya...
Back
Top Bottom