Tuliosoma, kwenda shule pekupeku tukutane hapa

Mwanzoni mwa miaka ya 80. Nakumbuka darasa letu aliyekuwa akivaa viatu alikuwa mmoja tu. Hiyo ilikuwa mkoani kimanjaro.

Na 98% ya wanafunzi wa shule yetu tulikuwa hatuvai viatu. Hii ilikuwa ni shule ya msingi.

So kama ulienda shule bila kuvaa viatu karibu huu ni uzi wetu.

Kuwapima kama kweli ni wenyewe wape mtihani huu

IMG-20180913-WA0008.jpg

IMG-20170901-WA0011.jpg
 
Watanzania ni wajinga sana mnaona sifa kuzaliwa masikini hamjui hiyo ni laana na ujinga wa wazazi wenu,utakuta mwanasiasa jukwaani hiyo ndio sera yake kuwa kazaliwa familia masikini.asante Mungu sijazaliwa mazingira magumu
 
Watanzania ni wajinga sana mnaona sifa kuzaliwa masikini hamjui hiyo ni laana na ujinga wa wazazi wenu,utakuta mwanasiasa jukwaani hiyo ndio sera yake kuwa kazaliwa familia masikini.asante Mungu sijazaliwa mazingira magumu
Kwa taarifa yako tu. Nakupa na home work, kama ulizaliwa kijijini na ulitoka kwenye familia iliyojiweza, kwa sasa zile familia zilizoonekana duni ndio zina maendeleo kuliko zile ambazo zilionekana kujiweza kimaisha. Wengi wa watito waliokuwa hawavai viatu kwa sasa ndio wapo vizuri kiuchumi kuliko nyie mnaojiona mlitokea kwenye familia bora.

Ukienda kwenye hizi familia zilizokuwa zikionekana bora utakuta nyumba ni ileile ya mzee wao ya miaka ya 70. Wale walioonekana ni duni wamebadilisha mazingira ya nyumbani kwao kuna nyumba nzuri za kisasa na kipato chao ni kikubwa kuliko wale waliotoka kwenye maisha mazuri au bora.
 
Watanzania ni wajinga sana mnaona sifa kuzaliwa masikini hamjui hiyo ni laana na ujinga wa wazazi wenu,utakuta mwanasiasa jukwaani hiyo ndio sera yake kuwa kazaliwa familia masikini.asante Mungu sijazaliwa mazingira magumu
Kwahiyo kuzaliwa maskini ni laana?
Kweli pata kitu tujue tabia yako
 
Kwa taarifa yako tu. Nakupa na home work, kama ulizaliwa kijijini na ulitoka kwenye familia iliyojiweza, kwa sasa zile familia zilizoonekana duni ndio zina maendeleo kuliko zile ambazo zilionekana kujiweza kimaisha. Wengi wa watito waliokuwa hawavai viatu kwa sasa ndio wapo vizuri kiuchumi kuliko nyie mnaojiona mlitokea kwenye familia bora.

Ukienda kwenye hizi familia zilizokuwa zikionekana bora utakuta nyumba ni ileile ya mzee wao ya miaka ya 70. Wale walioonekana ni duni wamebadilisha mazingira ya nyumbani kwao kuna nyumba nzuri za kisasa na kipato chao ni kikubwa kuliko wale waliotoka kwenye maisha mazuri au bora.S

Kwahiyo kuzaliwa maskini ni laana?
Kweli pata kitu tujue tabia yako
Ni baraka
 
Kwa taarifa yako tu. Nakupa na home work, kama ulizaliwa kijijini na ulitoka kwenye familia iliyojiweza, kwa sasa zile familia zilizoonekana duni ndio zina maendeleo kuliko zile ambazo zilionekana kujiweza kimaisha. Wengi wa watito waliokuwa hawavai viatu kwa sasa ndio wapo vizuri kiuchumi kuliko nyie mnaojiona mlitokea kwenye familia bora.

Ukienda kwenye hizi familia zilizokuwa zikionekana bora utakuta nyumba ni ileile ya mzee wao ya miaka ya 70. Wale walioonekana ni duni wamebadilisha mazingira ya nyumbani kwao kuna nyumba nzuri za kisasa na kipato chao ni kikubwa kuliko wale waliotoka kwenye maisha

Kuzaliwa maskini sio kosa lako .kosa lako ni kufa maskini
Kosa la wazazi wako,sasa kwa nini uone fahari ya kosa la mzazi wako ashindwe kubeba zege upate viatu
 
Kosa la wazazi wako,sasa kwa nini uone fahari ya kosa la mzazi wako ashindwe kubeba zege upate viatu
Halafu we mbwa inaonekana una tatizo la akili sio bure..
Kwahiyo unataka watu wawapige wazazi wao kwamba kwanini hujaninunulia viatu?

Mental disorder..!
 
Halafu we mbwa inaonekana una tatizo la akili sio bure..
Kwahiyo unataka watu wawapige wazazi wao kwamba kwanini hujaninunulia viatu?

Mental disorder..!
Sasa kujisifu kuwa ulipekua si ndio ufala huo
 
Back
Top Bottom