johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,958
- 141,951
Ni vema tukalielewa hili mapema wakati uchunguzi kuhusu matumizi ya ruzuku kwa vyama mbalimbali ukiendelea.
Wabunge wa Chadema wameeleza wazi kuwa matumizi ya ruzuku ndani ya chama hicho kwa muda mrefu yamekuwa ya "kienyeji" mno.
Tusisahau kuwa Mh. Komu aliwahi kuwa mtunza hazina wa Chadema na Dr. Mashinji aliwahi kuwa Katibu Mkuu.
Hivyo ikithibitika pasipo shaka kwamba ruzuku imekuwa ikiliwa na wajanja "wawili watatu" basi Msajili wa vyama ataifuta Chadema kutoka Daftari la vyama vya siasa.
Maendeleo hayana vyama!
Wabunge wa Chadema wameeleza wazi kuwa matumizi ya ruzuku ndani ya chama hicho kwa muda mrefu yamekuwa ya "kienyeji" mno.
Tusisahau kuwa Mh. Komu aliwahi kuwa mtunza hazina wa Chadema na Dr. Mashinji aliwahi kuwa Katibu Mkuu.
Hivyo ikithibitika pasipo shaka kwamba ruzuku imekuwa ikiliwa na wajanja "wawili watatu" basi Msajili wa vyama ataifuta Chadema kutoka Daftari la vyama vya siasa.
Maendeleo hayana vyama!