shule

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna namna, Wazazi wa watoto shule za binafsi lazima walipe ada yote

    Kufundisha mtoto ni sawa na kujenga nyumba. Anayejenga nyumba huanza kujenga mstari wa Kwanza, halafu mstari wa pili hujengwa juu ya mstari wa Kwanza. Hali kadhalika mstari wa tatu hujengwa juu ya mstari wa pili. Ikitokea siku ya kujengwa mstari wa pili kukatokea dharula na ujenzi usifanyike...
  2. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Zanzibar kufungua shule na kurejesha shughuli za kijamii kuanzia Juni 29

    Raisi wa zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametangaza rasmi kufunguwa skuli zote nchini pamoja na shughuli za kijamii kuanzia Juni 29 baada ya kupunguwa kwa kasi ya maradhi ya covid-19 Nchini . Akizungumza katika hutuba ya kulivunja baraza la wawakilishi la...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Naona shule zimeanza ukorofi, wanatoza ada ya muhula ambao wanafunzi wamekuwa nyumbani

    Ndugu Mzazi/Mlezi; *Kuelekea kufungua Shule(Toka likizo ya Janga la corona), ADA YETU ITAKUWA KAMA IFUATAVYO:- 1. Ili kuwapa wepesi wazazi katika kufanya Malipo ya Ada kutokana na Janga hili la korona, Uongozi umeamua kupunguza ada kwa kiasi cha Sh. 100,000/= (Shilingi laki moja). Hivyo bas:-...
  4. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Shule zikifunguliwa, Watoto wa kike wapimwe ujauzito

    Close to 4,000 school girls impregnated in Kenya during COVID-19 lockdown Karibia Wanafunzi wa Kike 4,000 wamepewa Ujauzito nchini Kenya baada ya Kujamiiana sana wakati wa Zuio la Kutokutoka la CORONA. Chanzo: Daily News Tanzania
  5. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Dakika moja kuwaombea wazazi waliokula ada wakitegemea shule kufunguliwa mwakani

    MUNGU AWAPE HAJA ZA MIOYO YENU SHULE KWANZA
  6. ndanda masasi

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Elimu, Profesa Ndalichako ataka busara itumike suala la ulipaji ada

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako ametaka busara itumike kati ya wazazi na bodi za shule kuhusu suala la ulipaji wa ada na malimbikizo ya ada za muhula uliopita kwani janga la Corona limeathiri watu wengi
  7. E

    JamiiForums Tanzania Waziri Ndalichako tunaomba utoe tamko kuhusu mwongozo wa elimu baada ya shule kufunguliwa, kuna shule wamebuni michango yao

    Katika shule moja iliyopo wilaya ya Magu, ambayo ni Sekondari ya kata watoto wanatakiwa kupeleka kilo kumi za mchele kila mmoja, hayo ni maelekezo waliyopewa watoto kutuambia wazazi. Shule ina wanafunzi wastani wa 2000×10 = kg 20,000/= na pesa tsh.2000@ mwanafunzi ambazo ni tsh. 4,000,000/=...
  8. Bess

    JamiiForums Tanzania Baada ya wazazi na wanafunzi kusikia shule zinafunguliwa

    First image; Dogo ana'finalize usumbufu Second image: Parents celebrating the good news
  9. yahoo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania: Rais Magufuli asema shule na shughuli zingine zote kuendelea kuanzia Juni 29, 2020

    Rais ametangaza kwamba tarehe 29/06/2020 shule zote zifunguliwe. Amesema hali ya Corona nchini inaendelea vizuri na imepungua sana. Amesema shughuli nyingine zote kama kufunga ndoa nazo ziendelee na maisha lazima yarudi kama ilivyokuwa awali. Ameyasema hayo akihutubia wananchi kupitia kikao...
  10. spencer

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Shule na Shughuli zote kufunguliwa tarehe 29 Juni, 2020

    Rais ametangaza kwamba tarehe 29/06/2020 shule zote zifunguliwe. Amesema hali ya Corona nchini inaendelea vizuri na imepungua sana. Amesema shughuli nyingine zote kama kufunga ndoa nazo ziendelee na maisha lazima yarudi kama ilivyokuwa awali. Ameyasema hayo akihutubia wananchi kupitia kikao...
  11. Viol

    JamiiForums Tanzania Historia fupi ya maisha ya Spika Ndugai aliyoitoa bungeni. Asema alikuwa na maisha ya shida na dhiki

    Spika Ndugai amesema haya, Katika maisha yangu sikuwahi kuwaza wala kuota kama nitakuwa Mwanasiasa, Mbunge na hata Spika ni Mungu tu ambaye katika uumbaji wake hutujua na kutupangia safari kadri anavyoona ni vyema, asanteni sana wana Kongwa, chama changu na Rais Nakumbuka miaka niliyosoma...
  12. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Askari wa usalama barabarani Shule Tanki Bovu wanatia aibu wanapokea rushwa bila aibu

    Inasikitisha sana sana. Hapa shule T.Bovu kuna traffick ametokea Kawe wakiongoxwa na short yule aliekuwa Kijitonyama. Wapendwa ni aibu wako wanne wanasimamisha gari zaidi ya sita wanaanza kuchukua hela moja baada ya nyingine. Inatia aibu kama mko kukusanya kodi andikeni hizo faini sio kwa...
  13. kibovu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwalimu wa shule ya msingi anusurika kuachwa na mpenzi wake

    Igweeeeeeee Kuna dada mmoja ni rafiki yangu nimesoma nae masomoni china alikuwa na boy friend wake mwalimu wa shule yamsingi. Stori iko hivi wadau mwalimu wa shule ya msingi amezaliwa mkoani tabora akiwa mtoto wa kwanza katika familia yao ya watoto wanne,Marehemu baba yake ni mstaafu wa katka...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Shule mpya ya Sekondari ya Kisarawe

    Kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kwako mkuu wa wilaya yetu ya Kisarawe! Napenda juhudi zako,u bunifu wako na fighting spirit chanya juu ya wilaya yetu. Sambamba na juhudi zako ndani ya muda mfupi kumekuwa na mabadiliko mazuri ndani ya wilaya, nakupongeza sana. Nije kwenye kiini cha...
  15. MEXICANA

    JamiiForums Tanzania Tuliosoma shule za msingi kwa kulipa karo

    Tanzania tumetoka mbali saaana. Leo nimekumbuka enzi zile nikiwa Primary School kuna siku nilirudishwa nyumbani kufuata karo. Kwanza kabla ya kurudishwa unachapwa fimbo za kutosha kama sita hivi
  16. Gia kubwa

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini wamefungua shule za msingi | Je, sisi ni lini?

    Wanabodi nauliza tu hivi Corona bado ipo bongo? Jana niliona Al Jazeera Africa Kusini watoto wadogo nao wamerudi shule! Wao nadhani hawaogopi sana kufa kwa korona sababu kwasasa wana maambukizi 35,000, sisi 0.1! Nauliza tu, hapa kwetu ni lini tunafungua shule za msingi na chekechea aka vidudu...
  17. mkiluvya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Kenyatta adokeza kuhusu shule na makanisa kufunguliwa

    Rais Uhuru Kenyatta ameagiza Wizara ya Elimu na ile ya Usalama wa Ndani kuharakisha mwongozo na mikakati ya kufungua shule na maeneo ya ibada itakayohakikisha usalama wa wanafunzi walimu na waumini. Alisema haya huku idadi ya walioambukizwa iliyotolewa jana ikiwa 59 huku watano wakifariki...
  18. Msovelo Jr

    JamiiForums Tanzania Shule Binafsi zinanyonya walimu wao

    Shule Binafsi zimeonyesha unyonyaji wa hali ya juu kwa walimu wao katika kipindi hiki cha korona. Shule hizi hasa mkoa wa Kilimanjaro jimbo Katoliki Moshi, wamewafanyia unyama waalimu wao wachapakazi wanaochangia mkoa wa Kilimanjaro kuwa juu kitaaluma, kwa kuwanyima mishahara waalimu wenye...
  19. Daisy Llilies

    JamiiForums Tanzania Shule ya Serikali Pwani kupewa jina la Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo

    Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo amemuagiza Mkurugenzi wa halmashauri ya Kisarawe kuisajili shule mpya ya wasichana Kisarawe kwa jina la mkuu wa wilaya hiyo, Joketi Mwegelo. Jokate amepokea taarifa hiyo kwa hisia na kusema hiyo ni heshima kubwa ambayo kuifikia amevumilia mengi ikiwemo baadhi ya...
  20. P

    JamiiForums Tanzania Wale Tuliosoma Shule ya Sekondari Makongo JWTZ Tukutane hapa Tukumbushane Vibwanga vya pale shuleni

    Siku zinakimbia kwa kasi sana wakuu, leo nimeamka natoka kwangu ile kufungua geti nakutana na mwalimu wangu mjeda wa Makongo yeye ameshanisahau kabisa ananunua kiwanja kinachopakana na Mimi, baada ya kusalimiana na kubadilishana namba nimemuacha aendelee na ratiba zake. Nikaanza kukumbuka...
Back
Top Bottom