sheria

  1. Mikopo Chefuchefu

    JamiiForums Tanzania Kiwanja changu kimekaa kama sambusa, ninapanga kumega eneo la jirani kiwe square. Sheria inasemaje kuhusu hili?

    Kwa kweli siridhiki kuona kiwanja changu kimekaa kama sambusa.. Natamani kiwe square kama kiwanja cha mpira. Sasa ili 'kuboresha mipango miji' ninapanga kumega kama mita moja kutoka kwa jirani ili kikae sawa. Hapa ninakusanya nguvu ya tofali elfu mbili.. Nikija kuibuka naibuka na ukuta mmoja...
  2. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Kwa hasara ambayo huyu mtoto ameniingizia: Nashauri Sheria itungwe iwe ni shuruti watoto kusaidia Wazazi uzeeni

    Ameangusha Laptop na kuua harddisk na kupoteza data zote. Nikaiweka mbali, amedandia na kukwea kabati na kuiangusha kupasua kioo slim laptop. Amedumbukiza simu ya mama yake kwenye ndoo ya maji. Ameshapasua simu nyingine kama mbili (anavizia ukijisahau tu). Amechana Macover ya vitabu vyangu na...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

    Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini 1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya...
  4. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Sheria: Upelelezi usipokamilika ndani ya siku 60 mshatakiwa kuachiwa huru

    Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai kifungu namba 225 (4) inasema Upelelezi usipokamilika ndani ya siku 60 mshatakiwa kuachiwa huru. Hiki ni kitu ambacho hakitekelezwi ipasavyo na mahakama na baadhi ya watuhumiwa wamekuwa wakikaa muda mrefu mahabusu Hayo yameelezwa Februari 10, 2020 na wakili...
  5. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania NEC: Tume ya Uchaguzi iliyo ipo huru kwa mujibu wa Sheria

    Faraja Masinde, Dar es salaam TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeujibu Ubalozi wa Marekani nchini kuhusu kuanzishwa kwa tume huru, ikisema ushauri uliotoa ni mawazo yao na kwamba tume iliyopo ni huru kwa mujibu wa sheria. Januari 31 mwaka huu, Ubalozi wa Marekani nchini ulimpongeza Rais Dk...
  6. Tanganyika Law Society

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika, Dr. Rugemeleza A.K. Nshala katika Maadhimisho ya Siku ya Sheria

    #WikiYaSheria2020 TAREHE 6, FEBRUARI, 2020 UKUMBI WA KIMATAIFA WA MAKONGAMANO WA MWL. JULIUS NYERERE DAR ES SALAAM Ndugu Mh. Mgeni Rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe Joseph Magufuli Mh. Jaji Mkuu, Prof. Ibrahimu Juma, Mh. Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi...
  7. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Maadhimisho ya Siku ya Sheria: Rais Magufuli adai hata yeye mshahara haumtoshi, awaasa wapelelezi kuharakisha upelelezi

    Hotuba ya jaji mkuu Majaji wanne wanatarajiwa kustaafu mwaka huu, mwaka jana majaji 5 walistaafu. MAHAKAMA imeweka kipaumbele kwenye mashauri yanayoweza kuchochea uchumi wa viwanda, kama mashauri ya biashara na uhujumu uchumi. Mahakama kuhakikisha Mashauri ya uhujumu uchumi yanashughulikiwa...
  8. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Siku ya Sheria Tanzania: Ili Tanzania ifanikiwe kwenye uwekezaji ni muhimu kuwe na utengamano wa kisheria na mfumo wa haki unaheshimiwa

    Dar es Salaam. Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Rugemeleza Nshala amesema ili Tanzania ifanikiwe kwenye uwekezaji ni muhimu kuhakikisha kuna utengamano wa kisheria na mfumo wa haki unaheshimiwa. Nshala ameyasema hayo leo Alhamisi Februari 6, 2020 katika maadhimisho ya siku ya...
  9. mambo_safi

    JamiiForums Tanzania Mwajiri alikuwa hapeleki michango ya mifuko ya hifadhi ya jamii. PSSSF wanakataa kumbana kwa mujibu wa sheria

    Mtumishi mmoja baada ya kuachakazi na kulipwa mafao yake (pungufu) akaanza kudai Mapunjo ya miezi karibia 12 yenye dhamani zaidi ya millioni 2 (hiki ni kiasi kikubwa). Akafungua file la madai. Chakushangaza PSSSF inamwambia mteja wake kuwa Huyo mwajiri hataki kutoa ushirikiano wa kulipa hayo...
  10. Mag3

    JamiiForums Tanzania Tuhuma nzito kama hii ilipotolewa Bungeni, Bunge lilichukua hatua gani kulingana na sheria, taratibu na kanuni za Bunge?

    Fikiria tuhuma nzito kama hii inatolewa ndani ya Bunge na Mheshimiwa Mbunge halafu ukimya unatanda. Bunge kimya, vyombo vya usalama kimya, chama husika kimya na wananchi wanaowakilishwa na huyo Mbunge kimya! Je ni woga, ujinga au ukondoo. Watanzania hebu tutulie, tujitafakari na tujiulize kama...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Tutafakari: Uzuiaji wa mikutano ya kisiasa na sheria ya habari je zimetusaidia chochote ?

    Je kwa mawazo yako hizi sheria za habari ambazo zimekuwa zikilalamikiwa na kusababisha waandishi wa habari na wanasiasa wengi kufunguliwa kesi zimesaidia nchi yetu kwa miaka minne sasa?. Vilevile uzuiaji wa mikutano kwa wapinzani Je imeleta amani yeyote na imesaidia chochote?. Tuliambiwa kufanya...
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kituoa cha Sheria na Haki za Binadamu mmetuangusha!!

  13. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Bunge lajadili mabadiliko ya sheria kujusu dhamana ya kesi za uhujumu uchumi

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amesema kwa kuwa kesi za uhujumu uchumi hazina dhamana ipo haja sasa kwa wabunge na Bunge kutunga sheria ya marekebisho na kubadilisha pale ambapo itaona panafaa. Hayo ameyabainisha leo Januari 30, 2020, Jijini Dodoma, kwenye...
  14. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania Utofauti wa Bunge, mkutano na kikao kwa mujibu wa sheria

    Na Elius Ndabila 0768239284 Leo nikiwa kwenye daladala zinazoenda Mwenge nimekuta kuna mtu anamsimulia mwenzake utofauti uliopo kati ya kikao na mkutano kwenye masuala ya Kibunge. Lakini aliyekuwa akizungumza niligundua naye hanaufahamu wa kutosha juu ya dhana hizi. Hata hivyo nikiwa nasubiri...
  15. bahati93

    JamiiForums Tanzania Alichosema John Locke kuhusu sheria na haki

    Habari my comrades Kuna maneno mengi sana yanasemwa na mwanadamu kuhusu namna mbalimbali ndani ya jamii zetu, Lakini kuna sentensi zilizosemwa ambazo zitabaki na sisi wanadamu muda wote ambao tutakuwa wakazi kwenye hii sayari yetu ya tatu kutoka nyota jua. Mwanadamu kiumbe ambacho kazi yake...
  16. technically

    JamiiForums Tanzania Nakusudia kuishtaki Serikali (TCRA) kuzima Simcard za wateja wa mitandao

    Kwanza ni kinyume cha Katiba ya uhuru wa kupata mawasiliano, pili ni uhujumu uchumi kwa serikali yenyewe na tatu kuzuia wananchi kupata habari kupitia mitandao ya kijamii. Kesi inafunguliwa jumatatu kanda ya Dar es Salaam. Mimi sio wakili ila nimewasiliana na mawakili wangu 3 na tunakusudia...
  17. Justine Kakoko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, mtoto anaweza kulelewa kwa mafanikio ikiwa sheria za malezi za wazazi/walezi wake zitakuwa tofautitofauti?

    Je, mtoto anaweza kulelewa kwa mafanikio ikiwa sheria za malezi za wazazi/walezi wake zitakuwa tofautitofauti? Yaani Baba ana kanuni na taratibu hii, Mama ana kanuni na taratibu hii. Yapi maoni yako?
  18. kavulata

    JamiiForums Tanzania Sheria ya kumuweka mtu mahabusu (ndani) haitumiwi vibaya?

    Nimekuwa nikisikia na kuona watu wenye dhamana kubwa wakiwaamuru polisi wawakamate na kuwaweka ndani watu ambao hawakimbii, hawaleti fujo na wala hawatishii usalama wa watu wengine. Wanaagiza watu hao wakamatwe kwasababu tu wamechelewa kumalizia kazi waliyopewa kwa muda waliopewa. Hivi watu...
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Papa Benedict amemtaka Papa Francis kutolegeza kamba kuhusu sheria ya useja

    Kiongozi mstaafu wa Kanisa Katoliki Papa Benedict wa 16 ametetea suala la makasisi kutofunga ndoa wakati ambapo mrithi wake anafikiria kulegeza marufuku hiyo kwa wanaume wanaooa ambao wanahudumu kama makasisi. Papa Benedict amesema hayo katika kitabu walichoshirikiana na Kadinali Robert Sarah...
  20. The Alchemist

    JamiiForums Tanzania Learn the Law: Nini kilitangulia kati ya makosa na sheria

    Wakati mwenye shida na uhitaji akiniuliza maswali mbalimbali ya ufahamu wa sheria ningependa tujadili; 1) Kati ya sheria na makosa, ni kipi kilitangulia? 2)Unadhani Tanzania sheria kuna heshima ya sheria? 3) Legitimacy ya sheria inatoka wapi?
Back
Top Bottom