Tetesi: Air Tanzania kukamatwa. Ndege ya Rais haikamatwi kwa sheria za IATA

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,045
20,408
Kama hukujua, mkulima wa South Afroika bado anadai bilioni 40 zake na riba kubwa tu, katika hali isiyo kawaida, ametoa waranty nchi nyingi isipokuwa India ndio walisema hawata kamata hizi ndege.

Lakini pia, Air Tanzania zimepakiwa tu viwanjani isipokuwa bomberdier tatu zinafanya safari za ndani kwa shida sana kwakuwa hakuna abiria, [matajiei waishi kama mashetani].

Jumatano iliyopita MAGUFULI alituma ndege yake[ya Rais] kwenda madagaska kuchukua mitishamba, haikuwa bahati mbaya na si kwamba hakuna Bomberdier zaidi ya 8 zilizopaki, hapana ila zitakamatwa ndio maana akatoa ndege ambayo ina IMMUNITY kutokamatwa.

Jana ndege ya RWANDA, RWANDAIR imetua mwanza na imesaini kandarasi na kiwanda cha mwanza kubeba minofu na kuacha mapanki yaliwe na wanyonge, jiulize kwanini JIWE hana guts za kusema lazma samaki wabebwe na AIR TANZANIA kwa jinsi mnavyomjua alivyo ? ni kwasababu huko nje Ndege ikienda hairudi, na hii korona nakwambia mkulima atafugia hata MABATA huko ndani.

RWANDAIR YABEBA SAMAKI MWANZA KWENDA UBELGIJI

WAZIRI WA MAGUFULI AKAPELEKA NGENGA ZAKE PALE KUZINDUA UBEBAJI, watanzania hakuna wa kuhoji maana hofu kuu imejaa, Shirika la Ndege la Rwanda RwandAir, limezindua safari zake za ndege ya mizigo kutoka jijini Mwanza nchini Tanzania kwenda Brussels Ubelgiji kwa lengo la kusafirisha samaki kwenda katika soko barani Ulaya.

Image may contain: one or more people
aa.jpeg
ya
AIR TANZANIA/Ndege ya Urais inatumika kubebea miti shamba, dawa ya kienyeji huku wenzetu wakibeba samaki kuuza ulaya​
 
Ndege - Kimeo

Stieglers - bwawa limeshaingia luba

Bado SGR
SGR nayo ikibuma basi mzee wa chato atapiga marktime time bila kuacha legacy yoyote ya maana
Hii dunia haitaki kiburi na jeuri mtu anaefikia kutwanga watu risasi na kuwanyang'anya watu ubunge kwa nguvu
Mtu kujiita kuwa yeye ni Mkuu wa malaika wakati akijua fika kuwa anasema uongo

Mungu ametuma kirusi kidoogoo mtu kaingia mitini
 
Naona umekuja na utetezi ambao ni hafifu sana.
Hiyo Ruanda air inaenda as cargo flight na hiyo ruti hawakuwa nayo before.

Tulipe deni, ili tuishi bila mashaka

Utetezi wa kitu gani ndugu? Kwanza sipo kwenye nafasi yoyote ya kutoa utetezi kwa jambo lolote. I speak my mind.

ATCL haina vibali vya kuruka kwenda Ulaya. Period. Hayo mengine yabaki tetesi tu.
 
Acha kupotosha uma bas. Sio kwamba air Tanzania haiwez kwenda ulaya kwa ajiri ya mkulima. Sio kumiliki ndege ndo kuwa na uwezo wa kutua popote utakapo, kila kitu kina taratibu zake.

Leseni ya Rwandair sio sawa naya air Tanzania, Rwanda leseni yao inawaruhusu kutua viwanja vya ulaya sisi hiyo bado hatuna, na usizanie kupata leseni ya kutua ama kupita kwenye anga la ulaya ni kitu rahisi, inachukua mda.

Ata bus uwezi ipeleka tu unapo taka kwakuwa umepata abiria wa huko pasipo kuwa nakibari cha hiyo route
 
Back
Top Bottom