Inawezekana mtu aliesoma sayansi advanced kusomea Sheria chuoni

Top gun maverick

JF-Expert Member
Dec 10, 2017
2,018
2,599
Habari wanajukwaa pia hongereni na sikukuu ya Eid Mubarak pia tuendeleee kuchukua tahadhari Kwa kunawa mikono na maji tiririka na sabuni pia usisahau kuvaa barakoa uendapo kwenye highly populated areas.

Naenda straight to the point Mimi bado mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo Fulani hapa nchini nachuckua BSc MTA (MULTIMEDIA TECHNOLOGY AND ANIMATION) frankly speaking nilisoma CBG shule Fulani ya serikali huko pwani Mkuranga lakini kiukweli Mimi Nilikuwa napenda sana masomo ya arts hususani History,Ila kutokana na ugumu wa maisha na shinikizo la wazazi nanukuu "yaani wewe mwanaume unataka kusoma masomo ya kike".

Basi nikajikuta naacha masomo ambayo hakika ni kipaji changu hasa somo la historia na target yangu siku za usoni panapo uhai ilikuwa kuwa wakili msomi na baadae niwe hakimu kusaidia wanyonge lakini nikaenda advance na kufaulu Kwa ufaulu wa kawaida Tu Kwa sababu Nilikuwa natumia nguvu nyingi Sana kusoma na Mungu si athumani nikapata Division two ya mwisho yaani ya kumi na mbili CBG (D.D.D) Na Nilipata S ya BAM (Basic applied mathematics) hivyo nikaomba angalau SUA nisome hata forestry lakini selection zote nilitemwa nami nikaona mtaani nitachakaa mapema Bora niombe course ambayo naweza pata mkopo hivyo nikapata hio Bsc MTA ingawa ni nzuri pia naweza kujiajiri kama now natengeneza logo, website ,na ANIMATION japo sio Kwa ubora ule lakini ni suala la muda Tu nitakuwa Pro,Ila bado nahitaji nikasome Sheria ili kipaji changu kisipotee niweze kuacha legacy Kwa kusaidia wanyonge naomba mwenye ufahamu wa hili suala kama inawezekana anipe Asanteni.. Nawasilisha..
 
... inawezekana ila kwa background yako uliyotuwekea hapa komaa huko huko achana na sheria mkuu. Sehemu nyingine ambapo unaweza kupiga bao la maana ni ubunge. Kama una kipaji cha kupiga domo weka nia ndani ya muda mfupi wewe ni milionea; haihitaji akili nyingi ni domo lako tu na kucheza na hisia za wanyonge.
 
Habari wanajukwaa pia hongereni na sikukuu ya Eid Mubarak pia tuendeleee kuchukua tahadhari Kwa kunawa mikono na maji tiririka na sabuni pia usisahau kuvaa barakoa uendapo kwenye highly populated areas.

Naenda straight to the point Mimi bado mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo Fulani hapa nchini nachuckua BSc MTA (MULTIMEDIA TECHNOLOGY AND ANIMATION) frankly speaking nilisoma CBG shule Fulani ya serikali huko pwani Mkuranga lakini kiukweli Mimi Nilikuwa napenda sana masomo ya arts hususani History,Ila kutokana na ugumu wa maisha na shinikizo la wazazi nanukuu "yaani wewe mwanaume unataka kusoma masomo ya kike".

Basi nikajikuta naacha masomo ambayo hakika ni kipaji changu hasa somo la historia na target yangu siku za usoni panapo uhai ilikuwa kuwa wakili msomi na baadae niwe hakimu kusaidia wanyonge lakini nikaenda advance na kufaulu Kwa ufaulu wa kawaida Tu Kwa sababu Nilikuwa natumia nguvu nyingi Sana kusoma na Mungu si athumani nikapata Division two ya mwisho yaani ya kumi na mbili CBG (D.D.D) Na Nilipata S ya BAM (Basic applied mathematics) hivyo nikaomba angalau SUA nisome hata forestry lakini selection zote nilitemwa nami nikaona mtaani nitachakaa mapema Bora niombe course ambayo naweza pata mkopo hivyo nikapata hio Bsc MTA ingawa ni nzuri pia naweza kujiajiri kama now natengeneza logo, website ,na ANIMATION japo sio Kwa ubora ule lakini ni suala la muda Tu nitakuwa Pro,Ila bado nahitaji nikasome Sheria ili kipaji changu kisipotee niweze kuacha legacy Kwa kusaidia wanyonge naomba mwenye ufahamu wa hili suala kama inawezekana anipe Asanteni.. Nawasilisha..

Pole kwa kuumizwa na shinikizo la familia. Kozi ya sheria vyuo vingi inahitaji uwe na History na English advance ila kama wewe o level ulipata credit kwenye history na English unaweza baada ya kumaliza degree hii ukasome postgraduate diploma ya sheria au utumie cheti cha form four kuanza na certificate ya law mwaka mmoja kisha diploma miaka 2 then ukaendelea. ila kumbuka hata kwenye sheria kuna changamoto kama ilivyo huku ulipo. Wakati mwingine ni muhimu kupokea hali iliyoko kwa sasa na kuzalisha mawazo namna utavyotumia hii kozi ya multimedia kuboresha maisha yako binafsi na jamii unayotaka kuiachia alama. Maisha sio sehemu moja tu.
 
Pole kwa kuumizwa na shinikizo la familia. Kozi ya sheria vyuo vingi inahitaji uwe na History na English advance ila kama wewe o level ulipata credit kwenye history na English unaweza baada ya kumaliza degree hii ukasome postgraduate diploma ya sheria au utumie cheti cha form four kuanza na certificate ya law mwaka mmoja kisha diploma miaka 2 then ukaendelea. ila kumbuka hata kwenye sheria kuna changamoto kama ilivyo huku ulipo. Wakati mwingine ni muhimu kupokea hali iliyoko kwa sasa na kuzalisha mawazo namna utavyotumia hii kozi ya multimedia kuboresha maisha yako binafsi na jamii unayotaka kuiachia alama. Maisha sio sehemu moja tu.
Thanks..mhh mkuu hapo kweli time factor kuanza certificate tena hio ni changamoto kimtindo aisee..
 
Inawezekana mkuu kusoma sheria Soma Prospectus ya UDSM uone vigezo na masharti.

Huwa nafurahi nikisomaga vigezo vyao mara utaambia forthwith.
 
Sayansi unasoma degree za arts zote ila Arts hasomi za sayansi..... nenda kapige PG hapo UDSM kisha chukua Masters ya Law baadae unashushia na ile CPA yao watu wa sheria.
Mimi nilisoma CBG ila matokeo hayakuwa mazuri, nikapiga Diploma ya Sayansi kisha Degree ya Finance na hapa Mpango ni Kuendelea na Haya masomo ya Fedha/Bishara.
 
Pole kwa kuumizwa na shinikizo la familia. Kozi ya sheria vyuo vingi inahitaji uwe na History na English advance ila kama wewe o level ulipata credit kwenye history na English unaweza baada ya kumaliza degree hii ukasome postgraduate diploma ya sheria au utumie cheti cha form four kuanza na certificate ya law mwaka mmoja kisha diploma miaka 2 then ukaendelea. ila kumbuka hata kwenye sheria kuna changamoto kama ilivyo huku ulipo. Wakati mwingine ni muhimu kupokea hali iliyoko kwa sasa na kuzalisha mawazo namna utavyotumia hii kozi ya multimedia kuboresha maisha yako binafsi na jamii unayotaka kuiachia alama. Maisha sio sehemu moja tu.
Umempa ushauri sahihi.Kuna wengi walifanya hivyo.
 
Sayansi unasoma degree za arts zote ila Arts hasomi za sayansi..... nenda kapige PG hapo UDSM kisha chukua Masters ya Law baadae unashushia na ile CPA yao watu wa sheria.
Mimi nilisoma CBG ila matokeo hayakuwa mazuri, nikapiga Diploma ya Sayansi kisha Degree ya Finance na hapa Mpango ni Kuendelea na Haya masomo ya Fedha/Bishara.
Sorry mkuu hivi PG ndo course gani ?
 
Unaweza soma postgraduate diploma ya sheria baada ya kuhitiku hiyo degree yako
Postgraduate diploma (PG) anasoma mtu mwenye degree ili kumsaidia kubadili mchepuo/fani n.k .,.. pia kwa wenye GPA chini ya 2.7 ushauriwa wasome postgraduate diploma ili kukidhi vigezo vya masters mfano mtu ana GPA ya 2.6,2.5,,... ... 2.0
Kwa hiyo mzee komaa tu ukimaliza gonga hiyo PG then masters ,then law school n.k
 
Back
Top Bottom